Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,301
- 89,425
Watasema hana rasta hatumtaki.Leteni Paundi Million Mia tuwape Nketiah, Striker la mabao, Striker la mahat-trick View attachment 2795966
Watasema hana rasta hatumtaki.Leteni Paundi Million Mia tuwape Nketiah, Striker la mabao, Striker la mahat-trick View attachment 2795966
Halafu wanajifanya wajuaji kuliko kocha ambaye kila siku yupo na wachezaji mazoezini😀😀😀Chelsea kila siku mnapanga kikosi kipya! 😂
Kwa sababu ni kikosi kipyaChelsea kila siku mnapanga kikosi kipya! 😂
Kabila gani huyo, mbona kama ni mang'ati au ndoroboLeteni Paundi Million Mia tuwape Nketiah, Striker la mabao, Striker la mahat-trick View attachment 2795966
Striker asiye kaa kwenye mkao wa kufunga ni mzigo na inafanya timu ionekane inacheza pungufuFalse No.9![]()
Jamaa kila siku anabadili lineupChelsea kila siku mnapanga kikosi kipya!![]()


Oya ndio maana watu wanakuchukia humu, hunaga baya mzeeJamaa kila siku anabadili lineup
Kesho wakipigwa atakwambia aanze Ogochukwu , Washington , na hivi Wana wachezaji 100, kila siku atakuja na lineup mpya





Jamaa kila siku anabadili lineup
Kesho wakipigwa atakwambia aanze Ogochukwu , Washington , na hivi Wana wachezaji 100, kila siku atakuja na lineup mpya








kwa kifupi wanakikosi kipana 

Hapana chuki zao tu, mfano mm namuelewa Sana PochetinoOya ndio maana watu wanakuchukia humu, hunaga baya mzee![]()
Unamkosea heshima ole gunar one of the best ID Talent managerName: Ten Hag
Hype: Klopp
Hair cut: Pep Gurdiola
Expectations: Sir Alex Ferguson
Attitude: Mourinho
Reality: Ole gunnar solskajar
Mfalme njozi umeoteshwaTHE BLUES EPL NEXT FIXTURES
Vs Tottenham - TUNAFUNGWA
Vs Man city - TUNAFUNGWA
Vs Newcastle - TUNAFUNGWA
Vs Brighton - SARE/KUFUNGWA
Vs Man Utd - PIPA NA MFUNIKO/SARE
Matokeo yakiwa hivi Basi nafas ya 15-17 inawahusu ,shukuruni Luton , Sheffield na Burney wanafungwa SanaTHE BLUES EPL NEXT FIXTURES
Vs Tottenham - TUNAFUNGWA
Vs Man city - TUNAFUNGWA
Vs Newcastle - TUNAFUNGWA
Vs Brighton - SARE/KUFUNGWA
Vs Man Utd - PIPA NA MFUNIKO/SARE
Hawa jamaa wana first 11 si chini ya nne tofauti bila kurudia mchezaji hata mmojaJamaa kila siku anabadili lineup
Kesho wakipigwa atakwambia aanze Ogochukwu , Washington , na hivi Wana wachezaji 100, kila siku atakuja na lineup mpya
Hii nimeiona sana, Chelsea fans mnasingizia sababu ya kutoconvert chances mnazotengeneza ni kutokana na kukosekana kwa Nkunku.Alan Shearer: “I tell you who won’t be getting in the top four, Chelsea! They were really poor. Poor in the final third. They are now talking about [Christopher] Nkunku being back with him being injured but he’s not really a centre forward is he, so that is going to put unnecessary pressure on him. If anyone had Chelsea in and around the top four, I don’t see that happening at all.”