Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,622
Huyo jamaa anapitia maumivu makali sana akiangalia timu yao haina kiungo mkabaji na sokoni sasahivi hamna kiungo ya maanaBro wewe ni loser kabisa. Unaonekana kabisa umeshindwa vita na una uchungu kuachwa au kukataliwa. Ulisema mtambulisheni na tumemtambulisha unaleta hoja sizo. Kubali kwamba hamna kitu kwa sasa. Lavia mmepanda bei paun 60 bado mmekataliwa sisi tumeka 50 amekubal na tunamchukua. Naelewa unavojisikia bro pole sana. Ndani ya siku mbili mnafanyiwa kitu mbaya.



