Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Mkuuuu nimecheka sanaYani nyie jamaa msione mtu na Rasta mnapita nae na Mimi nifuge rasi Sasa naweza kuja kupiga hela hapo darajani,[emoji16][emoji16]View attachment 2706392
Mkuuuu nimecheka sanaYani nyie jamaa msione mtu na Rasta mnapita nae na Mimi nifuge rasi Sasa naweza kuja kupiga hela hapo darajani,[emoji16][emoji16]View attachment 2706392
Usiku wa leo kuamkia kesho sa 9 kamili tuna mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Borrusia Dortmund. Sijui itaonyeshwa channel gani
Hujui unachokiongea timu inamabeki wengi sanaTimu haina Kipa wala beki
Msimu huu mgumu
Nyie endeleeni kutubeza lakini tambueni msimu huu hatutakuwa vibaya kama msimu uliopitaKama kuna siku nimewasema Chelsea vibaya naomba mnisamehe yani hamko hata Europa na mmefunga mbabe wa Manjesta utd [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]
Nyie ni timu kubwa aisee walinyukwa wale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sajilin Caicedo achen mbambambaNyie endeleeni kutubeza lakini tambueni msimu huu hatutakuwa vibaya kama msimu uliopita
Anazingua sana Sterling sijui amekuwajeKwa nilichokiona katika mexhi yetu dhidi ya Dortmund. Kwamza kiuchezaji naona wanajituma kitimu zaidi ila changamoto iliyopo bado kuna haja kubwa ya proper DM ndio maana Brighton wanatubania Caicedo kwa sababu hata wao wameona uhitaji tulionao. Tukija kwa mchezaji mmoja mmoja naumia sana na Sterling sijui ana shida gani jamaa. Mwaka jana nilidhani pengine sababu ni kocha ila kiukweli hata chini ya Poch sioni akibadilika. Mbaya zaidi hiki ni kipindi tunamuhitaji yeye zaidi kuliko anavyoruhitaji kwa sababu ya uzoefu zaidi
Caicedo lazima tumchukue pamoja ya kuwa Brighton wanatubaniaSajilin Caicedo achen mbambamba
Kocha wenu yupo vzr kuliko wa manjesta
Kama kuna siku nimewasema Chelsea vibaya naomba mnisamehe yani hamko hata Europa na mmefunga mbabe wa Manjesta utd [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]
Nyie ni timu kubwa aisee walinyukwa wale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nilichokiona katika mexhi yetu dhidi ya Dortmund. Kwamza kiuchezaji naona wanajituma kitimu zaidi ila changamoto iliyopo bado kuna haja kubwa ya proper DM ndio maana Brighton wanatubania Caicedo kwa sababu hata wao wameona uhitaji tulionao. Tukija kwa mchezaji mmoja mmoja naumia sana na Sterling sijui ana shida gani jamaa. Mwaka jana nilidhani pengine sababu ni kocha ila kiukweli hata chini ya Poch sioni akibadilika. Mbaya zaidi hiki ni kipindi tunamuhitaji yeye zaidi kuliko anavyoruhitaji kwa sababu ya uzoefu zaidi
Umemsahau cucurella huyo ndio hovyo kabisa ni kama mtoto anayecheza subuleni ilimradi avuje jasho. Gusto kama ataendelea hivi hana sifa za kukaa benchi, DM ni lazima apatikane hata hiyo 100 tutoe. Enzo nae anatakiwa abadilike kuna muda anapoza movement za mpira inshort wachezaji wengi naona wameiprove viwango ukitoa cucurella, Sterling na Kepa. Hivi kwanini tusiwekeze kwa Raya tuachane na huyo SanchezKwa nilichokiona katika mexhi yetu dhidi ya Dortmund. Kwamza kiuchezaji naona wanajituma kitimu zaidi ila changamoto iliyopo bado kuna haja kubwa ya proper DM ndio maana Brighton wanatubania Caicedo kwa sababu hata wao wameona uhitaji tulionao. Tukija kwa mchezaji mmoja mmoja naumia sana na Sterling sijui ana shida gani jamaa. Mwaka jana nilidhani pengine sababu ni kocha ila kiukweli hata chini ya Poch sioni akibadilika. Mbaya zaidi hiki ni kipindi tunamuhitaji yeye zaidi kuliko anavyoruhitaji kwa sababu ya uzoefu zaidi
Mimi nimewaangalia Sana , Poch ni kocha mzuri Kama mtafanikiwa kusajili DM na CM wengine hata wawili ,Basi Mimi nawaweka ahead of manjesta ,mpira ni mchezo wa wazi, kocha mnaye ila mna shida kwenye recruitmentTupo pamoja mr. Hamisi 77. Pia utambue tu kuwa sisi kwenye ligi hatutakuwa na presure ya kugombania chochote ila ninyi mnakazi Sana