Mzee unatumia nguvu nyingi sanaaa tunajua tayari huyo ni wenu mtambulisheni SasaTetesi: Deal Done
Huyu reporter mkubwa wa Liverpool amerusha kuwa tayari Chelsea wameafikiana na Brighton kuhsu usajili wa Caicedo kwa dau la Pauni mil 115
Caicedo atapewa mkataba wa miak 8 hadi 2031 na nyongeza ya mwaka hadi 2032
Time yake ya kule Ecuador ambayo ndio ilimshauri aisikilize na Chelsea baada ya Liver kuvamia inayoitwa Independiente del Valle itapewa pauni mil 23
View attachment 2715766
Lete page zenu mkimtambulisha mzeeee🤣🤣🤣🤣🤣 kelele nyingi sana tangu Jana matajiri 🤣🤣🤣🤣livakuku
https://twitter.com/FabrizioRomano
Fabrizio Romano
@FabrizioRomano
Kepa to Real Madrid, here we go! Loan deal verbally agreed between Real and Chelsea, no obligation/permanent move for Spanish GK RealMadrid Kepa immediately said yes to Real after talks with Bayern over the last 3/4 days.He already said goodbye, ready to travel.
View attachment 2715590
Kule mbele yeye pekee ndiye mzoefuIvi sterlin hauzwi. Tuwape Arsenal kama zawadi kwa kutupa pesa nzuri kwa kai
Asije akaflop tu akawa kama Cucurella aka kuku broilerNaam Mwamba huyo Hapo sasa. Makataba mpka 2031 na Mwaka Mmoja zaidi 2032 [emoji91][emoji91]View attachment 2715767
Juzi usiku Chelsea waliwasilisha bid ya pauni 115MTetesi: Deal Done
Huyu reporter mkubwa wa Liverpool amerusha kuwa tayari
Chelsea na Brighton wameafikiana kuhusu usajili wa Caicedo kwa ada la Pauni milioni 115
Caicedo atapewa mkataba wa miaka 8 hadi 2031 na nyongeza ya mwaka hadi 2032
Time yake ya kule Ecuador ambayo ndio ilimshauri aisikilize na Chelsea baada ya Liverpool kuvamia inayoitwa Independiente del Valle itapewa pauni milioni 23
View attachment 2715766
Chelsea na Brighton wameafikiana kuhusu usajili wa Caicedo kwa ada la Pauni milioni 115
Caicedo atapewa mkataba wa miaka 8 hadi 2031 na nyongeza ya mwaka hadi 2032
Time yake ya kule Ecuador ambayo ndio ilimshauri aisikilize na Chelsea baada ya Liverpool kuvamia inayoitwa Independiente del Valle itapewa pauni milioni 23
Hili dili ni kweli limeisha sijui kwa nini hawalitangazi rasmi??DEAL DONE, kesho anatambulishwa kwenye mchezo dhidi ya LivaKUKU
MnafeliIle bid ya 60 hakusema ,na hakuna mwandishi mwenye info za caicedo kwa ukaribu Kama Fabrizio, Ornstein ndio alikuja kufichua Chelsea wametuma ofa ya 60 ikawa rejected ,hata ofa zilizofatia alikuwa hasemi kuwa zimekuwa rejected,
Ni wengi wanamuhisi hivo
Mzee unaaangaika sana wote tumeshajua mumemchukua mtambulisheni basi 🤣🤣🤣🤣 naona Kila mda unaleta update🤣🤣🤣🤣
Tunajua tayari mumemchukua mtambulisheni basi maana naona unatuaminisha sana Mzee 🤣🤣🤣 huyo ni wenu au haujiaamini🤣🤣🤣🤣🤣Kwa nini Chelsea wamelipa pauni 115m?
- Point 1: Hata kama Chelsea wangeamua kulipa pauni 100m, Brighton wangekubali endapo tu ina namna ya malipo bora in favor of Brighton kuliko ile ya Liverpool
- Point 2: Chelsea wamelipa pauni 115m ili namna ya malipo iwe bora in favor of Chelsea and not Brighton
Update za Caicedo kuja darajani
- Juzi usiku Chelsea waliweka bid ya pauni 115m mezani
- jana siku nzima walikuwa wakikubaliana namna ya malipo na hiyo pia wameshakubaliana
- Usiku wa leo kwa maana bado wanaendela, wanabadilishana emails. Mwandhis nguli wa habari za michezo wa Liverpool DaveOCKOP anasema iliyobaki ni formalities tu za paper work na baada ya hapo ndipo itakapotangazwa rasmi.
Basi mtambulisheni deal limeisha naona unatuaminisha sana wakati wote humu tunnajua matajiri ambao munawazidi mancity pesa mumemchukua caicedo 🤣🤣🤣🤣🤣Hili dili ni kweli limeisha sijui kwa nini hawalitangazi rasmi??
Na liliisha tangu juzi usiku
Wale waandishi wa habari wa liverpool maarufu wao waliendelea kusodoa na hawakujua kinachoendlea wakijiwekea matumaini hadi wakamualika Tajiri wa Liverpool kutoka MArekani akina John W Henry na wajumbe wengine wa FSG Group kuja London kushuhudia pamoja na mechi ya Liverpool dhidi ya Chelsea lakini pia usajili wa Caicedo kwenda Liverpool
Sasa jana usiku walipogundua kumbe Brighton wamepokea bid ya Chelsea na wamekubalina namna ya malipo wakafyata wakatulia tuli, hakuna fujo tena
Sasa wamebaki kusema watafurahi sana Liverpool ikiifumua Chelsea kesho mbele ya Caicedo akishuhudia
Hili dili ni kweli limeisha sijui kwa nini hawalitangazi rasmi??
Na liliisha tangu juzi usiku
Wale waandishi wa habari wa liverpool maarufu wao waliendelea kusodoa na hawakujua kinachoendlea wakijiwekea matumaini hadi wakamualika Tajiri wa Liverpool kutoka MArekani akina John W Henry na wajumbe wengine wa FSG Group kuja London kushuhudia pamoja na mechi ya Liverpool dhidi ya Chelsea lakini pia usajili wa Caicedo kwenda Liverpool
Sasa jana usiku walipogundua kumbe Brighton wamepokea bid ya Chelsea na wamekubalina namna ya malipo wakafyata wakatulia tuli, hakuna fujo tena
Sasa wamebaki kusema watafurahi sana Liverpool ikiifumua Chelsea kesho mbele ya Caicedo akishuhudia