Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Taarifa zinasema kuwa Chelsea wametumia mbinu ya kutoshiriki kwenye mashindano ya UEFA kuendelea na mikataba ya miaka zaidi ya mitano kama ilivyowekwa na UEFA msimu ulioisha.
Pia kwavile upande wa PL hakuna sheria inayoweka kikomo cha miaka kwenye mkataba wa mchezaji lenye lengo la kutawanya pesa ili kukwepa ile lungu la FFP ya UEFA.
Ngoja tuone kama sheria ya UEFA itarudi nyuma kuwatafuta Chelsea baada ya kufuzu hapo baadae.
Utapeli hautakuja kuisha
 
Walikuwa wakitucheka kwamba hakuna anayehitaji kuichezea timu iliyoshika nafasi ya 12 kwenye ligi bila soka la Ulaya, lakini ona sasa mambo yanawaendea kinyume. Kila mchezaji mzuri anataka kujiunga na Chelsea

Romeo Lavia ameiambia Southamptom kwamba anataka kujiunga na Chelsea Kwa hiyo sasa Chelsea na Soton wanafunga dili la pauni 50m pamoja na addons
1692034002567.png
 
Enzo, Caicedo, Lavia.

Wapinzani tuogope au Chelsea wanarundika tu wachezaji? hamis77 unaiona hiyo trio ikisumbua EPL msimu huu?
Enzo no. 10, ndio mkakati uliopo. Alishamwambia Kocha anataka kucheza mbele

Kutakuwa na Pivot ile ile ya wawili

Nkunku/Mudryk --------Enzo/Chukwu ----------Olise/Madueke

-----------Caicedo ----------------Lavia -----------
 
Embu kuweni serious basi hao ni wachezaji wa kucheza timu ndogo kama Chelsea sisi tunaenda kuchukua valverde na Tchouameni hivi sisi tuchukue hizo takataka
Nna habari mbaya juu yako.

Moises Caicedo and Romeo Lavia both choose #Chelsea over Liverpool while Aurélien Tchouaméni is liking tweets about him not wanting to join them.

They are finished.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom