Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,363
- 1,743
Kulipa £100M kwa Caicedo hapana ni bora dili likafaChelsea wanakaribia kupoteza dili la Caicedo
Taarifa za ndani ya Brighton zinadai kuwa Brighton wamedhamiria bila zaidi ya paundi Mil 100 hawatamtoa Caicedo kwenda Chelsea au timu nyingine yeyote.
Kwa sasa Chelsea wanajiandaa kutoa ofa ya paundi milioni 80 baada ya ile waliyotoa jumatatu ya mil 70 kukataliwa
Tunawategemea Brighton wataikataa na hii ofa ya mil 80
Ofa itakayofikiriwa labda ikiwa na addon nzuri ni ya paundi mil 100