Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata Caicedo alikuwa akicheza na watoto wenzake
Ronaldo alikuwa akicheza na watoto wa mitaani huko Madeira Ureno kabla hajaonekana na scouting team
Drogba alikuwa akicheza na vitoto wenzake kule mitaa ya abdijan
Hata Maradona alikuwa famous sana kwenye mitaa ya Villa Fiorito karibu na Buenos Aires.
Steven Gerrad mtoto wa mtaani purely aliokotwa akicheza boli na watoto wenzake
Zinedine Zidane kwenye maeneo ya La Castellane, mtaa wa wahuni huko Marseille
Pele amecheza sana mtaani kabla hajasajiliwa kwenye timu kubwa
Sadio Mane kaeleza story yake ya kucheza kwa muda mrefu na watoto huko kijijini kwake kabla hajapata timu kubwa
Ronaldinho mtoto mhuni kutoka mitaa ya Porto Alegre kule Brazil
Messi kutoka mitaa ya Rosario kule Argentina
Kiufupi wachezaji wengi maarufu wengi wao kutoka nchi zinazoendelea na maskini huwa wanaanzia kucheza na watoto wenzao ili waweze kuonekana
Sema mkuuu lembu ukishampenda mchezaji hata aw eje kwako ni mzuri tu
 
THE BLUES vs CITIZEN

Paparazi - Jackson - Palmer

Enzo - Caicedo - Gallagher

Cucu - Colwil - Silva - James

Tunaenda kucheza na City ambayo kauli mbiu yake ni "Msako wa nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba na kitanda kwa kitanda, utatoa hutoi"

Changamoto yetu ni kukata moto katikati ya mchezo huwa 1st half tunakiwasha hatare, 2nd half tunalala fofofo na kucheza bora liende.

Leo wachezaji wetu wajitoe kweli kweli dakika zote za mchezo, City ukisinzia kidogo tuu unakula za uso haraka haraka.

City wanafungika vizuri sana ila kwa kujituma zaidi yao uwanjani.
Kazi kweli kweli
 
THE BLUES vs CITIZEN

Paparazi - Jackson - Palmer

Enzo - Caicedo - Gallagher

Cucu - Colwil - Silva - James

Tunaenda kucheza na City ambayo kauli mbiu yake ni "Msako wa nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba na kitanda kwa kitanda, utatoa hutoi"

Changamoto yetu ni kukata moto katikati ya mchezo huwa 1st half tunakiwasha hatare, 2nd half tunalala fofofo na kucheza bora liende.

Leo wachezaji wetu wajitoe kweli kweli dakika zote za mchezo, City ukisinzia kidogo tuu unakula za uso haraka haraka.

City wanafungika vizuri sana ila kwa kujituma zaidi yao uwanjani.
Gallagher mzee wa kazi chafu tunamuaminia... Jackson msimuanzishe mtatoa mitusi yte kwa ujinga atakaokuwa anafanya...yte kwa yte tunaomba mshinde hata kimoko tu halafu mshikilie bomba
 
IMG_20231112_121552_487.jpg
 
THE BLUES vs CITIZEN

Paparazi - Jackson - Palmer

Enzo - Caicedo - Gallagher

Cucu - Colwil - Silva - James

Tunaenda kucheza na City ambayo kauli mbiu yake ni "Msako wa nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba na kitanda kwa kitanda (UNATOA HUTOI)"

Changamoto yetu ni kukata moto katikati ya mchezo huwa 1st half tunakiwasha hatare, 2nd half tunalala fofofo na kucheza bora liende.

Leo wachezaji wetu wajitoe kweli kweli dakika zote za mchezo, kwa City ukisinzia kidogo tuu unakula za uso haraka haraka.

City wanafungika vizuri sana ila kwa kujituma zaidi yao uwanjani.
Kufunguka ndio mbaya leo, tucheze tu kama kwa spurs, counter za kisomi itatosha kuwalaza City
 
Chelsea tangu mumfunge Manchester city kwenye fainali ya champions league mwaka 2021, sio tu ushindi au droo yaani hata goli tu hamjawahi kupata.

Inshort mna miaka miwili hamjapata goli hata moja dhidi ya Manchester city, hebu jitahidini walau leo mshinde mumpunguze Kasi, maana ikifika 2024 Bado Yuko pale juu, basi wengine tusahau kuhusu kuchukua ubingwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom