Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi Nathael Chalobah na Trevoh Chalobah ni ndugu? Make naona wote wamezaliwa Freetown Seara Leone.
 
Guess what
1692040290525.png
 
Taarifa za chinichini kilichosababisha Michael Olise kukataa Man City na kutaka kujiunga na Chelsea ni kuwa amekubaliana na uongozi wa Chelsea kuwa baada ya miaka miwili Chelsea iweze kumpandisha mdogo wake Richard Olise kutoka U21 team hadi Senior team.
Yaleyale ya Eden Hazard
 
Mtu asiwadanganye
Tatizo kubwa la Chelsea kufanya vibaya ni kwenye Ukabaji wa kwenye Kiungo
UCL tulibeba kibahati sana kwa vile tulikuwa na mabeki waliokuwa onfire pamoja na Mendy naye alikuwa onfire
Kante alisaidia alipokuwa hayupo Majeruhi, ila hao viungo wengine akina Jorginho sijui Mount sijui tena Cheek na Kovacic walikuwa ni wa kuunga unga tu. Mfano wa pekee Kovacic alikuwa na juhudi sana, alitubeba kwenye kukaba na kupeleka mipira mbele ila baada ya kuja Enzo ndio tunajua kuwa Kovacic hakuwa na end product nzuri.
Sasa tunao viungo world class pamoja na chipukizi

Enzo - ushambuliaji na pia mzuri sana kwenye kukaba
Caicedo mastaclass wa kukaba kama akina Makelele au Kante huyu ni Makelele v2.0 au Kante V 2.0
Lavia chipukizi anyekaribia kukomaa
Andrey Santos chipukizi anyekaribia kukomaa
Chukwuemeka kiungo Chipukizi anayekomaa
Hawa watano tumeshamaliza tatizo la Midi

Kwenye ushambuliaji akija Olise na tukapata world class striker ikibidi
  1. Vlahovic
  2. Elye Wahi
ambao ndio wako sopkoni na wanaweza kupatikana kwa bei nzuri na pia wote wamekuwa linked na Chelsea
 
‘Niliutazama mchezo huo nikiwa hotelini na niliwaunga mkono wachezaji kutoka,’

‘Timu ilikuwa nzuri sana. Nilifurahia sana. Wachezaji wapya wa Chelsea walifanya vizuri sana. Nilitaka kuwa uwanjani nao! Ninapenda mfumo wa uchezaji, ni mzuri kwangu. Nina hakika nitaenda kuzoea haraka sana
1692048056654.jpeg
 
Tatizo mvuto kaka. pia Chelsea wana DNA ya makombe makubwa tofauti na kina Liver, Arsenal Man u wanakaa muda mrefu bila kombe this is Chelsea Fc. Blue is colour
Na pia kitendo klop alichomfanyia Mane kiliwakera wengi. Uzuri mungu analipa hapa hapa duniani, mzimu wa mane utamtafuna mpk ashuke daraja.
 
Tetesi:
Chelsea itazuia uwezekano wowote wa kumuuza au kumtoa mkopo Armando Broja
Pia hakutakuwa na usajili tena wa striker, Jackson, Nkunku na Broja watajaza hiyo nafasi.
Kwa maoni yangu ni sawa kwa sababu tayari tunaye tayari Jackson na Nkunku ambaye pia anaweza kucheza kama striker. Broja anazo dalili nyingi na nzuri za kuja kuwa striker mzuri

  1. Umri mdogo
  2. Mrefu
  3. Umbile kubwa
  4. Uwezo wa kufanya ball recoveries na kumiliki mpira
  5. uwezo wa kukimbia na kufanya runs kwenye eneo la adui
  6. uwezo wa kushoot - kocha hapa itabidi afanye kazi ya kumfundisha
  7. Kucheza mipira ya juu
Maeneo ambayo anatakiwa kufanyia kazi ili kuimarisha ni
  1. Dribling
  2. Ufanisi kwenye kupasi na kufunga
  3. Kusoma mchezo na kuwahi kwenye viboksi - visioning and creativity
  4. Kutengeneza nafasi
  5. kuwachezesha wenzake
  6. kufanya maamuzi
  7. Kushoot golini
Nini maoni yako
1692071474737.png

1692071439697.png
 
Sasa huyo sokwe ndio ulitaka timu kubwa kama Liverpool imsajili huyo nyani ni kwa ajili ya vitimu vidogo kama Chelsea
Bro wewe ni loser kabisa. Unaonekana kabisa umeshindwa vita na una uchungu kuachwa au kukataliwa. Ulisema mtambulisheni na tumemtambulisha unaleta hoja sizo. Kubali kwamba hamna kitu kwa sasa. Lavia mmepanda bei paun 60 bado mmekataliwa sisi tumeka 50 amekubal na tunamchukua. Naelewa unavojisikia bro pole sana. Ndani ya siku mbili mnafanyiwa kitu mbaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom