Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie chelshit mmekutana na kiwete mwenzenu Liverpool mkatoa sare mkaona mkajiona mko vizuri eti?

Hiyo mechi ya Jana mlitakiwa mshinde Tena kwa zaidi ya magoli 2.Shida zenu za last season bado ziko pale pale acheni kujidanganya eti mna kikosi kizuri.

Tumekubali mkuu. Hatuko vizuri
 
Kwani alikua hajasajiliwa kumbe mlikua mnadanganya hahaha mtambulisheni basi
Kula chuma hicho
IMG_20230814_180636.jpg
 
Msisahau tumeuza sana pia wachezaji msimu huu ,nadhani Chelsea ndio timu iliyoingiza pesa ndefu kwenye kuuza wachezaji msimu huu kati ya ligi zote kubwa ulaya , na hapo bado kuna viporo hatuja maliza na navyo , kama Challobah , Odoi ,Ziyech ,Lukaku .
So kuna pesa bado itaingia mpaka kufikia mwishoni mwa dirisha la usajili hiyo tarehe 31
 
Enzo, Caicedo, Lavia.

Wapinzani tuogope au Chelsea wanarundika tu wachezaji? hamis77 unaiona hiyo trio ikisumbua EPL msimu huu?
Watapush Sana top 4, Kama Jana Liverpool ambaye anajinasibu title Contender kawa outplayed vile ,bas ongezeko la Lavia,caicedo plus Enzo , wataokota points nyingi kwa mid table team
 
Watapush top 4 to be honest
EPL msimu huu inatisha sana zile nafasi 4 naona chache. Timu yangu sijui kama itaweza kwenda na kasi ya huu mchakamchaka!

Bado ukigusa UCL kuna Madrid, Bayern, Barca. 😄 Huu mpira umekuwa vita sasa. Halafu masuala ya kununua wachezaji kutoka mid-table clubs ni kuziimarisha kifedha kuja kusumbua big 6. Brighton, Newcastle, Villa, West Ham wataharibu sana mipango hawa.
 
Taarifa zinasema kuwa Chelsea wametumia mbinu ya kutoshiriki kwenye mashindano ya UEFA kuendelea na mikataba ya miaka zaidi ya mitano kama ilivyowekwa na UEFA msimu ulioisha.
Pia kwavile upande wa PL hakuna sheria inayoweka kikomo cha miaka kwenye mkataba wa mchezaji lenye lengo la kutawanya pesa ili kukwepa ile rungu la FFP ya UEFA.
Ngoja tuone kama sheria ya UEFA itarudi nyuma kuwatafuta Chelsea baada ya kufuzu hapo baadae.
 
EPL msimu huu inatisha sana zile nafasi 4 naona chache. Timu yangu sijui kama itaweza kwenda na kasi ya huu mchakamchaka!

Bado ukigusa UCL kuna Madrid, Bayern, Barca. Huu mpira umekuwa vita sasa. Halafu masuala ya kununua wachezaji kutoka mid-table clubs ni kuziimarisha kifedha kuja kusumbua big 6. Brighton, Newcastle, Villa, West Ham wataharibu sana mipango hawa.
UCL hakuna mchakamchaka Kama Ligi

Kule baryen ,Madrid wamepungua Sana quality, imagine Madrid Sasa Hana CF world class, Wala GK world class , baryen angalau wamempata Kane ,Ila GK,backline na midfield zao za kawaida .

Mziki upo EPL , ukiokota points kwa kina Newcastle Astonvilla Brighton,unakuwa nafas nzuri
 
Ni Liverpool haina mvuto au pesa?

Mbona huyu dogo Liverpool ndio walikuwa wakwanza kumalizana nae ,kujichelewesha kwao ,kukawapa nafas Chelsea kuingilia

Leo eti wanatuma £60m , wakati walikuwa wanachezea kwenye £42m


Usajili una drama sana
Joe Shield ndie siri kwenye hili deal, ni mtu aliyemuona Lavia tangu yuko city, akamvuta soton,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom