Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie wapumbavu mnashuka daraja
Hamna team humo
Fukuzeni kocha huyu haraka aje mzoefu kama Juup Haykes
Wapumbavu sana nyie
 
Bado Chelsea hii ni ya Kiduanzi sana, wanacheza bila plan, ethics za mpira wa timu kubwa sioni hapo. Kweli Arsenal nakubali sasa tulimkamia tu. Hakuna timu bado
Timu ya akina Gallagher na Cucurella juhudi bila akili, Jackson kama mdoli vile
 
Bado Chelsea hii ni ya Kiduanzi sana, wanacheza bila plan, ethics za mpira wa timu kubwa sioni hapo. Kweli Arsenal nakubali sasa tulimkamia tu. Hakuna timu bado
Timu ya akina Gallagher na Cucurella juhudi bila akili, Jackson kama mdoli vile
False No.9
 
Tukubali hadi sasa wachezaji hawana shida, Kocha kazidiwa akili kwenye game plan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom