Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Huyu Jackson hata sio mchoyo anagwa upendo mwingi kwa wenzake washindwe wao tu
Yatafurahisha labda tukitaka kulinganisha na msimu uliopita. Lakn kwenye kupigania nafasi 6 za juu bado sana, tusijidanganye the blues.Yajayo yanafurahisha sana
Ondoa hofu chief maana hii team inaenda kufanya maajabu, tutakua na game 1 kwa wiki wakati wenzetu wana game 3 tushindwe wenyewe.Yanafurah
Yatafurahisha labda tukitaka kulinganisha na msimu uliopita. Lakn kwenye kupigania nafasi 6 za juu bado sana, tusijidanganye the blues.
Labda sajili nyingn nzuri zaja, napo bado siioni timu yetu kufanya vizuri kama matarajio ya wengi yalivyo.
Viva Chelsea
MkuuOndoa hofu chief maana hii team inaenda kufanya maajabu, tutakua na game 1 kwa wiki wakati wenzetu wana game 3 tushindwe wenyewe.
Timu inacheza vizuri Sanaa Kwa Sasa ila sijajua tutakapo Anza zile match za kiume maana wachezaji wengi bado vijana sanaaKwa mlio tizama mchezo naomba mtuambie ambao atukutizama. Je, ni aina ipi ya mchezo tunacheza, ni ile ya kuwapelekea moto timu pinzani ama sio? Isije kuwa tunapata ushindi kumbe sisi ndio tunapelekewa moto.
Hivi ni kweli kasema hivyo?Mechi 2 magoli 9
View attachment 2696818
Dirisha la usajili bado halijafungwa so siwezi kusema lolote kwa sasaYanafurah
Yatafurahisha labda tukitaka kulinganisha na msimu uliopita. Lakn kwenye kupigania nafasi 6 za juu bado sana, tusijidanganye the blues.
Labda sajili nyingn nzuri zaja, napo bado siioni timu yetu kufanya vizuri kama matarajio ya wengi yalivyo.
Viva Chelsea
Pochetino alimtengeneza Dele Ali kuwa midfielder hatari sana pale Tottenham,hata Gallagher atakua fire tu maana si mchezaji mbaya. Alikosa team yenye utulivu na mfumo unao eleweka,imagine hata murdyk,madueke, Felix walishindwa kung'ara. Kijana apewe nafasi atakua almost sawa na young lampard.Mkuu
Kua na game chache sio kigezo. Hivi kweli unategemea Gallagher afanye maajabu kwenye midfield? Sterling ana nini ambacho unaweza sema labda next season itakua fantastic?
Kule mbele pamebadilika sanaKwa mlio tizama mchezo naomba mtuambie ambao atukutizama. Je, ni aina ipi ya mchezo tunacheza, ni ile ya kuwapelekea moto timu pinzani ama sio? Isije kuwa tunapata ushindi kumbe sisi ndio tunapelekewa moto.
Galagher ana uzuri mabao hawa wengine hawana, never tired, hazimii moyo, anapress sana japo sio soft press, anashauku ya kufunga. Pochettino anaweza kumbadilisha Galagher akajenga pivot ya tatu pale katikati na akina Enzo na Caicedo. Kama atauzwa asitolewe bure bure kama akina Ampadu kwa sababu Kuna mengi tutafaidi kwa Galagher chini ya PochettinoPochetino alimtengeneza Dele Ali kuwa midfielder hatari sana pale Tottenham,hata Gallagher atakua fire tu maana si mchezaji mbaya. Alikosa team yenye utulivu na mfumo unao eleweka,imagine hata murdyk,madueke, Felix walishindwa kung'ara. Kijana apewe nafasi atakua almost sawa na young lampard.
Kwa sababu ya upya wa timu tukifeli sana top 4 Europa tunayo na 2024/25 ndipo sasa tutakula kabisaMkuu
Kua na game chache sio kigezo. Hivi kweli unategemea Gallagher afanye maajabu kwenye midfield? Sterling ana nini ambacho unaweza sema labda next season itakua fantastic?
Tunahitaji hard worker wa kusaka mipira pale katikati na Chelsea haina mchezaji mpambanaji kama Gallagher,ukiongeza na good coaching huyu dogo anaweza tupa goli 10 mpaka 15 kwa msimu. Kumbuka alikua player of the season akiwa palace sio kwa bahati mbaya.Galagher ana uzuri mabao hawa wengine hawana, never tired, hazimii moyo, anapress sana japo sio soft press, anashauku ya kufunga. Pochettino anaweza kumbadilisha Galagher akajenga pivot ya tatu pale katikati na akina Enzo na Caicedo. Kama atauzwa asitolewe bure bure kama akina Ampadu kwa sababu Kuna mengi tutafaidi kwa Galagher chini ya Pochettino
Akiuzwa isiwe chini ya mil 40 ili tuwanunue au akina Mohamed Kudus, Rayan Cherki ai Bariel Veiga
Huyu Gallager awe Dele Ali, Gallager ni mchezaji mzuri ila sio kwa level za chelsea, upigaji wa pasi unampa shida akijitahidi kwenye hilo atakua mchezaji mzuri.Pochetino alimtengeneza Dele Ali kuwa midfielder hatari sana pale Tottenham,hata Gallagher atakua fire tu maana si mchezaji mbaya. Alikosa team yenye utulivu na mfumo unao eleweka,imagine hata murdyk,madueke, Felix walishindwa kung'ara. Kijana apewe nafasi atakua almost sawa na young lampard.
Ndio kazi ya Kocha, Kocha mzuri anaiweza hiyoHuyu Gallager awe Dele Ali, Gallager ni mchezaji mzuri ila sio kwa level za chelsea, upigaji wa pasi unampa shida akijitahidi kwenye hilo atakua mchezaji mzuri.
Kuna mchezaji anaitwa Challabor aisee huyu mchezaji ni bonge la Poyoyo. Pochetino akilogwa akamuamin huyu jamaa tutarudi pale alipoishia Lampard.
Kuna Cucu jana alikua anapgwa matobo kama hana akili nzuri.
Alishapewa work permit tayariNaomba kuuliza
Namuona Santos anacheza mechi za pre-season, Kwahy work permit yake imewekwa Sawa hvy msimu ujao wa EPL atakuwa anacheza.?