Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kipa wenu kanogewa tayari
Screenshot_20230815-154937_X.jpg
 
Huyu Olise tayari tumempata

Chelsea have activated £35m release clause into Michael Olise’s contract — deal advancing to final stages Clause has always been there despite denials and all parties will be in touch to finalise the agreement.Olise already said yes to Chelsea, time to fix details.
https://twitter.com/FabrizioRomano
@Fabrizio Romano

View attachment 2718221
Olise anataka kuja kumlea mdogo wake pale darajanai, si unajua ukiwa sehemu then kakako anafanya kazi vizuri pembeni yako wewe mwenyewe unaheshimika.
 
For sale: Wachezaji sita wanauzwa
Issue ya Gallagher ni hadi pesa nzuri itolewe. Wasipotoa pesa nzuri anabaki
Pia taarifa zinadai kuwa Chukwuemeka au Lesley mmoja ni atatolewa mkopo
  1. Conor Gallagher (Anatamani naye kubaki ili kupigania nafasi- kuna uwezekano akabaki)
  2. Trevoh Chalobah,
  3. Ian Maatsen,
  4. Callum Hudson-Odoi and
  5. Hakim Ziyech.
  6. Carney Chukwuemeka or Lesley Ugochukwu out for loan
Chelsea rebuilding continue

Hii Chelsea mpya kila mtu ataipenda
Naona kule wachezaji wengi wa U21 wanamezea mate Chelsea ya sasa na ya Pochettino
 
Apo kwa masten tutakuja kujuta
For sale: Wachezaji sita wanauzwa
Issue ya Gallagher ni hadi pesa nzuri itolewe. Wasipotoa pesa nzuri anabaki
Pia taarifa zinadai kuwa Chukwuemeka au Lesley mmoja ni atatolewa mkopo
  1. Conor Gallagher,
  2. Trevoh Chalobah,
  3. Ian Maatsen,
  4. Callum Hudson-Odoi and
  5. Hakim Ziyech.
  6. Carney Chukwuemeka or Lesley Ugochukwu out for loan
Chelsea rebuilding continue

Hii Chelsea mpya kila mtu ataipenda
Naona kule wachezaji wengi wa U21 wanamezea mate Chelsea ya sasa na ya Pochettino
 
Chelsea hadi sasa tumetumia Pauni 53.6m hapo FFP itatupigaje faini?
Boehly kweli ni business guru, anajua kutumia loophole za kibiashara

View attachment 2718232
Jamaa amekuja kuwafundisha watu namna ya kufanya biasahara ya kusajili wachezaji...mimi nimekuwa nikijiuliza hivi biashara anayofanya huyu jamaa wa Chelsea inalipa kweli? Sikuelewa kwanini mabosswalimchagua kuwa yeye ndo awe anaendesha timu.
 
Jamaa amekuja kuwafundisha watu namna ya kufanya biasahara ya kusajili wachezaji...mimi nimekuwa nikijiuliza hivi biashara anayofanya huyu jamaa wa Chelsea inalipa kweli? Sikuelewa kwanini mabosswalimchagua kuwa yeye ndo awe anaendesha timu.
Yaani kilichotumika hapo ni amortization ambayo ili uweze kufanya amortization vizuri lazima ufanye haya mambo manne nadhani
  1. Kubargain na muuzaji ili ulipe kwa instalments nyingi iwezekanavyo
  2. Kumpa mchezaji mkataba wa muda mrefu
  3. Kuhakikisha wage bill inakuwa ndogo (Ndio maana wale wote wenye mishahara mikubwa wakauzwa
  4. Kuuza homegrown ili kuwa na margin kubwa ya profit, mfano uuzwaji wa Mount ulitupa faida kubwa, yaani ulituboost sana
Hayo ndio yalifanyika hadi tukapata mauzo ya pauni 232.3m na matumizi ya 285.9

1692110540028.png
 
Yaani kilichotumika hapo ni amortization ambayo ili uweze kufanya amortization vizuri lazima ufanye haya mambo manne nadhani
  1. Kubargain na muuzaji ili ulipe kwa instalments nyingi iwezekanavyo
  2. Kumpa mchezaji mkataba wa muda mrefu
  3. Kuhakikisha wage bill inakuwa ndogo (Ndio maana wale wote wenye mishahara mikubwa wakauzwa
  4. Kuuza homegrown ili kuwa na margin kubwa ya profit, mfano uuzwaji wa Mount ulitupa faida kubwa, yaani ulituboost sana
Hayo ndio yalifanyika hadi tukapata mauzo ya pauni 232.3m na matumizi ya 285.9

View attachment 2718238
Lukaku
Ziyech
Hodoi hawa wakiuzwa bado faida itakuwepo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom