Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bro wewe ni loser kabisa. Unaonekana kabisa umeshindwa vita na una uchungu kuachwa au kukataliwa. Ulisema mtambulisheni na tumemtambulisha unaleta hoja sizo. Kubali kwamba hamna kitu kwa sasa. Lavia mmepanda bei paun 60 bado mmekataliwa sisi tumeka 50 amekubal na tunamchukua. Naelewa unavojisikia bro pole sana. Ndani ya siku mbili mnafanyiwa kitu mbaya.
Huyo jamaa anapitia maumivu makali sana akiangalia timu yao haina kiungo mkabaji na sokoni sasahivi hamna kiungo ya maana
 
Moises Caicedo:
"Familia yangu ndiyo muhimu zaidi," Wao ni kila kitu kwangu. ni furaha kubwa sana kushiriki wakati huu na Mama yangu, na mpenzi wangu. Nina furaha zaidi kuwa hapa pamoja nao. Wamekuwa nami katika nyakati mbaya, na ndiyo maana katika nyakati nzuri ninapenda kuwa nao. Wamekuwa wakiniunga mkono katika kila hatua. Hiyo ni ajabu kwangu. Wako akilini mwangu kila wakati, hata katika kila kipindi cha mafunzo na kila mchezo. Mimi ni mvulana mnyenyekevu ambaye kila wakati naitakia familia yake mema.”

Kimombo
“My family is the most important thing,’ he acknowledges.They are everything for me. It is amazing to share this moment with my Mum, and my girlfriend. I am even happier to be here with them. They are there for me in bad moments, and that’s why in the good moments I like to be with them. They have always supported me in every step. That’s amazing for me. They are always on my mind, even in every training session and every game. I’m a humble guy who always wants the best for his family.”
1692075135128.png
 
Moises Caicedo:
Nilikulia kwenye tembe kule kwetu Ecuador na nikihofia maisha yangu iliyozungukwa na panya, maovu, madawa ya kulevya, ukahama, ubakaji, nguo feki, kumuita dada yangu mpenzi wangu.
Kwa nini sasa nijiingize tena katika hizo shida kwa kuhamia Liverpool??

1692075791581.png


(Kwa maoni yangu, huu ni UTANI WA JADI)
 
Tetesi:
Chelsea itazuia uwezekano wowote wa kumuuza au kumtoa mkopo Armando Broja
Pia hakutakuwa na usajili tena wa striker, Jackson, Nkunku na Broja watajaza hiyo nafasi.
Kwa maoni yangu ni sawa kwa sababu tayari tunaye tayari Jackson na Nkunku ambaye pia anaweza kucheza kama striker. Broja anazo dalili nyingi na nzuri za kuja kuwa striker mzuri

  1. Umri mdogo
  2. Mrefu
  3. Umbile kubwa
  4. Uwezo wa kufanya ball recoveries na kumiliki mpira
  5. uwezo wa kukimbia na kufanya runs kwenye eneo la adui
  6. uwezo wa kushoot - kocha hapa itabidi afanye kazi ya kumfundisha
  7. Kucheza mipira ya juu
Maeneo ambayo anatakiwa kufanyia kazi ili kuimarisha ni
  1. Dribling
  2. Ufanisi kwenye kupasi na kufunga
  3. Kusoma mchezo na kuwahi kwenye viboksi - visioning and creativity
  4. Kutengeneza nafasi
  5. kuwachezesha wenzake
  6. kufanya maamuzi
  7. Kushoot golini
Nini maoni yako
View attachment 2717664
View attachment 2717663
Sema Jackson January ataenda Afcon hapo ndo itakua shida hasa kama timu itakua inamtegemea katika ufungaji.
 
Anaongea shit alijua sisi tunatania
Nakumbuka nilipoanza kutoa taarifa za Caicedo kuikataa Liverpool, walinijia juu na matusi kwa maana walishajua kwa 100% walikuwa wanamchukua. Haya yatakuwa ni maumivi makubwa sana
Hakuna shabiki hata mmoja wa Liverpool anayemjua Caicedo anakataa uwezo wake
Wengi wenye negativity wanasema Caicedo wewe ni mchezaji mzuri sana ila huko unakokwenda unakwenda kuua kipaji chako (sehemu ya maumivu ya kumkosa hayo) ila hakuna anayesema kuwa huyo anakuwa overrated kama hapa jamii forums.
Kwa hiyo kuna baadhi ya mashabiki wa Liverpool wanaumia kweli kweli

Mimi niliposikia dau la mil 111 ya liverpool siku hiypo ya alhamisi usiku na kwamba Brighton wameikubali na kwamba deadline ilikuwa imeisha saa nane usiku saa za Uingerea yaani niliumia nilianza kuugua ugonjwa wa ajabu ajabu hadi taarifa zilipoanza kujitokeza asubuhi kuwa Chelsea wamekataa kushindwa, baadaye taarifa za SkySports na vyanzo vingine vinajitokeza na habari ziliosema Caicedo ana maoni tofauti na hilo dau la Liverpool na baadaye baada ya mchana ijumaa hiyo hiyo anajitokeza kijana wetu, mweusi mwenzetu Moises mwana wa Caicedo kupitia Fabrizio Romano anasema Caicedo ameiambia Liverpool kuwa yeye anataka kwenda kuichezea klabu ya Chelsea tu. Hapo ndipo ugonjwa wangu wa ajabu ajabu uliokuwa unaninyemelea kwa kumkosa Caicedo ukaanza kutulia na furaha ikaipoteza huo ugonjwa kabisa.

Sasa mimi nilivyojisikia maumivu kihivyo kwa kumkosa tu Caicedo nawaza na hao Liverpool ambao kweli DMs zao zote hakuna ni uozo mtupu, Caicedo alikuwa aende akatatue huo uozo halafu wameweka dau kubwa la kihistoria halafu tena anajitokeza mhusika mwenye anasema haitaki Liverpool. inauma sana. Mbaya zaidi anajitokeza tena tumaini pekee lililobaki kwa Lavia naye anasema anataka kwenda Chelsea tu, ni kama ameshindilia msumari penye kidonda cha Caicedo. Wewe ungekuwa wewe maumivu ni kiasigani

Tumsamehe tu atukane hadi nyongo yake mbaya iishe ili apone. Akipona naamini atakuja kuomba msmaha
 
Chelsea’s estimated amortised spending in the past three windows
Lavia will take the total transfer fee commitment past the £900million mark since Chelsea’s new American owners assumed control in June 2022

Chelsea’s estimated amortised spending in the past three windows comes to £157.2 million. This is almost entirely offset by an accounting profit from player sales of £149.6 million over the same period.-
@TheAthleticFC
 
Moisés Caicedo: “I am so happy to join Chelsea! I am so excited to be here at this big club and I didn’t have to think twice when Chelsea called me”.

“I just knew I wanted to sign for this club, Chelsea”.

“It’s a dream come true to be here and I can’t wait”.
Bora tumeziba pengo la Ngolo Kante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom