Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama nilivyosema jana Kumbe Liverpool walikuwa na Caicedo wakati wa mchana na aliwaambia yeye anataka kujiunga na Chelsea tu, so no more bidding war
1691811080070.png
 
Makubaliano kati ya Chelsea na Southampton kwa Lavia sasa yanakaribia £52M + £3M pamoja na nyongeza.
Bado haijakamilika.
Pia Chelsea wanataka kuongeza muda wa mkataba kutoka miaka 5 hadi 7 + mwaka mmoja wa nyongeza ya hiari.

Agreement between Chelsea and Southampton for Lavia is now close to £52M + £3M plus add-ons. Not a done deal yet. Chelsea want to extend the contract duration from 5 to 7 years + one year option.
 
Caicedo jana kawatumia baadhi ya mameti zake walioko Chelsea kuwa
"Meti tutakutana hivi karibuni"
Nadhani mmojawapo wa hao meti ni Colwill, Cucurella na Robert Sancez
1691813280057.png
 
Nyie si mnataka tuonyeshane makali ya pesa?

Mlimuondoa Roman mkadhani atakuja tajiri mpare.

Matokeo yake timu ikanunuliwa na bank ya Marekani.

Na mchezaji akizingua tunamuuza kwa bank yetu ya Saudia, tunanunua vyuma vingine.

Tunaweka mpira pembeni tunafanya shughuli za kibank (Manunuzi, Mauzo, Mikopo, Riba na Faida)
Kwa hiki kikombe mlichomnywesha Liverpool,nyie sio wakushindana kwenye sajili

Hadi Lavia ambaye Liverpool alikuwa anategemea mnabeba
 
Hapa Liverpool wanajaribu kuipiga Chelsea kwa sababu ya Caicedo ila mwishoni Chelsea anashinda

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila mlituzodoa jana asubuhi hatari. Tuendelee kuburudika kupata updates Caicedo anaweza kuja Liverpool amini ivo
Liverpool na klopp wao walijioona Wana mvuto Caicedo hawez kuchomoa Waka book na Medical kabisa afanyiwe asubuhi na klopp akapanga aongee na Caicedo kabla ya Press ,

Klopp kwenye press anaongea kwa mbwembwe kabisa Wamekubaliana na Brighton , mwenzie Poch kajibu ,hawez zungumzia mchezaji ambaye sio wake


Sasa Liverpool shughuli yake imeishia hapa

(🟢) NEW:

Liverpool have been trying all day to change Moises Caicedo’s mind but Chelsea now have the opportunity to close the deal.

[@FabrizioRomano]
 
Liverpool na klopp wao walijioona Wana mvuto Caicedo hawez kuchomoa Waka book na Medical kabisa afanyiwe asubuhi na klopp akapanga aongee na Caicedo kabla ya Press ,

Klopp kwenye press anaongea kwa mbwembwe kabisa Wamekubaliana na Brighton , mwenzie Poch kajibu ,hawez zungumzia mchezaji ambaye sio wake


Sasa Liverpool shughuli yake imeishia hapa

(🟢) NEW:

Liverpool have been trying all day to change Moises Caicedo’s mind but Chelsea now have the opportunity to close the deal.

[@FabrizioRomano]
Kwahiyo tukusaidiaje naona kinyeo kinakuwasha sana angalia utakiponza
 
Liverpool na klopp wao walijioona Wana mvuto Caicedo hawez kuchomoa Waka book na Medical kabisa afanyiwe asubuhi na klopp akapanga aongee na Caicedo kabla ya Press ,

Klopp kwenye press anaongea kwa mbwembwe kabisa Wamekubaliana na Brighton , mwenzie Poch kajibu ,hawez zungumzia mchezaji ambaye sio wake


Sasa Liverpool shughuli yake imeishia hapa

(🟢) NEW:

Liverpool have been trying all day to change Moises Caicedo’s mind but Chelsea now have the opportunity to close the deal.

[@FabrizioRomano]
Chelsea ina weusi wengi kule, inawaheshimu, Liverpool akiongozwa na Klopp ni mbaguzi mkubwa, wamemuonea Mane na hata hao akina Salaha na wenzao hawatendewi haki kwa sababu ni weusi.

So kilichomvuta sana Caicedo ni Kocha,
  1. Pochettinio kwanza ni kocha mzuri na anayo track record ya kuwadevelop youngster,
  2. pia sio mzungu mbaguzi
  3. tatu Chelsea walikuwa na Caicedo kwa muda mrefu, Chelsea imejenga urafiki wa karibu na Caicedo tangu May 2023, ahadi nzuri nzuri nyingi
  4. Wao Liverpool wamejitokeza tu from nowhere na kwa miguvu wanataka kumbeba mtu ambaye hata hawajaongea na kukubaliana terms just like that
Hizo ndizo factors zilizo mfanya Caicedo aamue kwenda na Chelsea
 
Chelsea ina weusi wengi kule, inawaheshimu, Liverpool akiongozwa na Klopp ni mbaguzi mkubwa, wamemuonea Mane na hata hao akina Salaha na wenzao hawatendewi haki kwa sababu ni weusi.

So kilichomvuta sana Caicedo ni Kocha,
Pochettinio kwanza ni kocha mzuri na anayo track record ya kuwadevelop youngster,
pia sio mzungu mbaguzi
tatu Chelsea walikuwa na Caicedo kwa muda mrefu, Chelsea imejenga urafiki wa karibu na Caicedo tangu May 2023, ahadi nzuri nzuri nyingi
Wao lLiverpool wamejitokeza tu from nowhere na kwa miguvu wanataka kumbeba mtu ambaye hata hawajaongea na kukubaliana terms just like that
Hizo ndizo factors zilizo mfanya Caicedo aamue kwenda na Chelsea
We bwege kweli klopp tangu lini Kawa mbaguzi unajua Kuna mijitu mingine humu inajifanya mijuaji kumbe haijui chochote eti klopp mbaguzi hivi unaakili timamu wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom