Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Ila £100m kwa lukaku, €100m makalio mudrky,,£107m Enzo, ni sawaArsenal wamepigwa 120 kwa rice![]()
Ila £100m kwa lukaku, €100m makalio mudrky,,£107m Enzo, ni sawaArsenal wamepigwa 120 kwa rice![]()


Mmepigwa hapa
Cry moreMmepigwa hapa
Kweli mna ukame wa wachezaji wazuri si kwa shangwe hizo huyo kai katufungia goal 9 kwenye mechi 30
Haituhusu iloKweli mna ukame wa wachezaji wazuri si kwa shangwe hizo huyo kai katufungia goal 9 kwenye mechi 30
Mmepigwa.Haituhusu ilo
Tetesi zimekuwa nyingi sana Chelsea bila kusajili kama hatuna uhitaji wowoteBado Chelsea wapo na wamesubmit bid wiki hii baada ya kukutana na agent wake jijini London
Anauzwa Euro 25
Huyu ni playing maker na mfungaji mzuri
Samba ya kibrazili iko hapo, type ya akina Ronaldinho
Crystal palace nao wamo na wamesubmit bid yao pia
View attachment 2689276
Mbona umeseman hapo juu kuwa Hela wanayo sema tunwamekasirishwa na huyu jamaa kuongea na mpinzani wao? Unasema kuwa timu za mpira hazina mihemko ya kijinga kama watu wa kawaida kususa susa?BREAKING NEWS:
Inter Milan have pulled out of the Romelu Lukaku race due to the player negotiating with Juventus. It’s over between Lukaku and Inter. (@DiMarzio)
Hwa Inter wanajifanya wana hasira kumbe wameishiwa pesa, hawana pesa, wako broke
View attachment 2688943
Elye Wahi ● Welcome to Chelsea 🔵🇫🇷 Best Goals & Skills
Elye Wahi ● Welcome to Chelsea 🔵🇫🇷 Best Goals & Skills