Green Koryo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2022
- 608
- 1,118
Yangu nimeshatoa hapo juu, niliangalia mechi yote
Wengine hawakucheza vibaya ila hao mimi ndio nawaona waliexcel na hawastahili kupelekwa mkopo kabisa
- Ian ni bonge la mchezaji zaidi ya kufunga hizo movemnet za kule mbele, ndio maan Burnley wamerudi EPL
- Jackson naye alikuwa na movmenet nzuri kuliko hata Nkunku alipoingia badala yake
- Casedei sijui kwa nini makocha hawamuoni, high press, pasi na nk ni mzuri sana, mfano through pass kwenda kwa Nkunku
- Andrey Santos is a good DM, anajua kukaba sana, tukimkosa Caicedo anaweza cheza na Enzo
- Huyu mchezaji mpya anayeitwa Angelo Gabriel anamuacha kwa mbali Madueke, Yuko inteligent sana
- Nkunku alipoingia alipotea akawa kimya hadi akasahaulika ila alipopata mpira wakapasiana na Casedei na kutengeneza nafasi nzuri iliyompa goli dk ya 90, World class player wako hivyo, nikawaza ule mpira ingekuwa ni Havertz kwanza angeuremba sana hadi nafasi ipotee, angekuwa Werne angepanic na kuutoa nje. Nkunku katulia sana na anlijua goli utadhani yeye ndie kaweka hayo magoli
Ian is good kwa kweli natamani abaki alicheza vizuri sana