Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

james kaumia anasubiriwa kufanyiwa scan halafu tutaambiwa miezi mingine minne
Huyu hakustahili hata kuchaguliwa kuwa kapteni
Akina Boehly utashangaa mwakani akawekwa sokoni
 
james kaumia anasubiriwa kufanyiwa scan halafu tutaambiwa miezi mingine minne
Huyu hakustahili hata kuchaguliwa kuwa kapteni
Akina Boehly utashangaa mwakani akawekwa sokoni
Huyu nae alikuwa wa kuuzwa tu hakuna jipya hapo kijana mdgo halafu mpuuzi
 
Dili la Olise limekufa baada ya Palace kutaka kuipeleka Chelsea mahakamani
Na Olise amesaini mkataba mpya wa miaka minne na Palace
Sasa tumemgeukia Brennan Johnson wa Nottingham Forest anayeuzwa Pauni mil 40
1692282369261.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom