Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ligi bado ipo open, kwa nachokiona kwa Chelsea sasa nafasi 4 za juu ni jambo linawezekana kabisa.
 
Golkipa wa wiki Serie A
Hongera Olivier Giroud

1696870050231-png.2777029
 

Attachments

  • 1696870045928.png
    1696870045928.png
    2.5 MB · Views: 11
Arsenal anapigwa asubuhi na mapema
Pochettino ni kocha wa mbinu hasa kwa timu zinazojiita ziko juu kama Arsenal
Ninachoomba tu Cucurella asicheze siku hiyo 50/50
Najua Gusto atakuwa bado anatumikia kifungo cha red card
James atakuwa yupo fit kwa kiwango gani sijui
Gallagher Caicedo Enzo, Lesley tuyna viungo wazuri sana
Levi Colwill, Badiashile, Axel Disasi, watakuwa fit pamoja na Silva. Worry yangu ni International Matches za South American zingine hadi tarehe 18 October wakati tunacheza 21 Oct
 
sio kirahis hivyo! Sisi ni wabovu ila liva walishindwa kuchukua point, achilia mbali kudominate mchezo.
Man u na ubovu wake akikutanaga na City huwa anampapasa kama mkewe. So gemu za derby usizichukulie kiwepesi hivyo.
Watu wanaojua mpira wanakwambia we unaleta ubishi. Ngoja tuje tuwapige nyinginyingi kwanza mkae kwa kutulia, manake dharau zimezidi
 
Arsenal anapigwa asubuhi na mapema
Pochettino ni kocha wa mbinu hasa kwa timu zinazojiita ziko juu kama Arsenal
Ninachoomba tu Cucurella asicheze siku hiyo 50/50
Najua Gusto atakuwa bado anatumikia kifungo cha red card
James atakuwa yupo fit kwa kiwango gani sijui
Gallagher Caicedo Enzo, Lesley tuyna viungo wazuri sana
Levi Colwill, Badiashile, Axel Disasi, watakuwa fit pamoja na Silva. Worry yangu ni International Matches za South American zingine hadi tarehe 18 October wakati tunacheza 21 Oct
Namuheshimu Pochetino sababu ana mbinu na mjanja kusoma mchezo ,

But tunakuja Darajani tukiwa fit full house

Malengo mwaka huu Ni Chelsea na manjesta mtuchangie points 12
 
Cuc
Arsenal anapigwa asubuhi na mapema
Pochettino ni kocha wa mbinu hasa kwa timu zinazojiita ziko juu kama Arsenal
Ninachoomba tu Cucurella asicheze siku hiyo 50/50
Najua Gusto atakuwa bado anatumikia kifungo cha red card
James atakuwa yupo fit kwa kiwango gani sijui
Gallagher Caicedo Enzo, Lesley tuyna viungo wazuri sana
Levi Colwill, Badiashile, Axel Disasi, watakuwa fit pamoja na Silva. Worry yangu ni International Matches za South American zingine hadi tarehe 18 October wakati tunacheza 21 Oct
Cucurella saiv naona kaiva kimtindo Pochettihno anajua kumtumia
 
Sawa we jifariji, kwanza umeangalia game huko uone jamaa sio tu kwamba wanauwezo ila wana fighting spirit ya hali ya juu.
Game hazifanani mjomba, eti kisa Arsenal kamfunga city ndio hatofungwa na timu yoyote? au kisa City kafungwa na Arse88 ndio unafikiri ndio mdebwedo kila timu itamfunga. Mpira haupo hivyo.
Hizo kondoo sisi ndio tunazitoa bikira.
 
Game hazifanani mjomba, eti kisa Arsenal kamfunga city ndio hatofungwa na timu yoyote? au kisa City kafungwa na Arse88 ndio unafikiri ndio mdebwedo kila timu itamfunga. Mpira haupo hivyo.
Hizo kondoo sisi ndio tunazitoa bikira.
Kwa kauli hizi

Tutarudi kufukua makaburi hapa
 
Arsenal anapigwa asubuhi na mapema
Pochettino ni kocha wa mbinu hasa kwa timu zinazojiita ziko juu kama Arsenal
Ninachoomba tu Cucurella asicheze siku hiyo 50/50
Najua Gusto atakuwa bado anatumikia kifungo cha red card
James atakuwa yupo fit kwa kiwango gani sijui
Gallagher Caicedo Enzo, Lesley tuyna viungo wazuri sana
Levi Colwill, Badiashile, Axel Disasi, watakuwa fit pamoja na Silva. Worry yangu ni International Matches za South American zingine hadi tarehe 18 October wakati tunacheza 21 Oct
Naona leo unasifia sana
 
Arsenal anapigwa asubuhi na mapema
Pochettino ni kocha wa mbinu hasa kwa timu zinazojiita ziko juu kama Arsenal
Ninachoomba tu Cucurella asicheze siku hiyo 50/50
Najua Gusto atakuwa bado anatumikia kifungo cha red card
James atakuwa yupo fit kwa kiwango gani sijui
Gallagher Caicedo Enzo, Lesley tuyna viungo wazuri sana
Levi Colwill, Badiashile, Axel Disasi, watakuwa fit pamoja na Silva. Worry yangu ni International Matches za South American zingine hadi tarehe 18 October wakati tunacheza 21 Oct
Gusto kashamaliza kutumikia redcard mech ijayo yuko kikosini kubwa zaidi nkuku kaanza individual training ata kabla ya november kufika nahisi atakua available mwezi ujao
Shida inakuja kwa enzo na caisedo yan mech zao n kuamkia tareh19
 
Gusto kashamaliza kutumikia redcard mech ijayo yuko kikosini kubwa zaidi nkuku kaanza individual training ata kabla ya november kufika nahisi atakua available mwezi ujao
Shida inakuja kwa enzo na caisedo yan mech zao n kuamkia tareh19

Caisedo na Enzo hawatajumuishwa kwenye mchezo. Kwani watafika late pamoja na uchovu wa safari. So mechi hii naona arsenal wanapoint zao tatu za uhakika.

Sisi tufanye kusubiri ngoja hawa arsenali wacheke kidogo
 
Caisedo na Enzo hawatajumuishwa kwenye mchezo. Kwani watafika late pamoja na uchovu wa safari. So mechi hii naona arsenal wanapoint zao tatu za uhakika.

Sisi tufanye kusubiri ngoja hawa arsenali wacheke kidogo
Hata wakiwepo bado hatuna team ya kumfunga arsenal mkuu, arsenal imetimia mno. Achilia mbali kabisa issue ya kucheza vizuri sana, wale viumbe Wana fighting spirit ya hali ya juu sana.
Msinipopoe ni Mimi mwanachelsea mwenzenu wa huku pandagichiza.
 
Eden Hazard in February 2021: “For me, the players I looked up to were Zinedine Zidane & Thierry Henry. It’s difficult for me to admit because of my relationship with Chelsea, but I really liked the Arsenal team at the time. They had players like Pires, Wiltord & Vieira.” #afc


Legend kaamua kulikumbuka chama la utotoni
IMG_20231010_134359.jpg
 
Caisedo na Enzo hawatajumuishwa kwenye mchezo. Kwani watafika late pamoja na uchovu wa safari. So mechi hii naona arsenal wanapoint zao tatu za uhakika.

Sisi tufanye kusubiri ngoja hawa arsenali wacheke kidogo
Mpango unafanywa wawai mapema
 
Hata wakiwepo bado hatuna team ya kumfunga arsenal mkuu, arsenal imetimia mno. Achilia mbali kabisa issue ya kucheza vizuri sana, wale viumbe Wana fighting spirit ya hali ya juu sana.
Msinipopoe ni Mimi mwanachelsea mwenzenu wa huku pandagichiza.
Ebu nyamaza basi hadi siku ya mechi na uje ukae viti vya mbele kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom