Alitufungia goli zuri na tukabeba UEFA, ila bado alikua takataka. Sembuse ilo la Pre season. Msitafute kichaka cha kujifichia huyo ni dhahiri tumewapga. Muda ndio utaongeaZile Kenge Zilizokuwa Zinapiga Kelele Kwamba Arsenal Wamepigwa Bado Mnazisikia Huko..??View attachment 2694028
Mkuu Millennium bahati hii app inaitwaje??
Football Live HdMkuu Millennium bahati hii app inaitwaje??
Ipo playstore au?Football Live HdView attachment 2694605
Na ndio maana tulikuwa 12Amekuwa Sterling au mudrky huyo Hadi ahitaji nafasi zote hizo
Cha ajabu huyo ndiye alikuwa best player wenu last season
Ipo lakini ina matangazo sana katikati ya mechi, katafute apk link yake Google uidownload ndo uinstallIpo playstore au?


Bila £100m jamaa wamesema Caicedo haondoki Tunauwezo wa kuitoa hiyo hela mara 2Bila £100m jamaa wamesema Caicedo haondoki
Roberto De Zerbi:
"Everyone is speaking about Moises, Chelsea maybe but me? No. The situation is very clear at the moment. Moises is a Brighton player and Tony Bloom told me, if the conditions don't change, Moises stays with us. For me, it would be great news."
Kinachowafanya muende mwez wa 2 huu ni NiniTunauwezo wa kuitoa hiyo hela mara 2
Caicedo hana thamani hiyo pia Brighton wana wakazia Chelsea cos wamewatosa kwa Levi ColwillKinachowafanya muende mwez wa 2 huu ni Nini





Kinachosemwa na Dizerbi ni kumaanisha Bila hela wanayotarajia £100 hawawez kumuuza mchezaji aiseee. Caicedo aliingia cha kike kuongeza mkataba mpya may be ulikua na maslahi mazuri zaid hapo big up kwake.Dizerbi hapo mwisho
De Zerbi: “Caicedo stays with us until my owner changes his mind. No idea of what can happen in the future — but if Moises leaves we have to find the right player”
“We have to substitute him with a great player because this year we play in the Europa League unlike Chelsea”.
Dizerbi hapo mwisho
De Zerbi: “Caicedo stays with us until my owner changes his mind. No idea of what can happen in the future — but if Moises leaves we have to find the right player”
“We have to substitute him with a great player because this year we play in the Europa League unlike Chelsea”.



de zerbi.....Analialia kwa sababu tunaenda kumchukua huyo mchezaji.Dizerbi hapo mwisho
De Zerbi: “Caicedo stays with us until my owner changes his mind. No idea of what can happen in the future — but if Moises leaves we have to find the right player”
“We have to substitute him with a great player because this year we play in the Europa League unlike Chelsea”.