Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umeamua kuchagua side ya ushindi
Nimesimama kwenye uhalisia ,halafu Kuna mashabiki wa Liverpool walianza kunitukana na kuja jukwaan kutamba

Sasa ngoja wanyooshwe ,hata Lavia waliyekuwa wanamtegemea watu wanaruka nae

Hadi Sasa Chelsea anakaribia kurejea kuwa favourite wa top 4

Kiungo Cha Lavia Caicedo Enzo kimebalance Hadi hapo ,na mwalimu uzuri mnae ,
 
Kwa wasiojua waliokariri Fabrizio na Ornstein,

Huyu JacobSteinberg anatokea The Guardian huyu ni Tier 1 au anaaminika kwa taarifa zake

Chelsea poised to bid again for Moises Caicedo and closing in on £55m deal for Romeo Lavia.

- @JacobSteinberg




Kifupi shughuli ya Liverpool imeishia hapa
Huyo JacobSteinberg kawa onfire msimu huu tu tena kwenye hili la Caicedo
Tatizo la Mat law hatoi taarifa mara kwa mara kama hao wengine
Kwa mimi anyeongoza anatoa taarifa mara kwamara na za kweli ni David Ornstein wa The Athletic akifuatiwa na Fabrizio Romano Journalist wa kujitegemea, labda wa tatu ndi anakuja Mat Law wa Telegraph
 
Masaa kadhaa yajayo Chelsea inaingia rasmi kukamilisha usajili wa Caisedo, kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika.
Wamesema hadi kesho, hawana haraka kwa sababu mchezaji amewakataa Liverpool na kazima simu zake zote. Kwenye hoteli nayolala kaajiri walinzi. Katoa maagizo mawasliniano yote yafanyke kupitia agent wake
Na kampa maelekezo proposal yeyote kutoka timu nyingine haitakubaliwa, ameshaamua Chelsea ni basi
Ili liverpool waweze kusubmit bid nyingine baada ya ile ya Chelsea lazima kwanza wakapatane na mchezaji ambaye kashawakataa. Ngumu sana hapa
 
Mazungumzo yamefika mbali ila nalo ni hadi dili la Caicedo likamilike
Dili la Olise ni la Release clause tu na hakuna timu nyingine labda Liverpool waje kutufanyia fujo
Man City walikuwa wanamtaka iola wamehsamsajilli mbadala wake

Release clause ni ya Pauni mil 35
Pia Chelsea wanafukuziwa Mohamed Kudus baad ya kumuacha kwa muda
Tukumbuke kuwa Kudus aliwakatalia Brighton mkataba kwa sababu walikataa kuweka release clause kwenye mkataba
 
Wamesema hadi kesho, hawana haraka kwa sababu mchezaji amewakataa Liverpool na kazima simu zake zote. Kwenye hoteli nayolala kaajiri walinzi. Katoa maagizo mawasliniano yote yafanyke kupitia agent wake
Na kampa maelekezo proposal yeyote kutoka timu nyingine haitakubaliwa, ameshaamua Chelsea ni basi
Ili liverpool waweze kusubmit bid nyingine baada ya ile ya Chelsea lazima kwanza wakapatane na mchezaji ambaye kashawakataa. Ngumu sana hapa
Hiyo hotel ya Caisedo naijua sana, watu wa Amerika kusini wanaipenda sana...ndiyo hotel aliofikia Silva wakati anakuja Chelsea. Siri yao kubwa ni aliekuwa anawafanyia visa vya kuja Ulaya wachezaji wengi wa Amerika kusini aliwahi kuwa na share hapo.
Japo na mimi niliwahi kupiga mboji hapo...nililifanananisha na Ritz hotel ya Madrid na Hotel moja majuzi nililala Shanghai.
Ki ufupi, kila kitu kinatokea kwa sababu...swali, unajua kwanini Caisedo alikuja na mizigo yake Landon?
 
Vita vimeibuka ya Liverpool na Chelsea sio kwa ajili ya Caicedo bali Lavia
Chelsea wanaendesha majadiliano ya kuwasajili wachezaji watatu kwa wakati mmoja
  1. Caicedo - wameshatoa dau la mil 115
  2. Lavia wameshatoa dau la Mil 50
  3. Olise wanataka kulipa RC ya mil 35
Bado tu Here we go ya Fabrizio

Yeye anasema Chelsea wataweka bid yao kesho baada ya leo Chelsea na Brighton kuwa na mazunguzmo mazuri yenye mwangaza. Anasema Chelsea watatoa bid isiyopungua milioni 110
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom