Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wamewakataa wachezaji wenye experience na mabaki yote ya Roman na ndio maana tuko kwenye hali hii

Basi hilo sio kosa kiufupi waliikuta Timu haipo katika hali nzuri wakaamua waanze upya kwasababu Mashabiki mulimuaminisha Tajiri kiwa Wachezaji waliokuwepo ni Mizigo.

Mbona hata Abramovic alipoinunia Chelsea aliondosha wachezaji wote waliokuwepo akabakisha Lampard na Terry tu lakini Timu ikawa Tishio?

Mourinho alitengeneza karibu kikosi kizima kipya aliondosha mpaka wakali kibao Robben.

Kiufupi hamuna Kocha sio issue ya Tajiri wala Wachezaji.
 
Twende na Victor Osimhen muda huu, tuingie mkataba naye halafu January twende naye Darajani
Nafikiri Toddi umekaa mkao mzuri. Mungu katupa huyo tusipoteze nafasi hii.
1695775649992.png

1695775718876.png
 
Unadhani kumsajili Victor ndio kumaliza ukame wa kufunga magoli?

Nakuhakikishia ataingia kwenye mkumbo wa failure strikers kama tutashindwa kuboresha maeneo mengine yanayomzunguka haswa eneo la Attacking midfield na wingers + selection, mifumo na mbinu n.k

The Blues sasa hivi tunao wingers za kijinga sana, haziwezi kutengeneza nafasi za magoli wala kufunga magoli.

Angalia mawinga wa City na Arsenal wanavyotiririka, walivyo na impact kubwa Kwenye kutengeneza nafasi na kufunga magoli halafu linganisha na hawa vituko wetu Mudyk, Madueke na Sterling wanachojua ni kumbabua kipa, kupaisha na kupiga mpira nje na kupiga mashuti ya kindergarten.

Sasa hivi mlete Halaand THE BLUES ataflop ile mbaya, hatatengenezewa chances za kufunga magoli, kule mbele atahaha kama mbwa koko.

Mchukue Jackson mpeleke pale city au Arsenal atafunga magoli mengi ya kila aina.

Huu ugonjwa wa uhaba wa kutofunga magoli the blues ni mkubwa kuliko tunavyofikiria ni zaidi ya mifumo, style, uwezo wa mchezaji/Kocha, mbinu n.k.

Tuboreshe kwanza mambo ya msingi kabla ya kuendelea kusajili mazagazaga. Swala Usajili kwetu limeshaonekana sio suluhisho la matatizo mengi yanayotutafuna ndani ya uwanja.
Jackson katengenezewa nafasi 11 hadi sasa na zote kazipoteza
Chelsea haina shida kwenye kutengeneza nafasi. Enzo kazitengeneza sana hadi kachoka
Palmer alipoingia alitengeneza nafasi zaidi ya 3 hivi kwa dakiak chache alizocheza na hao akina Chilwell wakazipoteza hivi hivi. Issue ya Chelsea iko kwenye ushambuliaji kwa sasa. Ni Nkunku tu atakayeweza kutatuia hilVictor akija akacheza kama Striker na Nkunku akacheza kwenye mojawapo ya winger na Palmner katikati au Chukwuemeka tutakuwa na magoli. Usidanganywe Chelsea ya sasa ina energy ambayo akina Potter na lampard walishindwa
Chelsea ya sasa defense ni nzuri tumefungwa goli 6 kwa mechiu 6 ni City tu na Liverpool wametushinda kwenye kufungwa magoli machache, City 3 na Liverpool 5
Twende na Victor au Ivan Toney
1695824574619.png
 
Sasa kwanini Uongozi waliamua kumsajili JACKSON over mastriker wengine sokoni?

Kwanini mawinga wetu wanashindwa kufunga magoli?
Winga ni Mudryk/Chilwell na Sterling paraparazi. Huyu paraparazi anacheza kama kitoto cha kindagaten
Mudryk tunamuhitaji sana ila kwa kumsubiri bado ananyonya, Chilwell anacheza vizuri akiamua. Madueke yeye akae na mpira tu inatosha
Chukwuemeka akicheza no 10
Victor au Ivan wakicheza striker, Nkunku akacheza LW na Palmer akacheza RW tutakuwa na forward nzuri kiasi

------------Victor--------------

Nkunku ----Carney--------Palmer
 
Hii timu ya Leo sijui nani anaenda kucheza namba 2 naona mabeki namba 3 wako watatu.
 
Kweli hii timu imeoza hata kujitumia vikosi tu hamuwezi.

Ngoja tuwasaidie tu
Screenshot_20230927-201725.jpg
 
Cucurella leo kacheza vizuri na kacheza RB
Palmer tumelamba dume, No. 10 bora kabisa na kapata asists yake ya kwanza
Sachez amebadilika kuwa kipa mzuri sana
Colwill kacheza leo CB na amecheza vizuri
Natumaini Pochettino atajenga kutokea hapo


1695847652391.png
 
Cucurella leo kacheza vizuri na kacheza RB
Palmer tumelamba dume, No. 10 bora kabisa na kapata asists yake ya kwanza
Sachez amebadilika kuwa kipa mzuri sana
Colwill kacheza leo CB na amecheza vizuri
Natumaini Pochettino atajenga kutokea hapo


View attachment 2764502
Poch ndio anaetukwamisha, utaona j3 Enzo ndio anacheza no 10 badala ya Palmer
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom