Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mwisho wa siku kumbuka kuwa uchambuzi ni mawazo ya mtu ambayo pia yanaweza endeshwa na hisia za mtu binafsi
Hao unawazungumzia kina Shaffih dauda, Ally mayai tembele, Wilson oruma , Maulid kitenge, na wanaofanana na hao, hawa wajasomea popote uchambuzi Ni makanjanja tu ,

Erik Njiru ,hamis77, tumesomea uchambuzi na tuna leseni ya FIFA wenye mpira wao
 
Nimevaa uhusika Kama shabiki wa Chelsea ,nimegundua jumamos hatutoki tunajifariji tu

Nimegundua tunahitaji kuwa makini dakika zote 90 ,tusifaye makosa ,lasivyo half time Arsenal wanaweza kutupiga 3-0
 
The International Break is finally over

Few days more to thrash Chelsea and make it 4 wins in a row at Stamford Bridge.
 
Kutufunga chelsea kwenu ni sherehe maana tumewazidi pakubwa history inaongea
KWA SABABU CHELSEA IN HIZI SIFA WAO HAWANA:

  • Klabu ya pili ya Uingereza yenye mafanikio katika mashindano ya Ulaya baada ya Liverpool.
  • Klabu ya mwisho ya Uingereza kushinda Kombe la Dunia la Vilabu.
  • Timu ya kwanza ya Uropa kufuzu kwa Kombe la Dunia la Vilabu la 2025.
  • Klabu pekee katika historia kushinda mataji yote makubwa ya Uropa mara mbili (kabla ya Conference League).
  • Klabu pekee ya London kushinda Ligi ya Mabingwa.
  • Klabu ya kwanza katika historia kushinda Ligi ya Europa bila kupoteza mchezo.
  • Klabu iliyo na rekodi bora zaidi ya ulinzi katika ligi 5 bora za Uropa.
  • Klabu iliyo na rekodi bora zaidi ya ulinzi kwa timu iliyoshinda Ligi ya Mabingwa.
  • Klabu pekee kuwahi kushikilia mataji ya Ligi ya Mabingwa na Ligi ya Europa kwa wakati mmoja.
1697625120009.png
 
KWA SABABU CHELSEA IN HIZI SIFA WAO HAWANA:

  • Klabu ya pili ya Uingereza yenye mafanikio katika mashindano ya Ulaya baada ya Liverpool.
  • Klabu ya mwisho ya Uingereza kushinda Kombe la Dunia la Vilabu.
  • Timu ya kwanza ya Uropa kufuzu kwa Kombe la Dunia la Vilabu la 2025.
  • Klabu pekee katika historia kushinda mataji yote makubwa ya Uropa mara mbili (kabla ya Conference League).
  • Klabu pekee ya London kushinda Ligi ya Mabingwa.
  • Klabu ya kwanza katika historia kushinda Ligi ya Europa bila kupoteza mchezo.
  • Klabu iliyo na rekodi bora zaidi ya ulinzi katika ligi 5 bora za Uropa.
  • Klabu iliyo na rekodi bora zaidi ya ulinzi kwa timu iliyoshinda Ligi ya Mabingwa.
  • Klabu pekee kuwahi kushikilia mataji ya Ligi ya Mabingwa na Ligi ya Europa kwa wakati mmoja.
View attachment 2785275
Wahenga walisema'Mavi ya kale hayanuki' kiuhalisia chelsea inayoenda kucheza tar 21 oct,dhidi ya ARSENAL sio hiyo unayoizungumzia hapa....amka katika usingizi mzito,chelsea hii haina JOHN TERRY ,FRANK LAMPARD wala DIDIER DROGBA....chelsea hii ina Raheem mbovu na sio EDEN HAZARD
 
Wahenga walisema'Mavi ya kale hayanuki' kiuhalisia chelsea inayoenda kucheza tar 21 oct,dhidi ya ARSENAL sio hiyo unayoizungumzia hapa....amka katika usingizi mzito,chelsea hii haina JOHN TERRY ,FRANK LAMPARD wala DIDIER DROGBA....chelsea hii ina Raheem mbovu na sio EDEN HAZARD
Hamna kitu ninyi ya kutufanya tuwe mavi ya kale na wewe unajua. Kuwa wa pili kwenye ligi msimu uliopita haiwafanyi ninyi muanze kutukana hivi, mnatukosea adabu mabingwa wa dunia. Shindwa kabisa
 
Nimevaa uhusika Kama shabiki wa Chelsea ,nimegundua jumamos hatutoki tunajifariji tu

Nimegundua tunahitaji kuwa makini dakika zote 90 ,tusifaye makosa ,lasivyo half time Arsenal wanaweza kutupiga 3-0
We kondoo unajipa matarijio makubwa kuliko uhalisia. Angalia usije ukajinyonga shegkhe
 
Oleksandr Zinchenko ana ujumbe kwa Mykhailo Mudryk baada ya goli lake la Ukraine:

"Nilimwambia, 'Ikiwa utafanya au kujaribu kufanya hivyo Jumamosi, nitakunyang'anya mipira yako."

1697651346060.png
 
Hakuna anayemfikia hata kwa ukaribu kwa ubora hapo arsenal.
Reece James man has played 7 games against Arsenal lost 6 and won 1, there is nothing here blud

Tunamtaka jumamos kwa mchakamchaka wa Martinelli,huyu hamalizi dk 45, tupo hapa ,lazima arudishwe wodini

Hamstring lazima imkamate tu
 
Reece James man has played 7 games against Arsenal lost 6 and won 1, there is nothing here blud

Tunamtaka jumamos kwa mchakamchaka wa Martinelli,huyu hamalizi dk 45, tupo hapa ,lazima arudishwe wodini

Hamstring lazima imkamate tu
Arsenal is nothing to chelsea.sisi tutarudi na tutashinda makombe ya maana Kabla yenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom