Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kule Everton alitaka kuwashusha daraja , huku Chelsea hakushinda mechi hata moja , anajipa mapumziko angekufa kwa stress
Umenichekesha aisee, angekufaje kwa stress? Hivi ukiwa kocha ukaona kabisa kazi inakushinda utakiwi kuachia kazi katikati? Lampard kwakweli alishindwa kazi sijui kwanini alitaka kuendelea.
 
Umenichekesha aisee, angekufaje kwa stress? Hivi ukiwa kocha ukaona kabisa kazi inakushinda utakiwi kuachia kazi katikati? Lampard kwakweli alishindwa kazi sijui kwanini alitaka kuendelea.
Ukiacha wewe kazi unakosa maokoto, ila ukisubil wakufukuze unaondoka na mpunga wako atacama mkataba ulikua ni miaka 4 ukafundisha mwezi mmoja unafukuzwa kazi huku Bank ikiwa imejaa , na ndomaana Potter timu ilikua imemshinda lakini alikua hataki kuachia sabab alijua anamkataba wa muda mrefu na pesa nyingi
 
James tatizo lake sio la kufanyiwa surgery bali ana tatizo la misuli kuwaka moto/ maumivu ya misuli.

Hata Kovacic ana tatizo hilo akicheza mechi kadhaa, wiki 2 nje kuuguza maumivu ya misuli.

James anatakiwa akacheze ligi ya India ambayo haitumii matumizi makubwa ya nguvu kama Epl au basi awe kipa atumie mikono zaidi kuliko miguu.
hamstring injury ni majeruhi ya misuli ya kwenye paja
Hizi misuli inapata moto mtu anapofanya mazezi kwa haraka, anaporuka nk. Inaweza pia ikakua taratibu anapofanya mazoezi ya kawaida
Kwa maelezo haya mchezaji kama huyu inakuwa ni tabia hata akifanya mazoezi ya kawaida
Mechi 1, 2, 3 anaenda kwenye majeruhi miezi miwili hadi minne
Ndio maana nikasema huyu
Kuwa namchezaji kama huyu ni hasara kwenye timu
Ule ubora wake unakuwa hauna faida kabisa
Bora uwe na mrukaji kama cucurela angalau tunamuona na minwele yake akiruka ruka uwanjani
Siku moja anakuwa MOTM tunapata point mechi inayofuata anaboronga tunafungwa au tunatoa droo
 
Yeye ndio ametaka kuuzwa wao walitaka kumtoa tu kwa mkopo.
Yes, baadaye nilikuja soma sehemu hivyo, Chelsea walikataa ila yeye akalazimisha, New castle ni timu yake ya utotoni na anapenda kucheza UCL
 
Upuuzi huu ,huyu James dirisha lijalo auzwe , huwezi kuwa na unreliable player kama huyu
 
20230818_134213.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom