🤣🤣🤣🤣🤣Kuna watu wa aina tatu duniani
Je wewe uko kwenye kundi lipi?
- Matajiri FC - wao wanazungumzia mambo yao, madhaifu yao na namna ya kuondokana nayo, nguvu zao na jinsi ya kuzitumia kwenye kujiletea maendeleo.
- Middle Class FC - Wao wanazungumzia matukio tu kwenye sehemu kubwa ya muda wao na kupoteza muda kwenye kujiletea maendeleo
- Mafukara FC - Wao ni kuwaongelea wenzao tu, kusengenya, kuona wivu, kuloga na kila siku kwa waganga ili wenzao na majirani zao wasifanikiwe

