Mbona kama mnaanza kujitetea mapemaKitakacho wafanya mpoteze hii ni kukamia,
Mbona kama mnaanza kujitetea mapemaKitakacho wafanya mpoteze hii ni kukamia,
Umesahau kuweka mchezaji mmoja kwenye line up yakoSilaha za kazi leo saa moja na nusu saa za afrika mashariki hizi hapa
------------------Jackson-------------------
Sterling -----------Galagher -----------Palmer
-------Caicedo ------------------Enzo--------
Colwill ----------Silva---------Disasi -----------
-------------------Sanchez -------------------
Saa 1 usiku , hakikisha mpaka saa 12 jion uwe umeshapata chakula cha usikuGame inapigwa saa ngapi ili tuanze kujiandaa kumnywa huyu arse8![]()
Nakumbuka gem ya Baku ilikuwa hiv hiv arsenal alikuwa anaonekana bora sanaTuseme ukweli leo tunacheza kama underdogs. Yani Arse8 kwa sasa wana kikosi bora sana.
Japo nayiamini klabu yangu ila kwa arse8 hii Poche inabidi atafute mbinu za kimafia sana kumaliza game mapema
Hii picha kama hujui utafikiri alifanya jambo kubwa sana. Kondoo bhana hahahahaGalanyeto kazi anayo leo, huyu mtu na nusu alilishwa nyasi yeye itakuaje?View attachment 2788215
Mkuu upo sahihi kabisa ila uwanjani hawachezi mmoja mmoja ni timu nzima. Tukutane jioni ya leoNimtoe Partey kwenye Dm nimuweke Caicedo si ntakua na kichaa cha mwaka
Chilwell hana tofauti na Tieney na wewe ni shuhuda Tieney unajua alipo sasa
Enzo acheze upande upi LCM kwa Rice au RCM kwa Ode atamtoa nani kati ya hao viungo wawili
Sterling ???? Hata kwa Troussard tu hajafikia day after day anazid kushuka kiwango sio yule wa 3 yrs,
Sioni wa kuingia kwenye kosi la Arsenal hata mmja may be kua benchi tu
James au GustoUmesahau kuweka mchezaji mmoja kwenye line up yako
Tulipigiwa kelele sana ila tulivyodominate walibaki kama watoto yatimaNakumbuka gem ya Baku ilikuwa hiv hiv arsenal alikuwa anaonekana bora sana
Game inapigwa saa ngapi ili tuanze kujiandaa kumnywa huyu arse8![]()
Huyo Ghallagher ni kiraka ,mamaeeee ,nasema hivi tunatishaaaaaaaaaaaGalanyeto kazi anayo leo, huyu mtu na nusu alilishwa nyasi yeye itakuaje?View attachment 2788215

Lembu app ya kucheki mpira online plzzzzMbona Asenyau hawaji kuchambua soka huku tena?