Chura kabisa pimbi wewePoch ndio shida kubwa, Gallager ni mchezaji wa mechi za droo au kufungwa. Mech za big match ndio amueke hiz mechi za kina brentford, arse888 angempumzisha tu.
Chura kabisa pimbi wewePoch ndio shida kubwa, Gallager ni mchezaji wa mechi za droo au kufungwa. Mech za big match ndio amueke hiz mechi za kina brentford, arse888 angempumzisha tu.
Olashoga mama la mamaTunazingua kikubwa.
Bro nilisema Pochettino hamna kituUmenikumbusha Unai Emery,mpira aliokuwa anafundisha Arsenal sawa sawa na anaofundisha ETH pale manjesta,
ila anasema alipofukuzwa Arsenal alirudi kujifunza Tena ,anasema kupita Arsenal Ni Kama kulimsaidia akajinoe vzr kwenye ukocha na tamaduni za soka la EPL

Team kubwa kama Chelsea inayonunua ..Wakuu mimi nimeona kama ile mechi imeuzwa kwa hizi kampuni za betting![]()

Kwa toddy pesa sio tatizo ,tatizo Ni Hana Akili ya kutumia pesa ...Hana akili aendelee kutuma sasaIlikua ukimuambia anatuma picha, sasa unashangaa huyu anafurahia vipi sare
Ukimfananisha na 7hag, Bora Pochetino ,Bro nilisema Pochettino hamna kitu
kwahiyo mnataka mpaka mechi na Brentford mkae nyuma? Ili mtegemee counter?😀Ndio maana huwa nasema bora timu icheze mfumo wa kupaki bus upate ushindi wa goli 1 au utoe draw ya 0 - 0 ila sio kufungwa ovyo ovyo, kuliko kucheza game ya kufunguka unashambilia ujinga ujinga na mwisho wa game ni kufungwa.
------ Mudyk - Sterling - Palmer -----
Cucu ---- Enzo --- Caicedo ---- James
------Colwil ---- Silva ---- Disasi ------
kwahiyo mnataka mpaka mechi na Brentford mkae nyuma? Ili mtegemee counter?
Mnaanza ku sound kama nyumbu.



Dunia ya mpira imeshatoka kwenye mpira wakupaki BasiKupaki bus au ulinzi shirikishi ndio asili yetu ni utamaduni wetu wa kiuchezaji.
Ndio mfumo wenye mafanikio makubwa zaidi THE BLUES kuliko mifumo mingine.
Hiyo mifumo ya kufunguka, kucheza wide na kushambulia kama nyuki tuwaachie Liverkuku na city.
Ile mbegu.....dah mjomba umeua.Hawaji kabisa kujibu mashambulizi🤠🤠🤠...wiki iloisha walitujazia nzi kwlikwli kwny jukwaa letu...wachangie chchte...pengo la Mkukumkuku linaonekana kabisa....akirudi timu itakuwa vzuri...ila yule Jackson sijui ile mbegu waliitoa wapi....yule hata Gwambina hapati namba yle jamaa
Baada ya pale TT alikuwa anapigishwa kwata had akatimuliwaJuzi under TT tulibeba ucl kwa kupaki bus. Goli 1 mpira umeisha, City aliitafuta mali mpaka akachoka
😅😅Ile mbegu.....dah mjomba umeua.
Kocha mjinga sana, Disasi alishamudu RCB halafu anakuja kumfanya RBNdio maana huwa nasema bora timu icheze mfumo wa kupaki bus upate ushindi wa goli 1 au utoe draw ya 0 - 0 ila sio kufungwa ovyo ovyo, kuliko kucheza game ya kufunguka unashambilia ujinga ujinga na mwisho wa game ni kufungwa.
------ Mudyk - Sterling - Palmer -----
Cucu ---- Enzo --- Caicedo ---- James
------Colwil ---- Silva ---- Disasi ------
Chelsea kila siku mnapanga kikosi kipya! 😂Kocha mjinga sana, Disasi alishamudu RCB halafu anakuja kumfanya RB
Pochettino ana matatizo, hataki kumtumia Maatsen aliyecheza vizuri kwenye Pre Season. Jackson anahitaji dakika chache ili kuruhusu wengine kuonyesha uwezo wao. Palmer, Mudryk na Sterling wanaweza kucheza no. 9, kwa nini asiwajaribu? Mara ya mwisho alipofanya hivyo tulikuwa na matokeo mazuri. Amjaribu na Petrovic. Sachez anafanya vizuri ila bado hayuko serious, saa nyingine ana madharau, haruki, hafanyi dive zinazotakiwa
--------------- Palmer-----------------
Mudyk -----------Maatsen ------------Sterling
---------- Enzo -------------- Caicedo ------
Colwil ------- Silva -------- Disasi ------James
------------------- Petrovic -----------------