Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Taarifa tulizopewa kutoka ndani ya uongozi wa Chelsea ni kwamba Chelsea wako tayari kulipa zaidi ya walichotoa Liverpool ili tu kumpata mlengwa wao namba moja tangu mwezi wa tano
Nani kakupa taarifa wewe mbona muongo sana Chelsea mbona hawakujui
 
Taja chanzo. Cha uhakika kinachomzidi Fabrizio romano
Halafu Kama hujui Sasa Romano ni mchumba tu ,Kuna miamba sema nyie malayman mnamjua Romano tu

Mellisa redy wa sky sport mshabiki wa Liverpool lialia wanasema Ngoma ya Caicedo imeanza kugeuka

Sasa Hadi muda huu Chelsea ana 60% Liverpool 40%

Sources have told Football London Chelsea plan to make a new offer and are still confident.

(@BobbyVincentFL)
 
Nani kakupa taarifa wewe mbona muongo sana Chelsea mbona hawakujui
Naomba uendelee kuwepo hapa hapa ,hii ngoma bado mbichi, mlichokosea hamkumaliza Personal term,kitu ambacho wenzenu walifanya , thus why Hadi Sasa caicedo yupo bado London na mizigo yake
 
Nani kakupa taarifa wewe mbona muongo sana Chelsea mbona hawakujui
Fabrizio Romano unayemuamini msikie hapa [emoji107][emoji107]

Chelsea are NOT giving up on Moisés Caicedo deal despite medical booked.

…and Chelsea have no intention to give up until contracts (already prepared by Liverpool and Brighton) are signed.

Nothing been signed yet. [emoji3544][emoji1092]

Most incredible transfer saga of the summer is still on.
 
Halafu Kama hujui Sasa Romano ni mchumba tu ,Kuna miamba sema nyie malayman mnamjua Romano tu

Mellisa redy wa sky sport mshabiki wa Liverpool lialia wanasema Ngoma ya Caicedo imeanza kugeuka

Sasa Hadi muda huu Chelsea ana 60% Liverpool 40%

Sources have told Football London Chelsea plan to make a new offer and are still confident.

(@BobbyVincentFL)
We matacall kweli yaani upo bongo uwajue mashabiki wa Liverpool lialia Kaa hivyo hivyo yaani epl hamna mchezaji ataetakiwa na klopp tumkose endelea kuota yaani muda wote washindwa kumchukua eti wapande dau okay tutaenda mpaka 250 wenyewe si walileta wenge Kwa lavia
 
Naomba uendelee kuwepo hapa hapa ,hii ngoma bado mbichi, mlichokosea hamkumaliza Personal term,kitu ambacho wenzenu walifanya , thus why Hadi Sasa caicedo yupo bado London na mizigo yake we mkewe mpaka useme yupo london
 
We matacall kweli yaani upo bongo uwajue mashabiki wa Liverpool lialia Kaa hivyo hivyo yaani epl hamna mchezaji ataetakiwa na klopp tumkose endelea kuota yaani muda wote washindwa kumchukua eti wapande dau okay tutaenda mpaka 250 wenyewe si walileta wenge Kwa lavia
Matusi yanakusaidia Nini

Dah Kuna watu sijui mkoje ,kwa kunitukana bila kosa , Sasa napiga Sala mumkose ,huwezi ukanitukana bure bure tu
 
Fabrizio kakaa kimya kwa sababu hiyo hiyo
Hajasema "here we go"
Caicedo yupo London, Hadi jion Chelsea anatuma £115+m

[emoji599]| So things have gotten a lot more interesting with the Moises Caicedo saga:

  • Tyler Adams may end up at Brighton if Chelsea manage to sign Caicedo [@TheSecretScout_]
  • Chelsea are prepared to bid more than £110m for Caicedo [@JacobSteinberg]
  • Chelsea are not giving up on Caicedo despite an agreement between Liverpool and Brighton [@FabrizioRomano]
  • Chelsea have offered more wages to Caicedo. [JacobSteinberg]

Saga of the summer [emoji2962]
 
Kuna watu kwenye sajili wanamjua Romano tu[emoji1787][emoji1787]
 
Ameikataa Liverpool [emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20230811_141455_X.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom