Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,314
punguza vingereza1 match Vs 1 judgement = Low thinking capacity in football analysis.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
punguza vingereza1 match Vs 1 judgement = Low thinking capacity in football analysis.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa mkuuWatu lazima wagome kuingiza timu uwanjani msimu huu , lazima watukome ,ni kuwapelekea moto bila huruma kama changudoa aliyekula pesa za baharia wa kigiriki

Let's wait and see. Ila haya mambo ya kuchezesha wachezaji out of position sio kabisaNipo mimi wala sina wasiwasi. mtoto mchanga kuwa na homa za mara kwa mara ni kawaida
Huyu Baba wa watu hakua na tatizo, shida ipo kwa wachezaji
Caicedo kaja juzi tu tayari kina Callagher wamemfundisha staili za kupiga nyeto View attachment 2723208







NAKAZIAMudryk hata uwe na imani kama wafuasi wa mackenzie lazima tukubali tumepigwa
Anazurura vipi? Jamaa anacheza vizuri tatizo hama msaidizi pale mbele. If you watched a game utagundua1st half tulicheza vizuri sema baada ya chukwumeka kupata injury tatizo likaanzia hapo. Maana mudriky huyu jamaa bingwa wa mtindo ya nywele mpira wake mchache labda bado hana confidence, sterling kacheza vizuri, lakini pale kwenye namba 9 bado Jackson jamaa anazulula sana japo anacheza vyema sema ange tulia kwenye box ange score vizuri sana huyu jamaa wa kutwa senesi nae mapepe
Ni mbinu za kocha, zikileta matunda mazuri anasifiwa, zikileta matokeo mabaya kocha anakosolewa na sa nyingine kutukanwa. Hii ni mpira wa miguu. Kwa Maatsen alifanya hivyo akacheza vizuri na Chelsea ikashinda pre season.Let's wait and see. Ila haya mambo ya kuchezesha wachezaji out of position sio kabisa
Derby hiyo hata kama Chelsea FC wangekuwa pungufu na West Harm wakawa wengi bado tu wangefungwa West Harm maana wanajuana vizuri sana.Zingatia, kuna red card hapo.View attachment 2723206
Sometimes alikuwa anashuka kuchukua mipira pale Kati kule mbele Kuna kuwa hamna mtu zikipigwa krosi au pasi za kufunga yeye anakuwa hayupo eneo la tukio. Lakin simpingi anacheza vyemaAnazurura vipi? Jamaa anacheza vizuri tatizo hama msaidizi pale mbele. If you watched a game utagundua
Leo umekosa Cha kusingizia?unadai una WATOTOPoleni sana wana Chelsea wenzangu
Kiushabiki tumefulia
Kimpira ni sawa kabisa, tumecheza vizuri
Mchezo wa leo umeonyesha tabia zote za wachezaji wasio na Chemistry na pia uzoefu
Mfano tofautisha mabeki wa Westham na wa Chelsea
Mabeki wa Westham walicheza kwa nidhamu ya hali ya juu
Sisi tumejilinda kitoto mno, kuanzia Kipa hakuna kitu pale kwa Sanchez, naona sura nzuri tu na urefu wa kupendeza, Afadhali Kepa wetu
Mabeki wetu wanahitaji kulindwa sana, sio wazoefu
Kipindi cha kwanza tulicheza vizuri ila kipindi cha pili mpira umekuwa ukichezwa zaidi na mabeki ambao nao wanapasiana kwa taratibu mno.
Tunahitaji striker wa pili ili kupeana ushindani na pia kupokezana
Hitimisho
Matokeo kama haya yalitegemewa kwa timu mpya na changa isiyo na uzoefu na wala hawana chemistry nzuri
Chelsea inavyoziodi kucheza inapata uzoefu na kujengezana chemistry na kocha naye atakuwa akijifunza kitu kwa hii squad changa
Caicedo na Lavia wakishatulia katikati ikatulia mambo yatabadilika tu
Sterling akiendelea kucheza kama leo atakuwa anautendea haki mshahara anaolipwa
Tukumbuke kuwa Westhama mwenye umri mdogo ni Paqueta ana miaka 26, wengine ni zaidi ya hapo. So leo ilikuwa ni mechi ya wazee wazoefu na vitoto vya miaka 21/22 kwa wastani


daah wee jamaa hayo MAHABA YATAKUUASometimes alikuwa anashuka kuchukua mipira pale Kati kule mbele Kuna kuwa hamna mtu zikipigwa krosi au pasi za kufunga yeye anakuwa hayupo eneo la tukio. Lakin simpingi anacheza vyemaAnazurura vipi? Jamaa anacheza vizuri tatizo hama msaidizi pale mbele. If you watched a game utagundua
Yaani mweupe kabisa huyu hata ally salum anamuweka benchwakuu tuseme ukweli huyu sanchez sio kipa aisee hamna kipa humu
Hapa hakuna mwanzo.. hali ni hiyo hadi 2024.. watasomana season ijayo hao.Derby hiyo hata kama Chelsea FC wangekuwa pungufu na West Harm wakawa wengi bado tu wangefungwa West Harm maana wanajuana vizuri sana.
Bila unafki Chelsea FC hii si ya kukosa kabisa kuangalia mechi zake zote ingawa mwanzo ni mgumu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app