Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Kupoteana FC
Maana FC
Mikosi Fc
Maana FC
Mikosi Fc
Source ya Taarifa za ndani za lembu : "Trust Me Bro"Nikutafsirie nilichokiandika
Mo Salah anaikataa Liverpool - Taarifa za ndani zinadai Mo Salah hana furaha ndani ya Liverpool na kwenye game na Chelsea baada ya kutolewa alikasirika sana. Taarifa pia zinadai kuwa Salah amekubali wazo la kwenda uarabuni kumalizia career yake huko na kipato kinono kutoka kwa Al-Ittihad cha 1.5m kwa wiki
Mwanao mudiriki je?Huyo Madueke ndio hamna kitu kabisa humo, anakaa na mpira sana halafu hamna cha maana anachokifanya.
Sanchez huyo ni pazia,watu watajipopolea mpk wachoke.

Ila hii team inapoelekea itanifanya niihame
Poch n kocha mzuri ila sio kwa Chelsea mana imemzidi experience.
Team imejaza wachezaji wasiokuwa na experience
Tunajifariji team itakuwa kali miaka mitano ijayo kutokana na aina ya wachezaji tulionao, sasa wakati huo tutakuwa championship huko
Mm ni shabiki wa Man City kisiri siri




ushahamia Mancity duhWazalendo wa kweli wanajulikana wakati wa dhoruba na matesoushahamia Mancity duh
Ollachuga kasema kahamia Newcastle
Soon hili jukwaa litafungwa maana wote mtahama
Chelsea inarudi enzi zake inagombea nafasi na kina Bolton wanderas, Charlton, waycombe , Wimbledon
Mkohoti hawezi kuzijua hizo timu
Next week kila timu itaanza ilipoishia

Ngoja apewe dk. za kutosha nae akizingua tunachana. Angekua amepewa dk kama alizopewa Havertz halafu akazingua tungeshampa za uso.Mwanao mudiriki je?![]()
Kama Gallagah ataendelea kucheza, tutaendelea kula fimbo kila kukicha.Lavia kaumia ,so Ghallagher tunaye sana ,maanina mwaka huu tutakoma .
Siangalii mechi ya Chelsea tena mpaka huu msimu uishe ,sitaki presha za bure
Poche anaangushwa na usajili wa Tajiri wa makindaIla hii team inapoelekea itanifanya niihame
Poch n kocha mzuri ila sio kwa Chelsea mana imemzidi experience.
Team imejaza wachezaji wasiokuwa na experience
Tunajifariji team itakuwa kali miaka mitano ijayo kutokana na aina ya wachezaji tulionao, sasa wakati huo tutakuwa championship huko
Mm ni shabiki wa Man City kisiri siri
Sio woteUsajiri uliofanyika ni mapendekezo yake poch mwenyewe