Reece James kashakutana na toughest opponents kama vinicius Junior na aliwaminya na hawakufurukuta ,,itakuwa huyo Mkata kuni Martinelli ?Reece James man has played 7 games against Arsenal lost 6 and won 1, there is nothing here blud
Tunamtaka jumamos kwa mchakamchaka wa Martinelli,huyu hamalizi dk 45, tupo hapa ,lazima arudishwe wodini
Hamstring lazima imkamate tu
Yaani tangu mwaka ule alipompita Kante baada ya Kante kuteleza huku wakati ile touch ya Martinelli ilikuwa hovyo, bahati yake tu Kante aliteleza jambo ambalo ni kawaida wao wakaichukulia Martinelliu ni bonge la mchezaji wakati hakuna kitu kama hichoReece James kashakutana na toughest opponents kama vinicius Junior na aliwaminya na hawakufurukuta ,,itakuwa huyo Mkata kuni Martinelli ?




Yaani huwa naangaliaga wakiweka picha ile ya Kante aliyoteleza, huwa nacheka sana nasema hawa kweli kondoo, kama hukuangalia ile game then ikaona hiyo picha utafikiri martinel alifanya vitu hadimu, kumbe mchezaji mwenyewe mashuzi tu.Yaani tangu mwaka ule alipompita Kante baada ya Kante kuteleza huku wakati ile touch ya Martinelli ilikuwa hovyo, bahati yake tu Kante aliteleza jambo ambalo ni kawaida wao wakaichukulia Martinelliu ni bonge la mchezaji wakati hakuna kitu kama hicho
James mzima wa afya atamficha Martineli kwenye bukta yake
Sisi tunachojua amekutana na Martinelli na huwa anamburuza vzr tu,Reece James kashakutana na toughest opponents kama vinicius Junior na aliwaminya na hawakufurukuta ,,itakuwa huyo Mkata kuni Martinelli ?
James hajawahi na hatawahi kumficha MartinelliYaani tangu mwaka ule alipompita Kante baada ya Kante kuteleza huku wakati ile touch ya Martinelli ilikuwa hovyo, bahati yake tu Kante aliteleza jambo ambalo ni kawaida wao wakaichukulia Martinelliu ni bonge la mchezaji wakati hakuna kitu kama hicho
James mzima wa afya atamficha Martineli kwenye bukta yake
Yaani unakuja kuomba msaada kwa Hawa vilemaOyaaa wanangu The Blues jumamosi tupigieni hizo Arsenyau maana makelele yamekua mengi sana
Baada ya kumfunga United na City watu hatupumui, hii misukule inaleta fujo kwenye kila majukwaa, Wakibahatisha kuwafunga na nyinyi kwa jeuri yao wanaweza kulazimisha wote tuliofungwa tuhamie ukanda wa Gaza Kima hawa.
Oleksandr Zinchenko ana ujumbe kwa Mykhailo Mudryk baada ya goli lake la Ukraine:
"Nilimwambia, 'Ikiwa utafanya au kujaribu kufanya hivyo Jumamosi, nitakunyang'anya mipira yako."
View attachment 2785826
Eti best midfielders in the world what! Mashabiki wa Arsenal akili zenu mmepeleka wapiBest Midfield trio in the world
Ukibisha , Jumamos ndio mtaelewa
Kuna wakati itafika hamtagusa mpira kabisa View attachment 2786449
Hapana hapa umedanganya.Best Midfield trio in the world
Ukibisha , Jumamos ndio mtaelewa
Kuna wakati itafika hamtagusa mpira kabisa View attachment 2786449
Imebaki siku moja tu wa hizi tambo zako, ndio wakat wako huu. Baada y jmos utarudi mafichoni kama kawaida yako. hatutaki visingizioBest Midfield trio in the world
Ukibisha , Jumamos ndio mtaelewa
Kuna wakati itafika hamtagusa mpira kabisa View attachment 2786449