Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Issue ya Caisedo bado haijatamatishwa. Mpaka jana jioni Caisedo alikuwa London. Na leo asubuhi timu ya Caisedo imekuwa informed kwamba Chelsea is still working on the deal. Sijajua kama Klopp kashaongea na Caisedo maana hata kwenye press ya Klop sijui kama amezingumza kuhusu kuongea na Caisedo ili tujue kuwa amebadili msimamo anataka sasa kwenda Liverpool.

Kwa hiyo ndani ya masaa 24 tusubiri kuna jambo litatokea. Aidha mchezaji atakubali kujiunga Liverpool au Chelsea itapeleka bid mpya.
Caisedo amewakataa Liverpool. Chelsea iamue tu kuzubaa na kuwa wabishi. Ila wakistructure vizuri £110M Caisedo to Chelsea itakuwa Here we go!

Chanzo ni Fabrizio
 
Taja chanzo. Cha uhakika kinachomzidi Fabrizio romano
1691753029782.png
 
Moises Caicedo has told close family and friends. He only wants to JOIN Chelsea.

Now expect him to become a Chelsea player.

- @TheSecretScout_
 
lembu njoo huku

BREAKING: Moisés Caicedo has told Liverpool that he only wants to join Chelsea and will keep his word. Chelsea are preparing a new bid in order to complete the deal with Brighton.

[@FabrizioRomano]

#bhafc #cfc
Hiyo niliisoma kwa Fabrizio na nimeshamjibu huyo mtukanaji
 
Hivyo ndio tunavyopenda sisi wazee wa anfield mtu apigwe 115 halafu sisi tunarudi Kwa lavia hahahahahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamaa amenitukana ,nimeingia kwenye maombi, narudi nakuta kawakataa Liverpool

Watu wanajua chanzo ni Fabrizio Romano tu,

Mtu yupo London toka wiki yote hii ,kosa la Liverpool waliwahi kulifanya man u kwa dejong ,personal term kitu muhimu na chakwanza
Ndio tunataka hivyo sisi mtu apigwe 115 maana walishobokea dili letu LA lavia hahahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamaa amenitukana ,nimeingia kwenye maombi, narudi nakuta kawakataa Liverpool

Watu wanajua chanzo ni Fabrizio Romano tu,

Mtu yupo London toka wiki yote hii ,kosa la Liverpool waliwahi kulifanya man u kwa dejong ,personal term kitu muhimu na chakwanza
Tena yuko London na mizigo yake. Kule Brighton kabati lake liko tupu tangu Brighton wadanganye kuwa ana majeruhi kumbe yupo mgomo na kashahamia London
 
Tena yuko London na mizigo yake. Kule Brighton kabati lake liko tupu tangu Brighton wadanganye kuwa ana majeruhi kumbe yupo mgomo na kashahamia London
Muache aendelee kua London sisi tunarudi Kwa lavia mchezaji wetu tulitaka mpigwe kisawasawa toeni 120 hapo mumpate Sasa hivi Muna adabu munashobokea madili ya watu akili imewakaa leo hiyo ndio LIVERPOOL
 
Kwa sababu Caicedo kaikataa Liverpool sasa Brightron wameiambia Chelsea hawatakubali dau lolote chini ya Pauni 111m ambayo ndio Liverpool wametoa

Huu mchezo Liver na Brighton waliicheza ili kutufikisha tusikotaka kwenda
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahaahjajaahajaj watoe Sasa halafu na sisi tutapanda soon🤣🤣🤣🤣🤣🤣 apigwe mtu maana mlishoboka kwenye dili letu LA lavia
 
Kwa sababu Caicedo kaikataa Liverpool sasa Brightron wameiambia Chelsea hawatakubali dau lolote chini ya Pauni 111m ambayo ndio Liverpool wametoa

Huu mchezo Liver na Brighton waliicheza ili kutufikisha tusikotaka kwenda
Wala siokweli, unadhani Caicedo akikubali kwenda Liverpool, Liverpool hawatoi?

Hata sisi kwa Rice tuliambiwa hivo hivo eti waliingia kupandisha Bei, sikweli Nia walikuwa nayo

Hapo ni kuzidiana , Chelsea amefanya groundwork muda mrefu Sana ,ni ngumu mchezaji kuwasaliti

Liverpool walimuita Leo kwa medical kawagomea

Arsenal tulifanya groundwork kwa Rice kwa miezi 6, inakuwa ngumu mchezaji kuwagomea hata aje mwingine ajitie kimbelembele
 
Kuna tweet niliweka kule kwenye akaunti yangu ya Tweete juzi kuwa

"Timu itakayoshikaman na mchezaji ndiyo itakayoshinda"
Baadaye walipokuja Liverpool kutoa bid yao na niliposoma Caicedo anaenda Liverpool nikafuta, sasa najuta kwa nini nilifuta kwa sababu ndiyo ingekuwa quote yangu kwamba mawazo yango yalikuwa sahihi

Sisi Chelsea tulijifunza sana kwenye dili za Kounde na Raphinha na naona sasa inatupa matunda mazuri

Liverpool nao watajifunza kwa hili dili la Caicedo kuwa usidandie lori kabla hujapatana na dereva
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom