Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Taarifa zinasema kuwa Chelsea wametumia mbinu ya kutoshiriki kwenye mashindano ya UEFA kuendelea na mikataba ya miaka zaidi ya mitano kama ilivyowekwa na UEFA msimu ulioisha.
Pia kwavile upande wa PL hakuna sheria inayoweka kikomo cha miaka kwenye mkataba wa mchezaji lenye lengo la kutawanya pesa ili kukwepa ile rungu la FFP ya UEFA.
Ngoja tuone kama sheria ya UEFA itarudi nyuma kuwatafuta Chelsea baada ya kufuzu hapo baadae.
Kuna mmoja alicoment kuwa hata kama timu haipo UEFA hiyo sheria inawabana tu
Sisi hata tukipigwa faini ni sawa.
Faini yenyewe ni ya pesa na kunyang'anywa points inaweza isizidi 15
Kwa hiyo msimu huu tutakusanya nyingi sana ili wakitunyang'anya tunabakia kwenye ligi
 
Mchezaji kama huyo hawezi kuchezeea timu kubwa kama Liverpool ni levo ya timu ndogo kama Chelsea hapo tuelewane ynwa
20230814_195312.jpg
 
Moisés Caicedo: “I am so happy to join Chelsea! I am so excited to be here at this big club and I didn’t have to think twice when Chelsea called me”.

“I just knew I wanted to sign for this club, Chelsea”.

“It’s a dream come true to be here and I can’t wait”.
 
🚨 BREAKING: The Premier League are set to close the Financial Fair Play contract loophole that is being successfully exploited by Chelsea by bringing their accounting rules in line with UEFA's from next summer.

The anomaly in accounting rules has been raised with the Premier League by several clubs & is set to be discussed at shareholders' meetings this season, with a view to a rule change being introduced next summer.

- Mail
 
BREAKING: The Premier League are set to close the Financial Fair Play contract loophole that is being successfully exploited by Chelsea by bringing their accounting rules in line with UEFA's from next summer.

The anomaly in accounting rules has been raised with the Premier League by several clubs & is set to be discussed at shareholders' meetings this season, with a view to a rule change being introduced next summer.

- Mail
Wanakumbuka shuka kumekucha
 
Caicedo: “Makelele na Kante walikuwa na ushawishi mkubwa kwangu. Nilipokuwa mtoto, nilikuwa mshabiki wa Chelsea na nilikuwa nikitazama mechi za Chelsea. Inashangaza leo nipo hapa." 🔵

"Sio kuamini tu, nina uhakika tunakwenda kushinda mataji mengi na klabu hii ya ajabu na kuiweka Chelsea pale inapostahili kuwa"
1692037795650.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom