Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wabaya wetu ndivyo walivyotutakiwa wakati Roman Abramovich kapigwa ban

"Klabu inaweza kwenda kupasuka katika wiki!"
"Je, huu ndio mwisho wa Chelsea kama tunavyoijua?"
"Chelsea kuingia kwenye utawala"
"Chelsea inaweza kushuka daraja!"

Tangu miezi hii 18 imepita, tumekuwa tukiwagaragaza kwenye soko tena. Hebu fikiria tukianza kubeba tena makombe itakuwaje


1692113938682.png
1692113953372.png
1692113969746.png
1692113990656.png
 
Cheki jinsi tulivyofanya biashara nzuri
  1. Kante out - Caicedo in
  2. Auba out - Jackson in
  3. Kova out - Lavia in
  4. Jorgi out - Enzo in
  5. Cheek out - Santos in
  6. Ziyech out - Madueke in
  7. Azpilicueta out - Gusto in
  8. Pulisic out - Mudryk in
  9. Havertz out - Olise in
  10. Mount out - Nkunku in
  11. Kepa out - Sanchez in
  12. Koulibally out - Colwill in
  13. Chalobah out - Disasi in
  14. Kepa our - Sanchez in
  15. Hudson out - Kudus in??
  16. Lukaku out - Elye Wahi/Vlahovic in??
  17. Mendy out - Costa in??
 
Cheki jinsi tulivyofanya biashara nzuri
  1. Kante out - Caicedo in
  2. Auba out - Jackson in
  3. Kova out - Lavia in
  4. Jorgi out - Enzo in
  5. Cheek out - Santos in
  6. Ziyech out - Madueke in
  7. Azpilicueta out - Gusto in
  8. Pulisic out - Mudryk in
  9. Havertz out - Olise in
  10. Mount out - Nkunku in
  11. Kepa out - Sanchez in
  12. Koulibally out - Colwill in
  13. Chalobah out - Disasi in
  14. Kepa our - Sanchez in
  15. Hudson out - Kudus in??
  16. Lukaku out - Elye Wahi/Vlahovic in??
  17. Mendy out - Costa in??
Hapo kwa Madueke mara10 bora angebak tu Ziyech. Madueke alichomzidi Ziyech ni mirasta yake ile.
 
Vyanzo vingi vilivyo karibu na uhamisho wa Romeo Lavia vimeeleza Lavia kushangazwa na mbinu za Liverpool na akabaki akihisi kuwa alikuwa chaguo la pili baada ya kuwasilisha ombi la kumnunua Moises Caicedo.

Simon Phillips
Multiple sources close to the Romeo Lavia transfer have expressed Lavia bemusement over Liverpool's tactics and he was left feeling that he was second choice after they bid for Moises Caicedo.
 
Kulikuwa na mashabiki waliokuwa wanadai Caicedo ni mchezaji wa Pauni mil 70 tu
Sasa mmeiona hiyo, British record fee ya Mil 115
Wangesikia ushauri wetu mwanzoni wa kulipa pesa waliotaka Brighton wangelipa mil 100 tu
Utulivu utakaoletwa kwenye katikati ya uwanja, ukataji wa umeme ambao utampa uhuru Enzo kufanya vitu vyake kule mbele ndio pekee utatusaidia kushinda mechi nyingi za kutosha kutwaa mataji. Hata Jackson na washambuliaji wetu wengi watafunga magoli mengi msimu huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom