Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leteni Paundi Million Mia tuwape Nketiah, Striker la mabao, Striker la mahat-trick
20231028_210944.jpg
 
Pochetino ni kocha wa timu ndogo.

Mfano mzuri ni Unai Emery. Kachukua Europa na Sevilla ambayo kwa sasa tunaichukulia kama timu ndogo, PSG wakamchukua mwishowe hajawapa wanachotaka. Akatimuliwa. Tukamsajili Arsenal lakini ikaonekana hawezi kuifikisha Arsenal inapotakiwa. Sasa hivi karudi kwa wadogo wenzie Villa.

Safari ya Unai ni kama hii ya Poch maana na yeye kapatia jina Spurs, PSG wakapita nae mwisho akaonekana ni kocha wa timu ndogo. Sasa yupo kwa wadogo wenzie.

Ukiwasikiliza sasa mashabiki wa humu na matarajio yao unaweza sema wamekatwa vichwa!
 
Humu mnajadili nini????
Au mnakunywa kahawa kimya kimya😅😅😅
Hawaji kabisa kujibu mashambulizi🤠🤠🤠...wiki iloisha walitujazia nzi kwlikwli kwny jukwaa letu...wachangie chchte...pengo la Mkukumkuku linaonekana kabisa....akirudi timu itakuwa vzuri...ila yule Jackson sijui ile mbegu waliitoa wapi....yule hata Gwambina hapati namba yle jamaa
 
Pochetino naye anakuwa kama fala sometimes ,Yaani huwa hana plan na timu zinazopaki bus na hajifunzi kutokana na jinsi tulivoloose match ya Westham , Notingham na hawa Brentford ,wote hao ni wazee wa kupaki bus na kupiga counter .Kwanini hajadevelop plan ya kukabiliana na timu za namna hiyo na akijua ndio timu nyingi hapo epl ?
 
Pochetino ni kocha wa timu ndogo.

Mfano mzuri ni Unai Emery. Kachukua Europa na Sevilla ambayo kwa sasa tunaichukulia kama timu ndogo, PSG wakamchukua mwishowe hajawapa wanachotaka. Akatimuliwa. Tukamsajili Arsenal lakini ikaonekana hawezi kuifikisha Arsenal inapotakiwa. Sasa hivi karudi kwa wadogo wenzie Villa.

Safari ya Unai ni kama hii ya Poch maana na yeye kapatia jina Spurs, PSG wakapita nae mwisho akaonekana ni kocha wa timu ndogo. Sasa yupo kwa wadogo wenzie.

Ukiwasikiliza sasa mashabiki wa humu na matarajio yao unaweza sema wamekatwa vichwa!
Umenikumbusha Unai Emery,mpira aliokuwa anafundisha Arsenal sawa sawa na anaofundisha ETH pale manjesta,

ila anasema alipofukuzwa Arsenal alirudi kujifunza Tena ,anasema kupita Arsenal Ni Kama kulimsaidia akajinoe vzr kwenye ukocha na tamaduni za soka la EPL
 
Cole Palmer nikama watu wanamyima hivi assist, chance alizotengeneza leo yalikuwa magoal ya wazi yale.

Sikuona haja a James na Gusto wote wawil kuanzia bench



Poch sidhan kama ni mtu sahihi kwa hii team, tutaendelea kustruggoe dhidi ya hivi viteam vinavyokaa nyuma mda wote hana mbinu ya kufungua
 
Poch ndio shida kubwa, Gallager ni mchezaji wa mechi za droo au kufungwa. Mech za big match ndio amueke hiz mechi za kina brentford, arse888 angempumzisha tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom