Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwanini kwako unamuona poche hafai
poch n kocha mzuri sana na naamini kwa ii project ya chelsea ni mtu anaetufaa. Ila kuna uoga ameuingiza ambao unamtesa na akuwa nao kwenye pre season saivi amekuja na mfumo ambao anawatumia wachezaj out of position.
Kulikua kuna maana gan ya kuwa na LW kama yeye anamtumia LB kama LW.
Unatumia mfumo wa bek 3 viungo wa 3 wote defensive minded yani kule mbele anabak sterling na jackson watafanya nn
Game na liva ilikua ni sawa kutumia bek3 ila cha ajabu uo mfumo ameenda nao ad kwa Wimbledon
 
poch n kocha mzuri sana na naamini kwa ii project ya chelsea ni mtu anaetufaa. Ila kuna uoga ameuingiza ambao unamtesa na akuwa nao kwenye pre season saivi amekuja na mfumo ambao anawatumia wachezaj out of position.
Kulikua kuna maana gan ya kuwa na LW kama yeye anamtumia LB kama LW.
Unatumia mfumo wa bek 3 viungo wa 3 wote defensive minded yani kule mbele anabak sterling na jackson watafanya nn
Game na liva ilikua ni sawa kutumia bek3 ila cha ajabu uo mfumo ameenda nao ad kwa Wimbledon

Huna unachokijua kwenye ulimwengu wa ukocha bro
 
NGOME FC(CHELSEA) wamekanusha kupigwa 6-0 na SIMBA, wanasema ni uongo ikiwa Simba wamepost
20230909_173817.jpg
 
Utapeli hautakuja kuisha Duniani

€100m

Touches 6


Pass 4 tu

Dakika alizocheza 46

Nakwenda zangu
20230909_203616.jpg
 
Oyaa hivi Arteta aliona nini kwa hii kiumbe mpaka kutaka kuisajili. Maana natufuta sehemu yenye potential siioni zaidi ya filbert bai wa kizungu
Aliona Talent inayohitaji kunolewa

Hata Madrid walituuzia Ødegaard wakiamini Ni flop wakatuuzia kwa Bei yakutupwa

Mudrky Ni Talent ila imekosa mazingira ,

Soon atatolewa mkopo huyu

Kwa Di zerbi mbona alikuwa vzr tu
 
Kama wewe Kai anavyokutesa
Kai anitese kwa lipi? Labda ungeniambia Eden Hazard, juan Mata, Oscar ningekuelewa hawa ni wachazaji waliokuwa wananivutia sana na walionesha viwango vikubwa klabuni wameondoka ikiwa mashabiki tunawahitaji hakuna mshabiki wa Chelsea atayemkumbuka Kai at all kwa performance ipi alionesha itufanye tuteseke?
 
Hii timu sioni ikitoboa hapa

Mtachezea vipigo Sana mtachezea fimbo Sana

20230902_230632.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom