Bora tumchukue magwaya maana jamaa hanaga injuriesHizi taarifa mnamtaka magwaya ni za kweli?
![]()
Halafu atakuja kuzifunja vunja hizo takataka za manureBora tumchukue magwaya maana jamaa hanaga injuries
Magwaya ashindwe kutakiwa na Arsenal atakiwe na Chelsea? Au mmeanza kujisahaulisha wachezaji wanaotoka timu kubwa kwenda Arsenal ni wale waliokosa option katika carrier yao?Hizi taarifa mnamtaka magwaya ni za kweli?
![]()
Dah! comment yako imepigilia msumari wa nguvuMagwaya ashindwe kutakiwa na Arsenal atakiwe na Chelsea? Au mmeanza kujisahaulisha wachezaji wanaotoka timu kubwa kwenda Arsenal ni wale waliokosa option katika carrier yao?
JAmaa wa Arsenal wanajisahaulisha timu yao ni ya aina gani, mafanikio ya msimu uliopita yanawatia uzuzuDah! comment yako imepigilia msumari wa nguvu
Hizi takataka mnazisajili Sasa hivi mnazitoa wapiMagwaya ashindwe kutakiwa na Arsenal atakiwe na Chelsea? Au mmeanza kujisahaulisha wachezaji wanaotoka timu kubwa kwenda Arsenal ni wale waliokosa option katika carrier yao?
Kosa kubwa tuliofanya ni kumkosa Ugarte kwa bei ile tusingepata shida kwa Caicedo pamoja tulikuwa tunawataka woteIwapo Chelsea hawataamua haraka kumsajili Moises Caicedo na kama Liverpool wataamua kuingia kwenye kinyang'anyiro hicho, ninahofia Caicedo anaweza kubadilisha mawazo yake na kuchagua kwenda Liverpool. Mwisho wa maelezo. Itakuwa pigo kubwa kwetu. Lavia ni DM mzuri lakini Caicedo tayari imeiva ili kuendana na mfumo wetu.
View attachment 2692581
Magwaya ashindwe kutakiwa na Arsenal atakiwe na Chelsea? Au mmeanza kujisahaulisha wachezaji wanaotoka timu kubwa kwenda Arsenal ni wale waliokosa option katika carrier yao?
NEW: Manchester United's Harry Maguire is getting closer to a move to Chelsea. 

SAA 3:00 AM.. yaani SAA9 usiku kwa huku kwetu.Naombeni kujua mechi ya leo ya kirafiki yetu dhidi ya Wrexham ni saa ngapi kwa muda wa East Africa?
lembu
Southern Highland
Cash Money Forever
.Naombeni kujua mechi ya leo ya kirafiki yetu dhidi ya Wrexham ni saa ngapi kwa muda wa East Africa?
lembu
Southern Highland
Cash Money Forever
Mechi sio leo ni kesho sa 9 kuamkia asubuhiNaombeni kujua mechi ya leo ya kirafiki yetu dhidi ya Wrexham ni saa ngapi kwa muda wa East Africa?
lembu
Southern Highland
Cash Money Forever
Ni kesho saa tisa usiku sio leoSAA 3:00 AM.. yaani SAA9 usiku kwa huku kwetu.
kesho tarehe 20/7/2023 saa tisa usikuNaombeni kujua mechi ya leo ya kirafiki yetu dhidi ya Wrexham ni saa ngapi kwa muda wa East Africa?
lembu
Southern Highland
Cash Money Forever