Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji bora kabisa wa mpira wa miguu kuwahi kutokea duniani kwa nyakati zote
Nini maoni yako
1694721558814.png
 
Mzee wa jambia

Kwa Mujibu Wa IFFHS Yanga Africa wamepanda nafasi 9 Kidunia Kutoka nafasi ya 72 hadi nafasi ya 63

Simba Sports imepanda nafasi 1 Kutoka nafasi ya 132 hadi nafasi ya 131

Kwa Mujibu wa IFFHS Yanga Africa ni Bora kuliko CHELSEA waliopo nafasi ya 72.Hizi takwimu huwa ndo zinanivuruga hapa tu.

Sema CHELSEA na nyie mmekuwa Wabovu mnoo Khaaaa

Takwimu hizi ni Kuanzia 1 September 2022- 31 August 2023

Note; Mnyama Simba Sports akiwa nafasi ya 20 tutakuwa na Top 20 ieleweke hivyo..This is VAYOLENSI right?
Labda chelsea ya rwanda au ya buza
 
Tuwachambue wachezaji wa Chelsea bila kumumunya maneno
Ubora wao katika mia moja
  1. Sanchez - 25%
  2. Gusto - 70%
  3. Disasi - 65%
  4. Silva - 70%
  5. Colwill - 70%
  6. Caicedo -95%
  7. Enzo - 98%
  8. Chilwell - 60%
  9. Palmer - 75%
  10. Sterling - 65%
  11. Nicolas Jackson - 60%
  12. Petrovic - 85%
  13. Marcus Bettinelli 5%
  14. James - 40%
  15. Fofana - 10%
  16. Chalobah -50%
  17. Badiashile - 75%
  18. Maatsen - 72%
  19. Cucurella - 60%
  20. Lesley - 70%
  21. Lavia - 65%
  22. Gallagher - 70%
  23. Chukwuemeka - 70%
  24. Mudryk - 55%
  25. Nkunku - 85%
  26. Madueke - 65%
  27. Broja = 40%
Mchango wa wastan wa 62%
Makipa - 38%
Ukabaji - 58%
Viungo - 79%
Ushambuliaji 58%

Kama hali ya uchezaji wa Chelsea isipobadilika tutaendelea kushika namba 15 -17 kwenye ligi
Mechi za kupoteza 14
Tutakuwa na droo 14 (total pts - 14)
Kushinda mechi - 10 (total pts = 30)
Tutafikisha pts 44
Ukweli ni mchungu
 
Do you know it's Very Easy to talk about Most EPL Teams without Calling their Name ???
For Example when you hear Most EPL Titles, Most Balon d Or Winners, Most points in EPL History, Most Trophies in EPL You will know we are talking Manchester United.
If you hear Most UCL in England, 1 EPL in 30 Years, Rejected by Caicedo, Enzo Fernandez and Lavia you will know we are talking about Liverpool.
When you hear Full Season unbeaten, Golden EPL, 0 European Trophies, Bottled, Elephant on Top of the Table you will know we are talking about Arsenal...
But when you start hearing Homeless, Hopeless, Sponsorless, Fulham, Stadium, Spent £600m to End 12th, 4 Coach used in a Season..... You will know that we are talking about Bayern Munich..
1683369645309.jpg
 
Do you know it's Very Easy to talk about Most EPL Teams without Calling their Name ???
For Example when you hear Most EPL Titles, Most Balon d Or Winners, Most points in EPL History, Most Trophies in EPL You will know we are talking Manchester United.
If you hear Most UCL in England, 1 EPL in 30 Years, Rejected by Caicedo, Enzo Fernandez and Lavia you will know we are talking about Liverpool.
When you hear Full Season unbeaten, Golden EPL, 0 European Trophies, Bottled, Elephant on Top of the Table you will know we are talking about Arsenal...
But when you start hearing Homeless, Hopeless, Sponsorless, Fulham, Stadium, Spent £600m to End 12th, 4 Coach used in a Season..... You will know that we are talking about Bayern Munich..
View attachment 2750676
Allypipi acha maneno mengi mimi na wewe ni walewale
20230903_212503.jpg
 
aisee Felix anakiwasha huko Barca, anaasist bila kugusa mpira!! Poch mwehu sana, nilianza kumtilia Poch mashaka alivyomkataa Felix, ili akabaki na kina Madueke na kina Ghalagah.
Na Felix alipenda kubaki Chelsea
Mechi ya Leo kawa MOTM kawachezesha wenzake vizuri sana kule mbele. Na huu mfumo wa Poche ungeendana naye sana sijui laaana gani Poche anayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom