๐๐๐๐๐๐Kwan huyo jamaa hawez kuwa blocked?
๐๐๐๐๐๐Kwan huyo jamaa hawez kuwa blocked?
Sure me bunafsi ananikera sana. Uzi wa Chelsea yeye anataka nn?
Kabla ya ku,isikia hi,o kenge kwanza niambie kacheza mechi ngapi?Zile Kenge Zilizokuwa Zinapiga Kelele Kwamba Arsenal Wamepigwa Bado Mnazisikia Huko..??View attachment 2694028
Huyo ni Mc wa singeli usipate shida mda wake bado wa kuingia mafichoniSure me bunafsi ananikera sana. Uzi wa Chelsea yeye anataka nn?
Ssa kwa hyo nyie hamis hata ubjngwa kumbe hampo tena kwa hyo nyie mapesa yote hayo kumbe na namba 2 contender?? Ha haLi supercomputer limetabiri eti mtamaliza nafasi ya 6
BetVictorโs โSupercomputerโ predicts the 2023/24 Premier League.
- Arsenal given 14.4% chance of winning the title
- 84.1% chance of top-four finish
- Man Utd to finish 6th
- Chelsea 10th
- Sheff Utd, Bournemouth, Luton relegated
(betvictor.com/en-gb/sports/2โฆ)
View attachment 2694158
Li supercomputer huwa linakosea kidogo, maana yake hapo tupo kwenye raceSsa kwa hyo nyie hamis hata ubjngwa kumbe hampo tena kwa hyo nyie mapesa yote hayo kumbe na namba 2 contender?? Ha ha
Yaan ushindwe kuingia mafichon wewe kipind Chelsea inagombea kushuka daraja niingie mmHuyo ni Mc wa singeli usipate shida mda wake bado wa kuingia mafichoni
Mwaka jana le super computer lilisema nyia mtamchkua kai na mtakuwa mumepigwaYaan ushindwe kuingia mafichon wewe kipind Chelsea inagombea kushuka daraja niingie mm
Why Chelsea fans mnamchukia Sana Kai ?Mwaka jana le super computer lilisema nyia mtamchkua kai na mtakuwa mumepigwa
Yangu nimeshatoa hapo juu, niliangalia mechi yoteKwa waliangalia Jamani tupeni tathimini ya uchezaji wetu ulikuaje? Wachezaji wapi walifanya vizuri sana
Hata arsenal fans hawampendi kai wanasema wepigwaWhy Chelsea fans mnamchukia Sana Kai ?
Acha uongo aisee ,na kuwalisha watu manenoHata arsenal fans hawampendi kai wanasema wepigwa
Mida mdio mwalimu mzuri kai mzeee huyoAcha uongo aisee ,na kuwalisha watu manenoView attachment 2694322
Yangu nimeshatoa hapo juu, niliangalia mechi yote
Wengine hawakucheza vibaya ila hao mimi ndio nawaona waliexcel na hawastahili kupelekwa mkopo kabisa
- Ian ni bonge la mchezaji zaidi ya kufunga hizo movemnet za kule mbele, ndio maan Burnley wamerudi EPL
- Jackson naye alikuwa na movmenet nzuri kuliko hata Nkunku alipoingia badala yake
- Casedei sijui kwa nini makocha hawamuoni, high press, pasi na nk ni mzuri sana, mfano through pass kwenda kwa Nkunku
- Andrey Santos is a good DM, anajua kukaba sana, tukimkosa Caicedo anaweza cheza na Enzo
- Huyu mchezaji mpya anayeitwa Angelo Gabriel anamuacha kwa mbali Madueke, Yuko inteligent sana
- Nkunku alipoingia alipotea akawa kimya hadi akasahaulika ila alipopata mpira wakapasiana na Casedei na kutengeneza nafasi nzuri iliyompa goli dk ya 90, World class player wako hivyo, nikawaza ule mpira ingekuwa ni Havertz kwanza angeuremba sana hadi nafasi ipotee, angekuwa Werne angepanic na kuutoa nje. Nkunku katulia sana na anlijua goli utadhani yeye ndie kaweka hayo magoli
Alikuwa anatuboa kwa kukosa sana magoal ya wazi na ulege Lege alionaoWhy Chelsea fans mnamchukia Sana Kai ?
Asante mkuu kwa tathiminiYangu nimeshatoa hapo juu, niliangalia mechi yote
Wengine hawakucheza vibaya ila hao mimi ndio nawaona waliexcel na hawastahili kupelekwa mkopo kabisa
- Ian ni bonge la mchezaji zaidi ya kufunga hizo movemnet za kule mbele, ndio maan Burnley wamerudi EPL
- Jackson naye alikuwa na movmenet nzuri kuliko hata Nkunku alipoingia badala yake
- Casedei sijui kwa nini makocha hawamuoni, high press, pasi na nk ni mzuri sana, mfano through pass kwenda kwa Nkunku
- Andrey Santos is a good DM, anajua kukaba sana, tukimkosa Caicedo anaweza cheza na Enzo
- Huyu mchezaji mpya anayeitwa Angelo Gabriel anamuacha kwa mbali Madueke, Yuko inteligent sana
- Nkunku alipoingia alipotea akawa kimya hadi akasahaulika ila alipopata mpira wakapasiana na Casedei na kutengeneza nafasi nzuri iliyompa goli dk ya 90, World class player wako hivyo, nikawaza ule mpira ingekuwa ni Havertz kwanza angeuremba sana hadi nafasi ipotee, angekuwa Werne angepanic na kuutoa nje. Nkunku katulia sana na anlijua goli utadhani yeye ndie kaweka hayo magoli
Mmebadili makocha watatu mlitegemea atakuwaje BoraAlikuwa anatuboa kwa kukosa sana magoal ya wazi na ulege Lege alionao
Mudryk hajacheza mechi yoyote ya preseoson unamlinganishaje na huyo mchezaji aliyelegeaAcha uongo aisee ,na kuwalisha watu manenoView attachment 2694322
Mbona Enzo, bachishile na Thiago Silva wamecheza vizuri bila kujali kiwango cha team kiujumlaMmebadili makocha watatu mlitegemea atakuwaje Bora