

game niliyocheka na hii kudadeki.....BADO HAMJASEMATukubali hadi sasa wachezaji hawana shida, Kocha kazidiwa akili kwenye game plan








Timu imejaaa wasukuma tupuHa ha nilisha sema issue ya Chelsea ni mtambuka sana huwez kuwa na wachezaji kma Jackson halafu unataka matokeo hovyo



Wachezaji pia ni wapuuzi..Tukubali hadi sasa wachezaji hawana shida, Kocha kazidiwa akili kwenye game plan
Chelsea wapigwe tu mpk kocha akili imkae sawa, ndio nini kutuanzishia kina Madueke.



Pole sana ndugu yangu. Nahis hata kocha sizani kma anatosha sanaaaa sina hakikaWachezaji pia ni wapuuzi..
Ivi uyu Jackson alichokua anakifanya ni nini uwanjani, aya madueke ni winger kweli au ni beki.. winga gani hata kumpiga chenga mchezaji mmoja hawezi....
Kwa kocha kosa lake kubwa ni kuanzisha beki 3 wa kati, while we play with small team tena kwenye kiwanja cha nyumbani, hiyo ni poor poor mentality...
Pia sub sijaelewa kwanini Jackson aachwe acheze dakika zote, inaonekana kocha wetu anawapetipeti sana wachezaji..
He is not strong at all, gemu na arsenal umecheza vizuri why ubadili kikosi (assume enzo ana udhuru, vipi kuhusu mudryk, na pia vipi kuhusu malo gusto).. yaani na arsenal ujiachie kwakucheza na natural full back alafu gemi na Brentford uje ucheze na centre back wa 3, means mashambulizi uwe nayo upande mmoja tuu
Bado wewe keshoPole sana ndugu yangu.
Mlivyomgonga Arsenyo goli 2 nikajua kweli mpo serious ila baada ya zile goli zote 2 kurudi nikajua tu mlikua mnatania.


Wanadhani utani kwa ratiba Yao ,watagombea kushuka darajaKenge mtanisamehe.. January ikifika mtakuwa nafasi ya 20 mkigombea kushuka daraja.View attachment 2795795
Wee jamaa hebu rudi kwenye hii post yako! 😂🙌Timu itakayotusumbua hapo sioni hata moja, labda Spurs na nguvu yao ya soda