Hii timu sasa ni bora tu ibadilishwe jina iitwe Chukwuchukwu Fc.Chelsea mmesajili Imeh izechukwu [emoji16]
Pundamilia FC sijui kwanini hatuanzi ligi na nyinyi.Hii timu sasa ni bora tu ibadilishwe jina iitwe Chukwuchukwu Fc.
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna jamaa kanifurahisha sana, anasema kwa sasa hivi mtu yoyote mwenye dreads tajiri miluzi akimuona tu fasta anampa mkataba.Pundamilia FC sijui kwanini hatuanzi ligi na nyinyi.
Ila mutapata salamu zetu kwa yale makuku yenye mdondo.
Tutayapiga left, right and centre.
We subiri siku 13 zijazo uone hao marasta wanavyopeleka moto.[emoji23][emoji23][emoji23] kuna jamaa kanifurahisha sana, anasema kwa sasa hivi mtu yoyote mwenye dreads tajiri miluzi akimuona tu fasta anampa mkataba.
Tukiwaambia huyu Caicedo ni staili ya Kante (Kante v2.0) wengine hawatuamini, mkata UMEME. Ebu cheki hapaCaicedo ni type ya Kante kwa uchezaji wake
Kwenye soko sasa mchezaji kama huyo hayupo, tutajisumbua, tutajidanganya na kupoteza muda sana
- Anajua kufanya clean tackle hata kama ni za hatari
- Anajua kufanya ball recoveries ambayo ni muhimu sana kwa ajili ya shambulio la haraka na kujenga mashambulizi ya kawaida
- Anajua kuusoma mchezo na kujua mashambulizi ya hatari yanajengwa kuelekea upande gani na kwa hiyo anakuwepo maeneo hayo kuzuia au kufanya clearance muhimu kabisa
- Pia anayo stamina na nguvu kama ya Kante ya kuwepo kila eneo la kati kumaliza kazi ya kukata umeme
Tukimpata Caicedo atawezesha timu kupata utulivu pale katikati ya uwanja na kuwawezesha mabeki kucheza kwa utulivu. Pia atawawezesha final third ya timu pinzani kuwa busy na hivyo kuwezesha washambuliaji kutupatia mabao na ushindi kirahisi
View attachment 2701800
Ole wako ukengeuke tena na kuanza kuisema vibaya timu yako pendwaSijaona timu ya kutuzuia msimu huu
Epl tunabeba
FA tunabeba
Carabao tunabeba
WE ARE THE BLUES [emoji838][emoji838]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] kuna jamaa kanifurahisha sana, anasema kwa sasa hivi mtu yoyote mwenye dreads tajiri miluzi akimuona tu fasta anampa mkataba.
Huyu jamaa na mirasta yake michafu auzwe tu haraka.Sura ya Chalobah yabadilika baada ya usajili wa Axel Disasi
Alikuwa na ujasiri na kujiaminiu kabla ila sasa kanyong'onyea na anataka kuhama kwa sababu anajua hatapewa kipaumbele kwenye kikosi cha kwanza cha Chelsea msimu ujao
Anafikiriwa ndani ya Chelsea kuwa anauzika na sasa wamemwekea bei ya £45m
View attachment 2703849
Hakuna usajili mbovu uliowahi kutokea chelsea, kama usajili wa bakayokoMashabiki wanawashabgilia sasa hivi akina Axel Disasi na Lesley na wakasahau kuwa Bakayoko alitokea Monaco tena baada ya kufanya vizuri akiwa na akina Mbape na kuipa Monaco Ubingwa mbele ya PSG iliyosheheni vipaji na wachezaji wenye majina makubwa.
Mungu atusaidie tusije kuwa tumeuziwa Bakayoko kwa jina lingine