Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Li supercomputer limetabiri eti mtamaliza nafasi ya 6

BetVictorโ€™s โ€˜Supercomputerโ€™ predicts the 2023/24 Premier League.

  • Arsenal given 14.4% chance of winning the title
  • 84.1% chance of top-four finish
  • Man Utd to finish 6th
  • Chelsea 10th
  • Sheff Utd, Bournemouth, Luton relegated

(betvictor.com/en-gb/sports/2โ€ฆ)
View attachment 2694158
Ssa kwa hyo nyie hamis hata ubjngwa kumbe hampo tena kwa hyo nyie mapesa yote hayo kumbe na namba 2 contender?? Ha ha
 
Kwa waliangalia Jamani tupeni tathimini ya uchezaji wetu ulikuaje? Wachezaji wapi walifanya vizuri sana
Yangu nimeshatoa hapo juu, niliangalia mechi yote
  1. Ian ni bonge la mchezaji zaidi ya kufunga hizo movemnet za kule mbele, ndio maan Burnley wamerudi EPL
  2. Jackson naye alikuwa na movmenet nzuri kuliko hata Nkunku alipoingia badala yake
  3. Casedei sijui kwa nini makocha hawamuoni, high press, pasi na nk ni mzuri sana, mfano through pass kwenda kwa Nkunku
  4. Andrey Santos is a good DM, anajua kukaba sana, tukimkosa Caicedo anaweza cheza na Enzo
  5. Huyu mchezaji mpya anayeitwa Angelo Gabriel anamuacha kwa mbali Madueke, Yuko inteligent sana
  6. Nkunku alipoingia alipotea akawa kimya hadi akasahaulika ila alipopata mpira wakapasiana na Casedei na kutengeneza nafasi nzuri iliyompa goli dk ya 90, World class player wako hivyo, nikawaza ule mpira ingekuwa ni Havertz kwanza angeuremba sana hadi nafasi ipotee, angekuwa Werne angepanic na kuutoa nje. Nkunku katulia sana na anlijua goli utadhani yeye ndie kaweka hayo magoli
Wengine hawakucheza vibaya ila hao mimi ndio nawaona waliexcel na hawastahili kupelekwa mkopo kabisa
 
Hata arsenal fans hawampendi kai wanasema wepigwa
Acha uongo aisee ,na kuwalisha watu maneno
20230720_162129.jpg
 
Yangu nimeshatoa hapo juu, niliangalia mechi yote
  1. Ian ni bonge la mchezaji zaidi ya kufunga hizo movemnet za kule mbele, ndio maan Burnley wamerudi EPL
  2. Jackson naye alikuwa na movmenet nzuri kuliko hata Nkunku alipoingia badala yake
  3. Casedei sijui kwa nini makocha hawamuoni, high press, pasi na nk ni mzuri sana, mfano through pass kwenda kwa Nkunku
  4. Andrey Santos is a good DM, anajua kukaba sana, tukimkosa Caicedo anaweza cheza na Enzo
  5. Huyu mchezaji mpya anayeitwa Angelo Gabriel anamuacha kwa mbali Madueke, Yuko inteligent sana
  6. Nkunku alipoingia alipotea akawa kimya hadi akasahaulika ila alipopata mpira wakapasiana na Casedei na kutengeneza nafasi nzuri iliyompa goli dk ya 90, World class player wako hivyo, nikawaza ule mpira ingekuwa ni Havertz kwanza angeuremba sana hadi nafasi ipotee, angekuwa Werne angepanic na kuutoa nje. Nkunku katulia sana na anlijua goli utadhani yeye ndie kaweka hayo magoli
Wengine hawakucheza vibaya ila hao mimi ndio nawaona waliexcel na hawastahili kupelekwa mkopo kabisa

Ian is good kwa kweli natamani abaki alicheza vizuri sana
 
Yangu nimeshatoa hapo juu, niliangalia mechi yote
  1. Ian ni bonge la mchezaji zaidi ya kufunga hizo movemnet za kule mbele, ndio maan Burnley wamerudi EPL
  2. Jackson naye alikuwa na movmenet nzuri kuliko hata Nkunku alipoingia badala yake
  3. Casedei sijui kwa nini makocha hawamuoni, high press, pasi na nk ni mzuri sana, mfano through pass kwenda kwa Nkunku
  4. Andrey Santos is a good DM, anajua kukaba sana, tukimkosa Caicedo anaweza cheza na Enzo
  5. Huyu mchezaji mpya anayeitwa Angelo Gabriel anamuacha kwa mbali Madueke, Yuko inteligent sana
  6. Nkunku alipoingia alipotea akawa kimya hadi akasahaulika ila alipopata mpira wakapasiana na Casedei na kutengeneza nafasi nzuri iliyompa goli dk ya 90, World class player wako hivyo, nikawaza ule mpira ingekuwa ni Havertz kwanza angeuremba sana hadi nafasi ipotee, angekuwa Werne angepanic na kuutoa nje. Nkunku katulia sana na anlijua goli utadhani yeye ndie kaweka hayo magoli
Wengine hawakucheza vibaya ila hao mimi ndio nawaona waliexcel na hawastahili kupelekwa mkopo kabisa
Asante mkuu kwa tathimini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom