Poch kasema Nkunku tumtegemee baada ya international break ya NovemberNamtamani sana Nkunku
Tataizo kubwa sio EnzoSasa ndio naona kabisa hii game inamuhitaji Enzo. Tunapungukiwa ubunifu sana hasa kule mbele
Kuna moja tumeshafanya counter attack nzuri yeye kakaa mbele peke yake kutengeneza offside badala ya atengeze nafas ya kupokea mpira.JACKSON ndio problem kule mbele, anatukaba badala ya kushambaulia na kufunga magoli.
Toa Jackson na Madueke ingiza Mudyk na James
Mudyk - Sterling - Palmer
Gallagher - Caicedo - James
Mudryk hayupo hata sup itakuwa kapata injuryJACKSON ndio problem kule mbele, anatukaba badala ya kushambaulia na kufunga magoli.
Toa Jackson na Madueke ingiza Mudyk na James
Mudyk - Sterling - Palmer
Gallagher - Caicedo - James
Sasa Mudryk hata bench hayupoTataizo kubwa sio Enzo
Umaliziaji ndio tatizo
Palmer ameziba ile nafasi ya Enzo, katoa mipira mizuri lakini wafungaji wetu wanazidiwa hata na timu za mitaani huku kwetu ushenzini. Na hasa Jackson anaziba nafasi bure, ile nafasi yake angecheza Sterling au Palmer kama false no. 9 halafu Mudryk aingie badala ya Jackson
Walitukamia sana last weekend ona leo wanapelekewa motoWazee wa kukamia
Wapiga nyeto FC
Tayari uko
Hamna timu humuWalitukamia sana last weekend ona leo wanapelekewa moto
Walivokaza jumamosi hapo Stanford tukaondoka na suluhu ona leo.Hamna timu humu
Mpira haujaisha ndugu zangu...Brentford pale OT alifungwa dk za nyongeza goli 2 chapchap....sio wa kuwaamini hawa mpk mpira uisheEti False No.9,unajiona mjuaji mwenyewe kumbe HARO tu,KENGE kabisa ninyi mnafungwa hata na Timu ya ovyo