Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha ni tatizo, angalia spurs muangalie Bissouma anavyocheza hivi sasa na yule bissoumq wa msim uliopita na kabla yq hapo

Bissouma wa Angie Postegleou ni kama yule wa Brighton

Kama huamini kocha hatuna angali hakuna mbinu zozote anazotumia ndani ya mchezo unaoendelea

Sub zake ni zile zile kila siku
Palmer alisajiliwa acheze 10 , ila cha ajabu anasugua
Wote tulikuwa tunategemeq kuonq double pivot ya Enzo n Caicedo ila ni opposite hivi sasa cha ajabu galagher eti ndio No 6 tangu lini.

Wote tunajua Galagher sio 6.
Kocha amechangia sana kwa hali tunayopitia
Uwezo wake wa kuamua mdogo sana
Uwezo wake wa kimbinu mdogo sana
Uwezo wake wa kudemand wachezaji wacheze vizuri mdogo sana
Pochettino sioni utofauti wake na Potter anayewsifia wachezaji wakati hakuna matokeo mazuri
 
FB_IMG_16956035966186524.jpg
 
Nilikua nasema huyu kocha kiazi kuna jamaa yenu mmoja akawa anabisha kwa nguvu zote.
Hakuna Kocha pale, Chelsea FC tumepigwa vibaya sana.

Makocha wanaojitambua kama Enrique walikataa ufala wa kutawaliwa kila kitu kimaamuzi kwa kunyang'anywa umeneja na Mabosi wakuu Wamarekani.

Mechi ya pili sijaenda kuiangalia Chelsea FC na bado nitaendelea kutoangalia mechi zingine hata kama itashinda mechi 5 mfululizo lakini Pochettinho ni everage Coach.

Sijutii kabisa kutoangalia mechi za Cheshii FC

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kocha ni tatizo, angalia spurs muangalie Bissouma anavyocheza hivi sasa na yule bissoumq wa msim uliopita na kabla yq hapo

Bissouma wa Angie Postegleou ni kama yule wa Brighton

Kama huamini kocha hatuna angali hakuna mbinu zozote anazotumia ndani ya mchezo unaoendelea

Sub zake ni zile zile kila siku
Palmer alisajiliwa acheze 10 , ila cha ajabu anasugua
Wote tulikuwa tunategemeq kuonq double pivot ya Enzo n Caicedo ila ni opposite hivi sasa cha ajabu galagher eti ndio No 6 tangu lini.

Wote tunajua Galagher sio 6.
Na bado hadi maji tuite mma Wana The Blues

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Enzo no 10🥲
Colwill LB🥲
N.jackson
NI MUDA PIA WA THIAGO SILVA KUPUMZIKA
PALMER yupo nje wakati ni mtengeneza nafasi mzuri
Pochettino anachokitafuta atakipata
Wamarekani ndiyo watapata wanachokitafuta.

Gari zuri bila Dereva mahiri ni sawa na kuufukuza upepo tu.

Wachezaji wapya wahawezi kuwa wazuri pasipo Kocha bora.

Pochettinho ni everage Coach maana hajawahi kubeba kombe lolote kubwa Ulaya zaidi ya kuendelea kuleta maumivu makali kwa timu kubwa ya Chelsea FC ambayo ilishawahi kubeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE mara 2, Kombe la klabu bingwa ya dunia, UEFA super cup, Europa n.k.

Na bado

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kocha amechangia sana kwa hali tunayopitia
Uwezo wake wa kuamua mdogo sana
Uwezo wake wa kimbinu mdogo sana
Uwezo wake wa kudemand wachezaji wacheze vizuri mdogo sana
Pochettino sioni utofauti wake na Potter anayewsifia wachezaji wakati hakuna matokeo mazuri
Tumrudishe mwamba Lampard
Au unasemaje Ustaadh?
 
Hakuna Kocha pale, Chelsea FC tumepigwa vibaya sana.

Makocha wanaojitambua kama Enrique walikataa ufala wa kutawaliwa kila kitu kimaamuzi kwa kunyang'anywa umeneja na Mabosi wakuu Wamarekani.

Mechi ya pili sijaenda kuiangalia Chelsea FC na bado nitaendelea kutoangalia mechi zingine hata kama itashinda mechi 5 mfululizo lakini Pochettinho ni everage Coach.

Sijutii kabisa kutoangalia mechi za Cheshii FC

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na bado.

Kipochi akamatie hapohapo
 
Wamarekani ndiyo watapata wanachokitafuta.

Gari zuri bile Dereva mahiri ni sawa na kuufukuza upepo tu.

Wachezaji wapya wahawezi kuwa wazuri pasipo Kocha bora.

Pochettinho ni everage Coach maana hajawahi kubeba kombe lolote kubwa Ulaya zaidi ya kuendelea kuleta maumivu makali kwa timu kubwa ya Chelsea FC ambayo ilishawahi kubeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE mara 2, Kombe la klabu bingwa, UEFA super cup, Europa n.k.

Na bado

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Si mlikuwa mnashangilia Tuchel kuondoka
Tukawaambia hamtapata kocha kama Tuchelewe,mkasema potelea pote.
Potato anawavusha.


Kipochi kanyaga twende.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom