Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii mechi naifuatilia live Supersport, naona dalili kama kocha kuna kitu anataka kuweka kwa wachezaji. Huyu Burstow aliesiama kama mshambuliaji mbele ya Nkunku namwona kama anaweza kuwa msgambuliaji mzuri baadae.

Naomba link mkuu
 
Hii mechi naifuatilia live Supersport, naona dalili kama kocha kuna kitu anataka kuweka kwa wachezaji. Huyu Burstow aliesiama kama mshambuliaji mbele ya Nkunku namwona kama anaweza kuwa msgambuliaji mzuri baadae.

Naomba link mkuu
 
Tumeanza upya! YES tena bila kapteni wa timu
Kombe la kwanza kwa Pochettino na akina Boehly🏆
1690751949770.png

1690752050367.png
1690750504511.png
 
Maelezo ya awali juu ya mechi ya Che na Ful
  1. Pivot ya Enzo na Santos leo ni nzuri - inatia matumaini
  2. Nkunku yuko na mahusiano mazuri na goli, yuko sharp na kwa wakati muafaka
  3. Leo Nkunku amecheza nafasi ya Mudryk na amefanya ukabaji mzuri sana na pia alikuwa akicheza wide
  4. Chunkwuemeka ni kiungo mwenye talents za kipekee sana, mzuri kwenye kukaa na mpira, kutoa pasi za haraka, kupokonya mipira. Superb
  5. Sterling akibadilika itakuwa vyema sana, hajitambui kabisa anakaa na mpira hadi anapokonywa, hawezi cheza boli la kisasa la kupokea na kupasi kwa haraka, mzito wa kuamua
 
Wapi Papaa Gx we jamaa umetusumbua Sana jukwaa letu la man u na zile meme zako za nyumbu[emoji16][emoji16] Mara Pogba akijiandaa kupiga mpira.

Dah muwe vizuri aise mmepigika mpaka mmepoteza ladha ya kuwatania.

hebu leta meme hata moja papa G ya unyumbuni maana ni kitambo sana.
Alimuandama Sana magwaya na jezi za pundamilia[emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom