lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,696
- 25,911
Colwill anaipenda ChelseaToa Collwill hapo , tuna Badiashile yule kijana ni makini na anatosha sijui kwanini tunang'ang'ania huyu pimbi kwenye dharau anayeitwa collwill
Alichofanya ni kuweka msisitizo ili apewe nafasi ya kuonyesha uwezo wake
Chelsea ina tabia mbaya ya kuwa overlook academy wenye uwezo
Unaona mchezaji kama Ian Maatsen anaweza akaachwa akaondoka wakati ni LB na LWB mzuri sana
Naye asipotingisha kiberiti tunaweza tukamkosa
Colwill haitaji apewe muda wote wa kucheza anataka aahidiwe tu kuwa atapewa naye sehemu yake
Angekuwa mkorofi wala asingesema hivyo. Mkataba wake uko mwishoni angenyamaza tu na kutoa notisi kuwa hatarenew mkataba basi. Tumpe nafasi na tutege kwenye mkataba wa muda mrefu ili asipofit kwenye timu tumuuze kwa bei nzuri kwa sababu kwa lolote litakalotokea Chelsea, Colwill ni beki mzuri na hataondoka Chelsea kwa pesa ndogo.