Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ninamchukia na simpendi sana Conor ghalager lakini to be honest with football ghalager ameimarika sana tena kuliko nilivyotegemea.
Mpira tunaangalia wote wakuu Kuna mashabiki wa team pinzani wanaulizaga kwanini simpendi ghalager mbona anacheza vizuri tu nakosaga majibu.
Issue inayokuja kwa tulio wengi ni kua tunatarajia makosa mengi to kwa ghalager kuliko mazuri, so hata akifanya mazuri 9 na akokosea mara mbili tu mazuri yte yanamezwa na mabaya yake.
Kuna green light kwa mwanetu jaman ataimarika sana huyu mwamba.
Ghalagah sio mchezaji mbaya, anacheza kw juhud sana, tena sana sema akili ya mpira tu ndio hamna. uwepo wake tu hiyo mechi ni droo, inamaana kw mech y Arse88 wiki ijayo kama atakwepo tayar ni droo au kufungwa.

Mechi ya Ars88 kama ghalagah ataanza nitaweka X2 kw mhindi niweke nyumba.
 
Ghalagah sio mchezaji mbaya, anacheza kw juhud sana, tena sana sema akili ya mpira tu ndio hamna. uwepo wake tu hiyo mechi ni droo, inamaana kw mech y Arse88 wiki ijayo kama atakwepo tayar ni droo au kufungwa.

Mechi ya Ars88 kama ghalagah ataanza nitaweka X2 kw mhindi niweke nyumba.
Kocha hawezi mweka benchi Galagher, hiyo energy aliyonayo potelea mbali udhaifu wake wa kupasi hakuna mchezaji pale Chelsea anaweza pumzi ya Galagher ambayo ndio part and parcell ya timu kufanya vizuri. Uwezo wake wa kutibua movements za wapinzani potelea mbali pasi zake mbovu hakuna mchezaji pale Chelsea anaweza. Caicedo ni smart guy ila hana pumzi kama ya Galagher. Mechi ya mikikimikiki kama ya Arsenal asipocheza Gallagher tutafungwa asubuhi na mapema. Yeye hata akicheza kama striker ana uwezo wa kurudi nyuma na kukaba kama CB
 
Hivi kati yangu na wewe nani alikuwa wa kwanza kumponda Gallagher?

Alivyorudi kutoka palace nilisema huyu jamaa ni mpira vurugu, mkanishambulia hapa kwamba apewe nafasi atakiwasha kama palace.

Matokeo yake akaendelea kuvuruga, leo nasema Gallagher ameimarika, wale mliokuwa mnamtetea mwanzoni wakati namponda sasa hivi ndio mnamponda.

Mashabiki wa Chelsea tuna changamoto kubwa sana za kiushabiki, tunatanguliza mahaba kwa wachezaji kuliko mpira wenyewe
Kaimarika ila bado ni liability tukiwa na mpira, sio mahaba wala nini mpira ni mchezo wa wazi, kwako inaweza ikawa mahaba Usione hayo mapungufu yake.

Kukimbia kimbia hovyo uwanjani ,ndiko kunakowachanganya. Anatumia nguvu nyiiingi akili kidogo.

City pale kwani kuna mchezaji yoyote anaetumia mavurugu? Bado mipango ya wapinzani inatibuliwa kwa akili, mwisho wa siku wanashinda mechi.

Ghalagah anaicost team, mana akili ya mpira ni ndogo. ndogo sana. ila akifanyia kazi hayo mapungu kazi atakua bonge la mchezaji.
 
Kaimarika ila bado ni liability tukiwa na mpira, sio mahaba wala nini mpira ni mchezo wa wazi, kwako inaweza ikawa mahaba Usione hayo mapungufu yake.

Kukimbia kimbia hovyo uwanjani ,ndiko kunakowachanganya. Anatumia nguvu nyiiingi akili kidogo.

City pale kwani kuna mchezaji yoyote anaetumia mavurugu? Bado mipango ya wapinzani inatibuliwa kwa akili, mwisho wa siku wanashinda mechi.

Ghalagah anaicost team, mana akili ya mpira ni ndogo. ndogo sana. ila akifanyia kazi hayo mapungu kazi atakua bonge la mchezaji.
Ngoja tuone maajabu ya Pochetino ,labda anaweza kubadilisha Ghallagher awe Ngolo Kante mpya
 
Lavia itabidi aonyeshe anaweza kuaminiwa kuanza, sio tu akija anapewa kiti kama mgeni rasmi
Asee we jamaa, yaan Lavia akawekwe bench na Ghalagah?! Sema kw uwezo wa Poch ulivyo mdogo inawezekana pia.

Kwa sec. Chache nilizomwona Ogwochukwu akicheza chelsea, Ghalagah asingetakiwa hata kuanza, sema tuna Average Coach.
 
Asee we jamaa, yaan Lavia akawekwe bench na Ghalagah?! Sema kw uwezo Poch ulivyo mdogo inawezekana pia.

Kwa sec. Chache nilizomwona Ogwochukwu akicheza chelsea, Ghalagah asingetakiwa hata kuanza, sema tuna Average Coach.
Hata Ugochukwu naona yuko vizuri ,ni suala la kupata muda zaidi na kuaminiwa , hao akina Lavia na Ugochukwu nao wakiingia fresh kwenye system basi hatutakuwa na shida ya kiungo ,na squad depth itakuwa kubwa
 
Hata Ugochukwu naona yuko vizuri ,ni suala la kupata muda zaidi na kuaminiwa , hao akina Lavia na Ugochukwu nao wakiingia fresh kwenye system basi hatutakuwa na shida ya kiungo ,na squad depth itakuwa kubwa
Utashangaa Ugochukwu na Lavia wanapelekwa mkopo tunabaki na Ghalagah!!!
 
Utashangaa Ugochukwu na Lavia wanapelekwa mkopo tunabaki na Ghalagah!!!
Mchezaji aliyetakiwa na Liverpool na Jurgen ni uzembe wa kocha kuwekwa benchi na Gallagha ,men Lavia ni pure DM na ni shock up absorber kweli kweli ,nategemea midfield yetu kuwa na Lavia ,Enzo,Mose , namba ten Nkunku. Disasi , Colwill, James back lines huu ndio uti wa mgongo wa Chelsea ya kugombania ubingwa.Wengine wagombanie namba .
 
Nyie kenge kweli

Sasa lete hapa profile ya Enzonzi tuichambue

Ni DM?/AM? Maana mnambeza Kai hatoi Assist na kufunga magoli bila kujudge role yake kwenye timu
Enzo ni CM hilo linaeleweka,ni upgrade ya prime Jordan Henderson
 
Mchezaji aliyetakiwa na Liverpool na Jurgen ni uzembe wa kocha kuwekwa benchi na Gallagha ,men Lavia ni pure DM na ni shock up absorber kweli kweli ,nategemea midfield yetu kuwa na Lavia ,Enzo,Mose , namba ten Nkunku. Disasi , Colwill, James back lines huu ndio uti wa mgongo wa Chelsea ya kugombania ubingwa.Wengine wagombanie namba .
Umtegemee James mchezaji wa kushinda hospital
 
Asee we jamaa, yaan Lavia akawekwe bench na Ghalagah?! Sema kw uwezo wa Poch ulivyo mdogo inawezekana pia.

Kwa sec. Chache nilizomwona Ogwochukwu akicheza chelsea, Ghalagah asingetakiwa hata kuanza, sema tuna Average Coach.
Sijamzungumzia Galagher wala mambo ya Benchi, nilichosema Lavia lazima aonyeshe anaweza sio akija na kupewa kiti kama mgeni rasmi, wapi hapo hujaelewa
 
Kuna walimu ,maprofessa ,madaktari ,wahandisi wanaugua mara Kwa mara na wanategemewa pale wanapo recover .Kupata majeraha haiondoi kutegemewa.
Suala la majeruhi ya James naona wewe unalichukulia poa, mashabiki wengi wa Chelsea hivi sasa wanaona bora James auzwe bado ana bei ili tumpate mchezaji wa uwanjani sio wa kitandani. Majeruhi ya James yanaudhi. Bora Cucurella anayefanya makosa leo na kesho anacheza vizuri kuliko James ambaye mechi 2 kitandania miezi miwili hadi minne. The same kwa Chilwell.
Chelsea tukitaka kushinda mechi na makombe tuwatoe kafara injury prone wote
  1. James
  2. Chilwell
  3. Fofana
Wachezaji wa bei kubwa, top players lakini hawana faida kwenye timu nini maana ya kuwa nao!
City kinachowafanya wafanye vizuri msimu mzima ni hawana injury za kijinga kama hizi za kwetu

Real Madrid wanamtaka James kwa nini tusimuuze mil 100 za chap chap

Tofauti na hapo timu itafute muwa arobaini wa majeruhi ya Chelsea

Msimu uliopita karibu wote tulikuwa na majeruhi double figure 10+ tena ya wachezaji tegemezi akiwemo Kante, James, Chilwell, Fofana na wengineo
Msimu huu sioni tofauti, double figure iko pale pale
Wakati City wao wana majeruhi wasio zidi 2 sisi tuko kwenye 12 halafu utegemee timu ifanye vizuri!

Tuamue kusuka au kunyoa kwa injury prone wote
 
Suala la majeruhi ya James naona wewe unalichukulia poa, mashabiki wengi wa Chelsea hivi sasa wanaona bora James auzwe bado ana bei ili tumpate mchezaji wa uwanjani sio wa kitandani. Majeruhi ya James yanaudhi. Bora Cucurella anayefanya makosa leo na kesho anacheza vizuri kuliko James ambaye mechi 2 kitandania miezi miwili hadi minne. The same kwa Chilwell.
Chelsea tukitaka kushinda mechi na makombe tuwatoe kafara injury prone wote
  1. James
  2. Chilwell
  3. Fofana
Wachezaji wa bei kubwa, top players lakini hawana faida kwenye timu nini maana ya kuwa nao!
City kinachowafanya wafanye vizuri msimu mzima ni hawana injury za kijinga kama hizi za kwetu

Real Madrid wanamtaka James kwa nini tusimuuze mil 100 za chap chap

Tofauti na hapo timu itafute muwa arobaini wa majeruhi ya Chelsea

Msimu uliopita karibu wote tulikuwa na majeruhi double figure 10+ tena ya wachezaji tegemezi akiwemo Kante, James, Chilwell, Fofana na wengineo
Msimu huu sioni tofauti, double figure iko pale pale
Wakati City wao wana majeruhi wasio zidi 2 sisi tuko kwenye 12 halafu utegemee timu ifanye vizuri!

Tuamue kusuka au kunyoa kwa injury prone wote
Nafikiri Kuna shida kwenye team ya kitabibu ya Chelsea ,pulisic wakati yuko Chelsea ni mara chache kacheza mechi tano mfululizo Leo hii Milan anagonga mechi baada ya mechi ,kesi hiyohiyo Kwa RLC na Kante ,kiufupi Kuna shida huyo huyo James unaweza kushangaa kaenda Madrid akacheza Kila mechi.
 
Nafikiri Kuna shida kwenye team ya kitabibu ya Chelsea ,pulisic wakati yuko Chelsea ni mara chache kacheza mechi tano mfululizo Leo hii Milan anagonga mechi baada ya mechi ,kesi hiyohiyo Kwa RLC na Kante ,kiufupi Kuna shida huyo huyo James unaweza kushangaa kaenda Madrid akacheza Kila mechi.
Kabisa ,kuna tatizo kubwa pale
 
Nafikiri Kuna shida kwenye team ya kitabibu ya Chelsea ,pulisic wakati yuko Chelsea ni mara chache kacheza mechi tano mfululizo Leo hii Milan anagonga mechi baada ya mechi ,kesi hiyohiyo Kwa RLC na Kante ,kiufupi Kuna shida huyo huyo James unaweza kushangaa kaenda Madrid akacheza Kila mechi.
tulijipiga risasi ya mguu tulipomuacha eva aondoke
Screenshot_20231015-141429.jpg
 
Anajitahidi mkuu ..Poch kaona kitu pale
Cucurella ni wahivyo hivyo tu
Anacheza vizuri mechi hii na baadaye anauza timu
Sio mzuri kwenye kukaba, hilo ni weakness yake kubwa
Saa nyingine anafunikwa kama timu inacheza vizuri collectively
Magoli machache tuliyofungwa yaani magoli 7 mbili au tatu ni makosa ya wazi ya Cucu
In short sio beki wa kutumainiwa kabisa
 
tulijipiga risasi ya mguu tulipomuacha eva aondokeView attachment 2782755
Mou aliona wivu huyo mdada Eva Carneiro alikuwa anatembea na Branislav Ivanovic

Kuelekea mwishoni mwa kibarua chake na The Blues, wakati huo chini ya Jose Mourinho, ripoti za mapenzi yake na Eva Carneiro ziliibuka. Uhusiano wa karibu kati ya Ivanovic na Carneiro ulionekana wazi kufuatia ushindi wa Chelsea dhidi ya Benfica kwenye UEFA Europa League 2013. Beki huyo alimnyanyua chini wakati wa sherehe na kumzungusha kabla ya kumruhusu kugusa ardhi.

Kwa sasa Eva hana kazi ya amaan kwa nini uongozi usimrudie na kumleta klabuni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom