Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,299
- 15,028
OllaChuga Oc umepotelea wapi mkuu njoo uokoe jahaz nasikia una diploma ya uefa ya ukocha muda huu Sasa wa kuoneaha kipaji chako
Hadi mtambae kwa magoti kwenda kumuomba msamaha
Nimekumbuka hii comment nikacheka sanawe cheka tuu, msimu huu hatutakuwa na msalie mtume. Ushindi tuu

Naona mnasalia mtume😂😂😂😂Mipango sio matumizi.![]()
Kaka haujambo?Caicedo ni average player tuu sema ni vile amekuwa hyped Sana baada ya kombe la Dunia ila ni WA kawaida Sana![]()
kiko wapiChelsea leo mnashinda 3+ goals au kwa utofauti wa 1 (2-1,3-2)
THE BLUES tunazo laana 3 zinatutafuna
1. Kumyang'anya timu Abramovich
2. Kumfukuza Tuchel kama mwizi
3. Madaktari kutaka kumkata mguu Lukaku baada ya kupata injury.


baaaado hamjaseeema.Wajaze upepo.Sema wanetu mechi ijayo mnacheza na brighton sehemu pekee yakujiokoteza point hapo
Halafu hapo tusimlaumu Pochettino kumng'ang'ania huyo kimeo Sterling
Mbona siku hizi uahidi kutoa kitu chochote kama huko nyuma?Tumrudishe mwamba Lampard
Au unasemaje Ustaadh?
Kwani mnayo hata timu basi?.Mbona siku hizi uahidi kutoa kitu chochote kama huko nyuma?

Hivi hiyo ya Lukaku ni kweli au ni utani. Ndio maana Lukaku anaiogopa Chelsea kama ukomaTHE BLUES tunazo laana 3 zinatutafuna
1. Kumyang'anya timu Abramovich
2. Kumfukuza Tuchel kama mwizi
3. Madaktari kutaka kumkata mguu Lukaku baada ya kupata injury.
Tutakuja fufukia kwenye mechi ya marudiano we subiri tukuonyeshe kandanda pale pale chumbani kwenuKwani mnayo hata timu basi?.
Hicho kikundi Cha reggae danso
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hamna kocha hapoHalafu hapo tusimlaumu Pochettino kumng'ang'ania huyo kimeo Sterling
Mfufuke kutoka wapi?Tutakuja fufukia kwenye mechi ya marudiano we subiri tukuonyeshe kandanda pale pale chumbani kwenu
Wa kwanza kuondoka ni wamiliki,
Sasa ukipigwa game zote hizo mpaka uje kukutana na liver si utakuwa una point za kushuka darajaTutakuja fufukia kwenye mechi ya marudiano we subiri tukuonyeshe kandanda pale pale chumbani kwenu