Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,836
Watu lazima wagome kuingiza timu uwanjani msimu huu , lazima watukome ,ni kuwapelekea moto bila huruma kama changudoa aliyekula pesa za baharia wa kigiriki
James ameshakuwa pancha sana sio wa kumtegemea tenaKuna siku nilisema humu dingi Silva ana umri mkubwa mara mbili ya hawa madogo akina James ,lakini atacheza mechi nyingi kuwazidi , hatujaenda mbali James kwanza next atakyefuata Chillwell , dah
Hawa madogo sijui wana matatizo gani ,na huyu James tusishangae msimu ndio umeisha ivyo mpaka msimu ujao au akibahatika kurudi atacheza mechi mbili tatu then kitandani tena .
Kuna tatizo Chelsea sio siri
Tatizo ni chelsea tena??!! au yeye mwenyew ndio mwenye tatizo mbona wengine hawaumii umii hovyo.Kuna siku nilisema humu dingi Silva ana umri mkubwa mara mbili ya hawa madogo akina James ,lakini atacheza mechi nyingi kuwazidi , hatujaenda mbali James kwanza next atakyefuata Chillwell , dah
Hawa madogo sijui wana matatizo gani ,na huyu James tusishangae msimu ndio umeisha ivyo mpaka msimu ujao au akibahatika kurudi atacheza mechi mbili tatu then kitandani tena .
Kuna tatizo Chelsea sio siri
Halafu naye Pochettinoi wa ajabui sana, unawachagua makapteni wote sindano mkononiKuna siku nilisema humu dingi Silva ana umri mkubwa mara mbili ya hawa madogo akina James ,lakini atacheza mechi nyingi kuwazidi , hatujaenda mbali James kwanza next atakyefuata Chillwell , dah
Hawa madogo sijui wana matatizo gani ,na huyu James tusishangae msimu ndio umeisha ivyo mpaka msimu ujao au akibahatika kurudi atacheza mechi mbili tatu then kitandani tena .
Kuna tatizo Chelsea sio siri
Huyo mwehu abaki huko huko kwa wehu wenzake.Nasikia mnataka Balogun. Balogun naye anataka kutuacha sisi apate game time. Tupeni 70m guys. Ama naye asuke virasta mtupe 90?
Arsenal mnamuhitaji striker kuliko sisiNasikia mnataka Balogun. Balogun naye anataka kutuacha sisi apate game time. Tupeni 70m guys. Ama naye asuke virasta mtupe 90?
Sasa na Broja naye ambaye ni kitandani kila siku ? Tangia msimu uliopita ,Tusemeje ? ,Mi naona kuna tatizo kwa wachezaji na benchi la afya , hilo halina kipingamizi kabisa .Majeruhi na siku za kurudi kundini
View attachment 2721022
Broja naye hafai ndio maana mimi nitafurahi akiuzwaSasa na Broja naye ambaye ni kitandani kila siku ? Tangia msimu uliopita ,Tusemeje ? ,Mi naona kuna tatizo kwa wachezaji na benchi la afya , hilo halina kipingamizi kabisa .
Hatuwezi kusajiri mchezaji aliyekosa namba kwa hela zote hizo si bora tumrudishe Datro FofanaNasikia mnataka Balogun. Balogun naye anataka kutuacha sisi apate game time. Tupeni 70m guys. Ama naye asuke virasta mtupe 90?
Ivi watabi kwanini tushimrudishe Morata.?! Ni completely straika kwa sasa..
Hajakosa namba. Hataki kupambania hiyo namba na wengine wazuri kama yeye au pengine Bora zaidi yake. Anataka mahali ambapo yeye atakuwa ndiye Bora na no.1 katika uchaguzi wa kocha. Huenda akija kwenu hatakuwa na ushindani mkubwa sana na atapata nafasi zaidi kuonyesha uwezo wake na kufika levels za juu kimpiraHatuwezi kusajiri mchezaji aliyekosa namba kwa hela zote hizo si bora tumrudishe Datro Fofana
Unabishana na bench lenu la ufundi? Una taaluma ganiHuyo mwehu abaki huko huko kwa wehu wenzake.
Mkulungwa mimi nimetowa wazo tu. 😂😂😂We ni kiazi sana, kenge maji wewe.