Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa aina ya usajili munavyofanya baada ya hiyo miaka 5 wachezaji waliopo watakuwa hawapo tena hata mmoja bali muna wengine wapya hivyo mutaendelea kujitafuta kizazi na kizazi.
Hawa wachhezaji 18 waliikataa Liverpool msimu huu tu
  1. Jesper Lindstrom rejected Liverpool
  2. Jordan Heanderson - felt not wanted at LFC
  3. Mo Salah is rejecting Liverpool
  4. Joao Felix rejected Liverpool
  5. Mason Mount rejected Liverpool
  6. Moises Caicedo rejected Liverpool
  7. Romeo Lavia rejected Liverpool
  8. Bellingham
  9. Mbappe
  10. 󠁧󠁢󠁥Colwill
  11. Tchouameni
  12. Valverde
  13. Amrabat
  14. Enzo
  15. Doku
  16. Kone
  17. Timber
  18. Thuram

 
Hawa wachhezaji 18 waliikataa Liverpool msimu huu tu
  1. Jesper Lindstrom rejected Liverpool
  2. Jordan Heanderson - felt not wanted at LFC
  3. Mo Salah is rejecting Liverpool
  4. Joao Felix rejected Liverpool
  5. Mason Mount rejected Liverpool
  6. Moises Caicedo rejected Liverpool
  7. Romeo Lavia rejected Liverpool
  8. Bellingham
  9. Mbappe
  10. 󠁧󠁢󠁥Colwill
  11. Tchouameni
  12. Valverde
  13. Amrabat
  14. Enzo
  15. Doku
  16. Kone
  17. Timber
  18. Thuram
Liva ina kimavi.
 
Hawa wachhezaji 18 waliikataa Liverpool msimu huu tu
  1. Jesper Lindstrom rejected Liverpool
  2. Jordan Heanderson - felt not wanted at LFC
  3. Mo Salah is rejecting Liverpool
  4. Joao Felix rejected Liverpool
  5. Mason Mount rejected Liverpool
  6. Moises Caicedo rejected Liverpool
  7. Romeo Lavia rejected Liverpool
  8. Bellingham
  9. Mbappe
  10. 󠁧󠁢󠁥Colwill
  11. Tchouameni
  12. Valverde
  13. Amrabat
  14. Enzo
  15. Doku
  16. Kone
  17. Timber
  18. Thuram

MO Salah yupo Timu gani kwani baada ya kuikataa Liverpool?
 
Taarifa za majeruhi wetu kwa sasa

Benoit Badiashile – returned to partial team training.

Marcus Bettinelli – continuing to undergo his rehabilitation programme.

Trevoh Chalobah – continuing to undergo his rehabilitation programme.

Carney Chukwuemeka – continuing with the early stages of his rehabilitation programme.

Wesley Fofana – continuing with the early stages of his rehabilitation programme.

Christopher Nkunku – continuing with the early stages of his rehabilitation programme.

Romeo Lavia – returned to partial team training.
 
Ubingwa wenu ni kusajili.. endeleeni kuokota okota, mkimaliza msimu nafasi ya 12.

Mpaka akili ije iwakae sawa!
 
Taarifa za majeruhi wetu kwa sasa

Benoit Badiashile – returned to partial team training.

Marcus Bettinelli – continuing to undergo his rehabilitation programme.

Trevoh Chalobah – continuing to undergo his rehabilitation programme.

Carney Chukwuemeka – continuing with the early stages of his rehabilitation programme.

Wesley Fofana – continuing with the early stages of his rehabilitation programme.

Christopher Nkunku – continuing with the early stages of his rehabilitation programme.

Romeo Lavia – returned to partial team training.
Kuna James na Broja pia watarudi kwenye mechi na Bournemouth Pia Lavia, Badiashile na Chalobah wako tayari kurudi kwenye hiyo mechi
 
Mudyk
Madueke
Disasi
Sanchez

Kuna kusajili wachezaji sokoni na kuna kutembea sokoni kufanya shopping ya wachezaji.
Huyo Madueke ndio hamna kitu kabisa humo, anakaa na mpira sana halafu hamna cha maana anachokifanya.

Sanchez huyo ni pazia,watu watajipopolea mpk wachoke.
 
Napita TU,salaam zenu nyingi Toka Kwa MAJOGOWO
90795486.jpg
 
Ila hii team inapoelekea itanifanya niihame

Poch n kocha mzuri ila sio kwa Chelsea mana imemzidi experience.
Team imejaza wachezaji wasiokuwa na experience
Tunajifariji team itakuwa kali miaka mitano ijayo kutokana na aina ya wachezaji tulionao, sasa wakati huo tutakuwa championship huko

Mm ni shabiki wa Man City kisiri siri
 
Ila hii team inapoelekea itanifanya niihame

Poch n kocha mzuri ila sio kwa Chelsea mana imemzidi experience.
Team imejaza wachezaji wasiokuwa na experience
Tunajifariji team itakuwa kali miaka mitano ijayo kutokana na aina ya wachezaji tulionao, sasa wakati huo tutakuwa championship huko

Mm ni shabiki wa Man City kisiri siri
Karibu timu ya mabingwa Man City🤝🏽
 
MO Salah yupo Timu gani kwani baada ya kuikataa Liverpool?
Nikutafsirie nilichokiandika
Mo Salah anaikataa Liverpool
- Taarifa za ndani zinadai Mo Salah hana furaha ndani ya Liverpool na kwenye game na Chelsea baada ya kutolewa alikasirika sana. Taarifa pia zinadai kuwa Salah amekubali wazo la kwenda uarabuni kumalizia career yake huko na kipato kinono kutoka kwa Al-Ittihad cha 1.5m kwa wiki
 
Ila hii team inapoelekea itanifanya niihame

Poch n kocha mzuri ila sio kwa Chelsea mana imemzidi experience.
Team imejaza wachezaji wasiokuwa na experience
Tunajifariji team itakuwa kali miaka mitano ijayo kutokana na aina ya wachezaji tulionao, sasa wakati huo tutakuwa championship huko

Mm ni shabiki wa Man City kisiri siri
Miaka mitano mingi, hawa wachezaji wanahitaji mwaka mmoja na ikizidi sana miwili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom