Tatizo lililopo kubwa kwa sasa ni kiungo mkabaji, beki wa kati pamoja na beki wa kulia kule bado naona kuna pancha nyingiYanafurah
Yatafurahisha labda tukitaka kulinganisha na msimu uliopita. Lakn kwenye kupigania nafasi 6 za juu bado sana, tusijidanganye the blues.
Labda sajili nyingn nzuri zaja, napo bado siioni timu yetu kufanya vizuri kama matarajio ya wengi yalivyo.
Viva Chelsea
Gallagher ni mchezaji mzuri ila tu matatizo yetu mashabiki tunataka mchezaji atoke kuwa yeye aje KDB au Bruna Fernandez. Hebu tuache fikra za kutaka maajabu tuwape muda wata excell vizuri tuMkuu
Kua na game chache sio kigezo. Hivi kweli unategemea Gallagher afanye maajabu kwenye midfield? Sterling ana nini ambacho unaweza sema labda next season itakua fantastic?
Huyu aje tu namuelewaga sana huyu kijanaMohamed Kudus to Chelsea
Nani anakataa
Makubaliano binafsi na Chelsea yameshakamilika leo bado tu na Ajax
Anauzwa Paundi Mil 40 tu
Ana miaka 22
View attachment 2697197
Dogo yupo vizuri sanaAngelo Gabriel ni mchezaji chipukizi mwenye kipaji ya kucheza mpira cha asili. Samahani kwamba atakabiliwa na matatizo ya kupata kibali cha kufanya kazi Uingereza hadi Januari 2024 kwa sababu ya vikwazo vya umri. Hivyo hakuna namna ya kuwa naye kikosini sehemu hii ya msimu zaidi ya kumpeleka kwa mkopo kwanza.
View attachment 2697210
Anacheza nafasi gani? Shida Chelsea pia wapo slow sana kwenye kukamilisha dealsMohamed Kudus to Chelsea
Nani anakataa
Makubaliano binafsi na Chelsea yameshakamilika leo bado tu na Ajax
Anauzwa Paundi Mil 40 tu
Ana miaka 22
View attachment 2697197
Anacheza nafasi gani?Huyu aje tu namuelewaga sana huyu kijana
Jioneeni huruma nyinyi kwanza tumewapiga kwa mountNyie chelkenge saizi mmepowa kweli utadhani sio nyie wenye mnajaa jukwaa letu kule kupiga kelele Yani nyie ni wakuwaonea huruma tu.
Kudu anacheza kama kiungo mshambuliaji au Rw au kama NkunkuAnacheza nafasi gani? Shida Chelsea pia wapo slow sana kwenye kukamilisha deals
Galagher anajitoa kuliko hata Havertz, Pochettino akimpika msimu mmoja unatosha bei yake itapanda sanaGallagher ni mchezaji mzuri ila tu matatizo yetu mashabiki tunataka mchezaji atoke kuwa yeye aje KDB au Bruna Fernandez. Hebu tuache fikra za kutaka maajabu tuwape muda wata excell vizuri tu
Takataka iliyobaki ambayo itatuangusha ni Sterling, yaani kaishiwa mbinu kabisa, anaenda na mpira na kuanza kuwaparamia opponents badala ya kupiga chenga au kutoa pasiHivi waarabu hawamtaki Sterling ? Maana ni senior garbage player
Mohamed Kudus to Chelsea
Nani anakataa
Makubaliano binafsi na Chelsea yameshakamilika leo bado tu na Ajax
Anauzwa Paundi Mil 40 tu
Ana miaka 22
View attachment 2697197
Wamembandikia bei kubwa na Chelsea sasa wanamuona Olise kama ni cheap optionIla kweli Rayani ni bonge la Mchezaji na bado mdogo kwa miaka 19 tuBinafsi bora Rayani Cherki kuliko huyu dogo