Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Luiz and Kamara cost Villa a combined £15m and they were far superior to Fernandes and Caicedo (£220m).
 
20230924_204532.jpg
 
Tusipo funga goal mechi na Brighton inamaana mwezi sisi Chelsea hatutakua na GOAL OF THE MONTH
Screenshot_20230925_110450_Gmail.jpg
 
Wamiliki kwanini waondoke wakati wanamwaga hela za kutosha? Mchezaji munayetaka ndiye munayempata, mukigombania Mchezaji na Timu yoyote lazima mumpate nyinyi kwa kuongeza dau kama mulivyofanya kwa Wachezaji waliotakiwa na Liverpool, sasa kwanini Tajiri anayemwaga mihela unataka aondoke?
Wamewakataa wachezaji wenye experience na mabaki yote ya Roman na ndio maana tuko kwenye hali hii
 
Chelsea should apologize to us ama kichapo iendelee they conned us nani aliconiwa zaidi
Screenshot_20230926-060701.jpg
 
Poche aachane na mfumo wa 4231/433, hii mifumo always ni changamoto kwetu.

Aruke na mfumo 343 (Ulinzi shirikishi) at least hatafungwa, huu mfumo ukibahatisha kufunga goli 1 ni mwendo wa kupark bus mwanzo mwisho.


------ Mudyk --- Jackson --- Paparazi ---

Chilwell --- Enzo --- Caicedo --- James/Malo

--------Colwil ----- Silva ------ Disasi -------
Mkuu ufafanuzi kidogo.

Paparazi ndo nani trna?
 
Unaogopa kwa sababu tuna timu kali, bado tu huyo Jackson hajakaa vizuri na huyo Sterling akiwekwa benchi tutazifanya timu zingine kama tulivyowafanya mechi ya ufunguzi
Hivi kweli mashabiki wa reggae mmeanza kuchizika namna hii🤣
 
Tuchel sikuwa namchukia hata kidogo ila pia sikuwahi kumkubali 100% kwa sababu yeye alitegemea sana mbinu mbinu tu na nyota ya siku. Hakuwa kocha wa kuweka mfumo na kushinda kwa huo mfumo
Kwa taarifa yenu tulikuwa tunatetemeka tukikutana na Chelsea ile ya Tuchel.
Ila sasa hivi tunajua ni kipigo kwa kwenda mbele.
 
Tatizo huyo jamaa ataflop tu vibaya kama wengine .
Pochetino mpumbavu ,usishangae akamchezesha kama beki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom