Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lavia hadi ananenepa. Anakula mshahara wa bure tu akibonyeza remote yake Getto akibadili chanels za TV tu
Mpira ni ajira nzuri sana hasa ukubahatika kuajiriw akwenye timu kubwa
View attachment 2806342
Sindo mlikua mnamshabikia humu maana mimi wakati tetesi za Usajil zilivyoanza mimi hata nilikua simjui , sitamani hata kumuona maana yasije yakawa matatizo makubwa zaidi
 
Christian Romero ni beki mwenye juhudi kubwa sana uwanjani na ndio maana anapata nafdasi kila mechi ila ni beki hatarishi sana. Anaweza kusababisha penalty na red card karibu kila mechi tu ni marefa wengine hawachukui maamuzi magumu
 
Halafu lilivyo jinga kuna nafasi moja ya wazi limekosa kabisa hilo mbumbumbu , hivi kwanini hawampi nafasi yule dogo mbrasil anayeitwa Washington ?
Mudryk acheze aidha false 9 au sterling au palmer
 
Nilijuasiku moja huu uchezajiw a Spurs wa kutrumia nguvu sana utawarudia

Kadi mbili nyekundu, mchezaji muhimu kama Madison katolewa misuli

Spurs wamesambaratika. Chelsea tushindwe tu wenyewe, ushindi uko mikononi mwetu
 
Nilijuasiku moja huu uchezajiw a Spurs wa kutrumia nguvu sana utawarudia

Kadi mbili nyekundu, mchezaji muhimu kama Madison katolewa misuli

Spurs wamesambaratika Chelsea tushindwe tu wenyewe
Ile Dhambi dhidi ya Liverpool leo Spurs nao inewarudia. Chelsea hapa mna zaidi ya dk 30 ni suala la kutulia na kutanua uwanja basi. Mkishindwa basi tena.
 
Chelsea ni ile ile ooooh ni ile ileeeeeee ...

Acha waisome namba eeeeh , ..... Spurs hao, ...... Chelsea mbele kwa mbele ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom