Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,593
- 35,854
Cheltako chelwowo
Hii ndii Weekend pekee nyumbu na Kenge wanepata usingizi mzuri
Mbaya zaidi hii weekend imeenda fasta sana
Partey ilimchukua takribani miezi 6 kuendana na mfumo wetuView attachment 2745313Hata huyu wekend hii amepata usingizi.
Weka hii kumbukumbu msije kukimbia humu
Nilikwambia kwa kipa Sanchez mtapigwa had na timu za mchanganiWeka hii kumbukumbu msije kukimbia humu

Kuna mashabiki Wana mdomo kuliko manjesta ?arsenal anawazidi mdomo tu.
Lkn nawashangaa mko humu jukwaani kila muda au mnakunywa kahawa kimya kimya tena kwa siri coz sioni sababu ya nyinyi kuwa humu....acheni uchoyo km mnalipwa au kuna kahawa tupeni na Sisi wageni. Mambo ya soka nyie tyr mmestaafu
Tatizo mmekariri Kaz lazima uparanganeAu ukute mama samia teuzi anazitoaga humu. Ndio maana jukwaa hamlikimbii

Kwa mara ya kwanza nakubaliana na wewe, kuwa na sanchez uwanzani ni sawa mpo pungufu.Nilikwambia kwa kipa Sanchez mtapigwa had na timu za mchangani
Ulikuwa unamfananisha Sanchez na David Raya
Mara 100 Kepa
Hizo mechi labda ya manjesta ndio mtaokota point
😅😅 unakera kijana, sema nyie mshakomaa miaka 20 bila UCL wala EPL lkn hamuwaziTatizo mmekariri Kaz lazima uparangane
Mimi naongoza na kumanage watu 100+ kwa kutumia brain tu![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅 unakera kijana, sema nyie mshakomaa miaka 20 bila UCL wala EPL lkn hamuwazi
Nyie mnaenda mwaka wa ngapiunakera kijana, sema nyie mshakomaa miaka 20 bila UCL wala EPL lkn hamuwazi
Mimi Ni mchambuzi nguli mwenye beji ya FIFA na UEFAKwa mara ya kwanza nakubaliana na wewe, kuwa na sanchez uwanzani ni sawa mpo pungufu.
uku ni kuikosea hadhi UEFA yani jez ya assanal alafu iwe na beji ya UEFA 😂😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣😂🤣Mimi Ni mchambuzi nguli mwenye beji ya FIFA na UEFAView attachment 2745979
🤣🤣🤣🤣🤣uku ni kuikosea hadhi UEFA yani jez ya assanal alafu iwe na beji ya UEFA 😂😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣😂🤣