Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Unachosahau kwenye mpira hakuna hakuna bahati. Arsenal kufungwa inawezekana not matter situation tulitonayo. Kinacho matter siku hiyo ni kwa namna gani wachezaji wataendeleza mentality ya sasa hiviUwezo wa kumfunga Arsenal haupo labda bahati iingilie kati. Arsenal wako ahead (uwanjani) kwa project yao kwa kila kitu vs Chelsea. Timu bado inafungwa cheap goals na bado ukuta wa disasi na silva ni mwepesi sana kwa timu zenye pace. Kushinda mechi kadhaa dhidi ya mid team kisitupofushe macho na kudhani tunaweza kumatch na timu zinazofukuzia ubingwa
Ndio mana nyie kondoo huwa mnaonekanaga hazijatimia! kwa Akili yako timamu kbs unamfananisha Kai na Enzo??
Screen shot kabisa, inaweza ikafutika.Kwa kauli hizi
Tutarudi kufukua makaburi hapa
Nyie kenge kweliNdio mana nyie kondoo huwa mnaonekanaga hazijatimia! kwa Akili yako timamu kbs unamfananisha Kai na Enzo??
sasa hivi kuna kitu kinaonekana, thought pass za kurudi nyuma hajaacha.Cuc
Cucurella saiv naona kaiva kimtindo Pochettihno anajua kumtumia
Anajitahidi mkuu ..Poch kaona kitu paleHamna kitu mule, anapitika kirahisi sana.
Mwehu huyo mapepe kibao, ana pasi zake mbili tu ampasie palmer au arudishe kwa kipa basiiii.sasa hivi kuna kitu kinaonekana, thought pass za kurudi nyuma hajaacha.
Kuna jamaa nilimwambia hiyo game sio rahisi, wachezaji wote wana miguu miwili. Kama labda chelsea wachezaji wake wana mguu mmoja mmoja hapo sawa.The Blues bado tunaendelea kujitafuta uwanjani haswa kwenye changamoto ya kuwakosa wachezaji muhimu ambao ni majeruhi.
Ila sio kigezo cha kuonekana wanyonge mbele ya Aser8.
Hiyo game ni 50/50.
Tutampasua Aser8 placenta.
Nasoma mwisho nacheka!😂Chelsea have won 60.5% of the Aerial duels contested so far. The best in the Premier League this season.
Tuko vizuri msimu huu asikudanganye mtu
Tumefungwa goli 7 tu, ni Arsenal na City ndio wametuzidi kagoli kamoja tu. Hatuna shida kule nyuma
Katikati pivot ya Enzo, Caicedo na Galagher imetick vizuri
Changamoto ya magoli imeshaanza kuondoka baada ya Sterling kuamua kucheza. Wachezaji muhimu waliokuwa majeruhi wamerudi nao. Bado tu Nkunku
View attachment 2778173
Ndio mnavyodanganyana au sio?The Blues bado tunaendelea kujitafuta uwanjani haswa kwenye changamoto ya kuwakosa wachezaji muhimu ambao ni majeruhi.
Ila sio kigezo cha kuonekana wanyonge mbele ya Aser8.
Hiyo game ni 50/50.
Tutampasua Aser8 placenta.
Tutaongeza na Arsenal tar 21Ndio mnavyodanganyana au sio?
Nyie kwasasa labda mcheze na Luton , Burney kila siku
Tunakuja kuwanyoa dredi
Kuna stat. nyingine ni za kiboya, huyu gallagah ni mzigo sana tukiwa na mpira.No player has won possession in the final third more times than Conor Gallagher in the Premier League this season (13).
View attachment 2779231
Wewe una shida tena sana, ukishapenda chongo, huita kengezaKuna stat. nyingine ni za kiboya, huyu gallagah ni mzigo sana tukiwa na mpira.
Uwepo wa Ghallager kwnye mechi hesabia droo au kufungwa, kushinda labda kwa kina luton na barnley. Mchezaji gani anashindwa kupga hat pass moja kw usahihi, ajifunze basi kwa kina Caceido na Enzo. awaulize wanafanyaje.Wewe una shida tena sana, ukishapenda chongo, huita kengeza
Na ukichukia kengeza, unaita chongo
Gallagher amekukosea nini, amekuwa na juhudi iliyosaidia timu wakati huu wa mpito, amekuwa ndie anaongoza kwa kupress na kuhakikisha tunabaki na mpira muda mwingi. Hachoki wala hapati majeraha kijingajinga kama akina James, Chilly na Nkunku. Kocha na technical staff wanaojua mpira kuliko wewe wanamwagia sifa mbalimbali, hadi sasa Pochettino anamuita untouchable, hauzwi tena, hatakosa mechi hata akina Lavia wakija. Gallagher yuko pale Chelsea kwa miaka mingi inayokuja. Pochettino atampika aive, yake madhaifu ya kutotoa pasi nzuri itaisha muda mfupi ujao na atakuwa a complete box to box midfielder.
Mimi namsubiri tu hadi December nimpigie magoti na kumuomba msamaha kwa kumsema vibaya mwanzoni mwa ligi
Ninamchukia na simpendi sana Conor ghalager lakini to be honest with football ghalager ameimarika sana tena kuliko nilivyotegemea.umeongea point, Ghalagah kwnye kukaba yupo vizuri sana. Shida kupiga pasi mamaa yangu🤦♂️.
Eti ndio mchezaji muhimu kha!! Tukimtegemea Ghallageh, tutashuka daraja wallah, tupo hapa.
Chelsea kuna matokeo Positive gani? kumfunga Barnley? ndio matokeo positive? hakuna balance yoyote kwa mchezaji ambaye mkiwa na mpira yeye ni mzigo.Kwenye timu kuna kitu kinaitwa BALANCE, hata timu iwe na wachezaji mastar wote kama hakuna balance ya uchezaji katika utekelezaji wa mbinu na mifumo ya kocha hiyo timu itakuwa ya ovyo uwanjani.
Unaweza kumuona Gallagher mbovu kwenye kupiga pasi lakini ubora wake kwenye kukaba, ukatoa nafasi kwa wachezaji wengine kama wakina Enzo, Caicedo kumiliki mpira na kupiga pass nzuri.
Mpira vurugu wa Gallagher unasaidia kuvuruga mipango ya uchezaji wa timu pinzani.
Disasi hana akili ya mpira lakini nguvu alizonazo zinaleta balance kwenye safu ya ulinzi.
Kwa sasa sioni tatizo la Gallagher kuanza 1st eleven as long as kocha na wachezaji wanamuona ana mchango sahihi kwenye kubalance kikosi na timu inapata matokeo positive.